Sababu sio simu inayoendana na watu wa Dunia ya Kwanza!tecno ni kwa nini hpo katika masoko ya kimataifa ya ulaya na america zaidi naina ni baadhi ya asia na africa ndio tunazitumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchina siku hizi ame invest sana kwenye design, tegemea hilo.Mimi nahisi simu ya xiaomi ya kufold ni nzuri kuliko ya samsung...hap
Mimi. Napendelea xiaomi
Napendelea watu muingie youtube mkaone simu ya samsung galaxy fold ni hatari sanaMchina siku hizi ame invest sana kwenye design, tegemea hilo.
s10+ tayar wana 1TB na ram 12GBNa Mwezi wa NNE mwaka huu SAMSUNG wanatarajia Kuzindua Kitu kinaitwa GALAXY FOLD ina screen ya 4.6 after fold, high end chip, 512 GB Storage, 12GB RAM 6 Cameras Batteries Mbili ambazo zinakuwa na 4300mAh Huku processor ikiwa ni 7nm
Bei sasa ni USD1980 kitu hii ni noma #GalaxyFold
Kesho jaribu kufanya streaming ujionee MWC Barcelona Spain, utajua wachina siku hizi sio watu waku copy & paste.Napendelea watu muingie youtube mkaone simu ya samsung galaxy fold ni hatari sana
Price ni approximately to 4m
Mi Mix 3 5GMimi nahisi simu ya xiaomi ya kufold ni nzuri kuliko ya samsung...hap
Mimi. Napendelea xiaomi
Waafrika tumekosea wapi
Itatuchukua zaidi ya karne kufikia iyo teknolojia iliyotumika hapo kwenye simu kama tukiamua tu kuwekeza kwenye elimu
Sent using Jamii Forums mobile app
NOTE: Kwa attachment ambazo hazifunguki nenda chini kidogo baada ya uzi( kwenye comments) utakuta picha kwa mtiririko huo huoo,
HUU NDIO MZIGO WALIOTOA SAMSUNG Huko San Francisco Marekani Katika MWC2019(Mobile World congress) Mda huu, kwe utambulisho wa simu zao bora za mwaka 2019, kumbuka mkutano huu hufanyika mara moja kwa mwaka na ndio unatoa muelekeo wa soko la simu bora dunianii, Simu hizo ni S10, S10e, S10+ na S10 5G
View attachment 1027708View attachment 1027709
View attachment 1027710
View attachment 1027712
View attachment 1027713View attachment 1027715
Ni safari ya miaka 32 tangu simu ya kwanza ya mkononi ilipogundulika na kuanza kutumika, na si mwingne ni Nokia,
Hebu tukumbe kidogo tulikotoka.
HII NDIO SIMU YA MKONONI YA KWANZA.
Ilikua ikiitwa Nokia Mobira Cityman 900 ya mwaka 1987,
View attachment 1027269
HII NDIO SMARTPHONE YA KWANZA.
Ilikua ikiitwa IMB Simon personal Communicator,
Ilitengenezwa na kuanza kutumika mwaka 1992, lakini jina smartphone lilianza kutumika mwaka 1995 na ndio ikawa ya kwanza kupewa jina hilo.
View attachment 1027273
HII NDIO SIMU YA KWANZA KUA NA CAMERA.
Ilikua ikiitwa J-SHO4 kutoka katika kampuni ya SHARP,
Ilitengenezwa na kuanza kutumika mwaka 2000 huko Japani
View attachment 1027282
HII NDIO SIMU YA KWANZA YA 3G.
ilikua ikiitwa NTT DoCoMo kutoka Japani mwaka 1998 na kusambaa mwaka 2001
View attachment 1027288
HII NDIO SIMU YA KWANZA KUA NA FRONT/ SELFIE CAMERA.
ilikua ikiitwa Sony Ericsson Z1010,
View attachment 1027292
HII NDIO SIMU YA KWANZA YA 4G.
ilikua ikiitwa HTC evo ya Mwaka 2010View attachment 1027298
HII NDIO SIMU YA KWANZA YA SAMSUNG
Ilikua ikiitwa SH-100 na ilitengenezewa korea mwaka 1988
View attachment 1027303
HII NDIO SIMU YA KWANZA YA APPLE/IPHONE
Ilikua ikizinduliwa na steve Jobs mwaka 2007 na huyu taratibu ndio alianza kumpa tabu NOKIA
View attachment 1027307
HII NDIO ANDROID YA KWANZA,
Kwa mara nyingne inatoka kutoka kampuni ya HTC, Niliitwa HTC Dream, ilikua mwaka 2008
View attachment 1027313
FIRST IPHONE/iOS vs First Android View attachment 1027314
Hio ilikua historia fupi ya tulikotoka, haya twende na mda sasa.
Kumekua na mapinduzi kama si mageuzi makubwa sana ya teknolojia ya simu,
Samsung na IPhone Kinachowalinda mpk sasa ni brand tuu ila ki ukweli wanasumbuliwa sana na Wachinaa, sana sanaaa, Hasa HUAWEI na Oneplus wamewashika pabaya sana kwenye soko la ulayaa na hawa wengene wanakuja taratibuu.
