Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
View attachment 2834854
Imepita zaidi ya Miaka 31 tangu message ya kwanza kutumwa duniani kupitia simu mpaka kufikia Leo hii Kuna zaidi ya message trilioni zimetumwa ulimwenguni kupitia simu.
Turudi Nyuma mpaka mwaka 1992 kampuni ya Vodafone ndo ilikua kampuni ya kwanza kuruhusu watu kuweza kurushiana message kwa Kila mmoja wao.
Maneno ya mwanzo kutumwa yalikua Toka kwenye simu ya mkononi Ya Orbitel 901 japo kuwa ilichukua mda mpaka message kumfikia mlengwa kupata taarifa
Ujumbe huo ulikua "Merry Christmas" Miaka hiyo ya 1992 hakukuwa na emoji au reactions yoyote ilikua message tu imetumwa ya kawaida lakini sasa maendeleo ya teknolijia imepelekea utumaji wa message uko kwa namna tofauti tofauti.
Mpaka kufikia mwaka 2002 kulikua na jumla ya message bilioni 250 zimetumwa ulimwenguni na ilipofika mwaka 2008 wamarekani ndo wakaletq mfumo wa kulipia wakati mtu anatuma message kupitia simu.
#mesaage #firstphone #smartphone #Fahamu #historia #bongotech255 #Orbitel901 #teknoloji #Vodafone
Imepita zaidi ya Miaka 31 tangu message ya kwanza kutumwa duniani kupitia simu mpaka kufikia Leo hii Kuna zaidi ya message trilioni zimetumwa ulimwenguni kupitia simu.
Turudi Nyuma mpaka mwaka 1992 kampuni ya Vodafone ndo ilikua kampuni ya kwanza kuruhusu watu kuweza kurushiana message kwa Kila mmoja wao.
Maneno ya mwanzo kutumwa yalikua Toka kwenye simu ya mkononi Ya Orbitel 901 japo kuwa ilichukua mda mpaka message kumfikia mlengwa kupata taarifa
Ujumbe huo ulikua "Merry Christmas" Miaka hiyo ya 1992 hakukuwa na emoji au reactions yoyote ilikua message tu imetumwa ya kawaida lakini sasa maendeleo ya teknolijia imepelekea utumaji wa message uko kwa namna tofauti tofauti.
Mpaka kufikia mwaka 2002 kulikua na jumla ya message bilioni 250 zimetumwa ulimwenguni na ilipofika mwaka 2008 wamarekani ndo wakaletq mfumo wa kulipia wakati mtu anatuma message kupitia simu.
#mesaage #firstphone #smartphone #Fahamu #historia #bongotech255 #Orbitel901 #teknoloji #Vodafone