Preta. gari za ligi safari uhakika. kufika mapema. mfn. utoke mbeya saa kumi na mbili halafu dar uingie saa nne usiku utakubali vipi wakati wazee wa ligi wameingia saa kumi na mbili
kuna bus zinaitwa LEINA TOURS zinafanya safari za Dar to Kahama ni scania irizar ebana zile gari zinatembea balaa, kwa mikoa ya kanda ya ziwa wao ndio noma kwa sasa
Ila enzi zile nako ilikuwa kasheshe kama ni mgeni wa jiji maana magari ya kwenda Tanga yalikuwa yanapaki Mnazi mmoja, ya Mbeya na Dar yanapaki Kisutu sijui ya Dodoma, Moro, singida na Mwanza Kariakoo na ya kusini yanapaki Temeke, na hapo kipindi inaanza stand ya mkoa Ubungo watu walikuwa wanagoma wengine wanatoa sababu ya moto ukitokea itakuwa shida kuingia kufanya uokoaji kwa stand ina uzio lakini leo hii watu wanakataa tena kuondoka, by the way tumetoka mbali sana katika sekta hii ya usafiri
kuna bus zinaitwa LEINA TOURS zinafanya safari za Dar to Kahama ni scania irizar ebana zile gari zinatembea balaa, kwa mikoa ya kanda ya ziwa wao ndio noma kwa sasa
kuna bus zinaitwa LEINA TOURS zinafanya safari za Dar to Kahama ni scania irizar ebana zile gari zinatembea balaa, kwa mikoa ya kanda ya ziwa wao ndio noma kwa sasa
kuna bus zinaitwa LEINA TOURS zinafanya safari za Dar to Kahama ni scania irizar ebana zile gari zinatembea balaa, kwa mikoa ya kanda ya ziwa wao ndio noma kwa sasa