Wazee wa flagships, SAMSUNG washafanya yao huko, S10 - series Tayari

Ni vigumu,maana wao ndio kama kaka/dada kwenye huu ulimwengu.

Angalia simu zote zitainga muonekano na mfumo wa screen lock kwa s10,baadhi zitasubiri iphone Xse itakujaje waige.

Mbaya zaidi game la smartphone limefika crimax kwenye ubunifu.tumeishajaza kioo kwa 90+ to body ratio.je umeshajiuliza nini kinafuata??kioo kijacho kitakuwaje??sasa hapa ni either kaka au dada aimbishe madogo waitikie.
Game linachange mkuu kuna tech za zamani ambazo tuliamini Nokia ndo mbabe na hakuna mwingine ila. Sasa Nokia kateleza kapigwa bao na wengine wanasonga.... Kuna kipindi 2001-2001 kati ya watu 10 ,7 wanamiliki Nokia ila mambo yamechange!... Hapo mbeleni tutaona makampuni yanayochipukia yakileta ushindani wahaja maana back to 2012's Huawei alikua kapuku tuu mbele ya Iphone na Samsungu but gape limepungua sana leo
 
Hiyo lock ya fingerprint mbona OnePlus 6T anayo

Ndio maana yangu,oneplus 6T anayolakini haijaonekana ni kitu cha ajabu,sasa baada ya hii angalia ni simu ngapi zinakwenda kuwa nayo.

Biashara ni zaidi ya ubunifu matatngazo ndio uchawi ulipo.
 
Game linachange mkuu kuna tech za zamani ambazo tuliamini Nokia ndo mbabe na hakuna mwingine ila. Sasa Nokia kateleza kapigwa bao na wengine wanasonga.... Kuna kipindi 2001-2001 kati ya watu 10 ,7 wanamiliki Nokia ila mambo yamechange!... Hapo mbeleni tutaona makampuni yanayochipukia yakileta ushindani wahaja maana back to 2012's Huawei alikua kapuku tuu mbele ya Iphone na Samsungu but gape limepungua sana leo

Huyu naye kinachomkwamisha ni ile kukosa kujiamini,ni mpuuzi fulani ambaye ana jina lakini hapendi kufanya research,kazi kuiga tu.

Toka lini flagship unaiga muonekano wa simu nyingine??anashindwa mpaka na wadogo zako.
 
Ngoja nitafte mteja wa kiwanja changu. Hii simu sio ya kukosa.

Sijawahi kuona simu nzuri kama anazotengeneza samsung, hasa hizi zenye curved screen, less bezel. Sijawahi.

Niliwahi kutumia matakataka ya apple yakanishinda.

Simu ni samsung, hizo nyingine ni vifaa vya mawasiliano tu.
Apple iPhone zimekushinda sababu ya umaskini wako .

Sent using iPhone x
 
Huawei anakuja sokoni kwa kasi sana.
Ngoja tuone atafika wapi
Screenshot_20190222-075313.jpeg


Sent using iPhone x
 
Game linachange mkuu kuna tech za zamani ambazo tuliamini Nokia ndo mbabe na hakuna mwingine ila. Sasa Nokia kateleza kapigwa bao na wengine wanasonga.... Kuna kipindi 2001-2001 kati ya watu 10 ,7 wanamiliki Nokia ila mambo yamechange!... Hapo mbeleni tutaona makampuni yanayochipukia yakileta ushindani wahaja maana back to 2012's Huawei alikua kapuku tuu mbele ya Iphone na Samsungu but gape limepungua sana leo
Huawei ni moto mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss nazungumzia Portable cell phoness
Nakumbuka simu ya kwanza nilikuwa nayo mwaka 1985 niliuziwa kwa punguzo kubwa na jamaa yangu officer mmoja
Ilikuwa Motorola ya kubeba kama box ni zito kuzidi za mezani
Wakati huo bei zake zilikuwa $1500
Na mwenye duka alianza na tatu tu can you believe that

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom