Aldonae
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 598
- 393
Mzee baba...samsung gani iloku-dissapointAll I know siwezi nunua tena Samsung.. Ni huawei all the way labda na Apple in the future
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba...samsung gani iloku-dissapointAll I know siwezi nunua tena Samsung.. Ni huawei all the way labda na Apple in the future
Sent using Jamii Forums mobile app
Usishabikieee kitu ambacho huwezi kukicustomize jinsi upendavyoSimu Ni iPhones pekee
Izo nyingine ni ujinga ujinga tu
One plus vivo na oppo wazaz wao n wale walena one plus sio wa kwanza kuwa nayo, vivo ndo alianza kabla mwaka mmoja nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ayo masimu tatzo wanaleta matangazo for no reasonMimi nahisi simu ya xiaomi ya kufold ni nzuri kuliko ya samsung...hap
Mimi. Napendelea xiaomi
Weeee una minyoo syo buree
High end laptop gan imepitwa na hicho kimeo
Kuna vitu vya kulinganisha
Kuna wajinga wacache wanaosema iphone ina piga picha kal kulko maDSLR
Sent using Jamii Forums mobile app
Taja samsung waliotumia picha za dslr plzikiwa kwenye video za kulinganisha ubora wa camera,simu huwa na picha kali sana!!!ishike mkononi utabaki kishangaa unakosea wapi???
Ikaja kugundulika kwamba kuna tumbili huwa wanatumia DSLR pumbaavu.
Rekebisha maelezo.kwel kama first mobile phone walikuwa motorola mwaka 1973 wagunduzi wakiwa John F.Mitchell na Martin Cooper iliyokuwa na kg karibu 2.Boss nazungumzia Portable cell phoness
Hiyo unaoa binti wa kiarabu kabisa kama siyo wa kipembasimu ya 3m hata nirogwe sinunui
Haya makampuni naona wanazidi kutengenezea masimu makubwa tu sijui washaona watu wanapenda simu kubwa zaidi ya 6"
Mimi binafsi napenda screen ya 5.0 mwisho 5.2"
Martin Cooper ndiye anatambulika kama mgunduzi wa kwanza wa simu ya mkononi na Ndiye Baba wa Simu ya Mkononi, mleta mada anapaswa kuliweka sawa.Rekebisha maelezo.kwel kama first mobile phone walikuwa motorola mwaka 1973 wagunduzi wakiwa John F.Mitchell na Martin Cooper iliyokuwa na kg karibu 2.
tayari mbona ipo kitu ina itwa #energizer Mah 18kUgunduzi ninaosubiri kwa sasa ni smartphone yenye kukaa na charge kwa muda mrefu kama week au zaidi
kabisaaàAhaha akitafuta pesa akizipata..hii kauli asingekua na ujasiri wa kuitoa hadharani hiv