Kwenye camera kwa sasa hakuna anayemkuta GOOGLE PIXEL 3,
Baada ya kusumbuana sana kwenye Camera, Ram na storage
Mwaka 2017 ulikua mwaka ambao upinzani mkubwa kwa watengenezaji wa smartphones ni kupunguza bezel/Margin iliyopo pembezoni mwa screen ya simu ili kua na screen to body ratio kubwa. Kwa ufupi hii inasaidia kua na simu yenye kioo kikubwa lakini umbo la kawaida la nje ya simu, kitu ambacho Iphones walishindwa kwa miaka mingi hivyo kufanya simu zao kukosa mvuto
View attachment 1027322
Makampuni mengi ya simu km samsung, Oppo, huawei, infinixy, oneplus, Google pixel n.k wakajitahidi kupunguza sana hii margin hasa kwa kusukuma juu kbsa front camera, LED indicator, flash, earpiece n.k
Samsung wakaamua kutoka kwenye S7 kuondoa Jina samsung juu ya simu na home battan chini ya simu kwenye S8.View attachment 1027330 ili kuongeza eneo la screen bila simu kua kubwa sana, Wakaendelea hivyo hivyo mwaka 2018 kwenye S9.
iphone naye akachoka kusemwa akaja na iphone X series, ambazo aliamua aondoe ile home batan
View attachment 1027368
Mwaka 2018 ndio Wachina wakawashika pabaya Samsung na Iphone,
Xiaomi mi mix 3 na Oppo find X ndio wakashika namba moja kwa Most bezzeless display smartphones in the world,
Hii Xiaomi mi mix ambayo selfie camera yake ni ya ku slide kwa nyumaView attachment 1027554 View attachment 1027556
Na hii ni Oppo find X S ambayo camera yake imejificha, ila ukigusa tu camera icon ndani ya nusu sekunde inakua ishachomoza na kupiga pichaView attachment 1027555
Hivi kuna aliyewahi kuwaza ya kua itafika hatua simu itakosa earpiece? Namaanisha speaker hio hapo juu ya simu yako kwa ajili ya kusikiliza calls na ukaweza kuwasiliana tena kwa ubora zaid ya ukiwa na speaker?,
Basi si mwingne n mchina, Amegundua teknolojia inayoitwa "SCREEN SOUNDCASTING", "PIEZOELECTRIC TRANSDUCER", "SOUND ON DISPLAY " vyovyote utakavyotaka kuiita sawa tuuu, ila hapa kinachofanyika ni display inabadilishwa/tumika kama speaker, yaani baada ya kua na speaker ya kutoa sauti kutoka ndani, basi kioo kinatumika kupokea Midundo(vibrations) ya saut kutoka ndani kuja nje halaf inaibadilisha tena kuja katika sauti ya kawaidaaa( Kumbuka sauti/sounds it's all about vibrations, refer WAVE fm4 na Advance) na wewe unaisikia kwa ubora mkubwa zaid ya speaker ya kwaida, imeshafanyiwa majaribio na wataalam wamejiridhsha haina madhara yyt na tunavyozungumza hivi Tayari Simu za XIAOMI MI MIX na Vivo Nex S zinatumia hii teknolojia
Vivo NexView attachment 1027551
Xiaomi mi mix
View attachment 1027553
Leo hii ndio mkutano mkubwa wa uzinduzi wa simu zitakazo tamba mwaka 2019, mkutano huu unahusisha makampuni makubwa ya simu duniani na ambayo ubora wa bidhaa zao zinathibitishwa na GSM arena na kupewa kibali cha kuuzwa dunia nzima(kwaio TECNO huwakuti hapa) mkutano huu unaitwa MWCB2019 yaani MOBILE WORLD CONGRESS IN BARCELONA 2019, lakini mwaka huu samsung atafanyia San Francisco Huko Marekani, mkutano huu unafanyika kila mwaka na utachukua week nzima huku kila yule akipata mda wa kujinadi
Ni mwaka ambao tutaona
Simu ya kwanza ya 5G,
Simu za in display fingerprint,
Simu zisizo na headphone jack,
Simu unayoweza kuikunja/foldable phones,
Simu zenye Ram ya 12GB na storage ya 1TB,
Simu zisizotumia physical sim cards
UPDATES ZINAENDELEA.
Hapo kwenye apparatus umemaanisha nini?Kuanzia PC,tablets,smartphone na telecommunications apparatus wao wanakimbiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda home appliances kama tv,washing machines etc
Huku kwetu wenye 3G ni HALOTEL tu
Mimi nahisi simu ya xiaomi ya kufold ni nzuri kuliko ya samsung...hap
Mimi. Napendelea xiaomi
Mbona imeshakua yebo yebo tayar hiyo ya fingerprint kweny kiooNdio maana yangu,oneplus 6T anayolakini haijaonekana ni kitu cha ajabu,sasa baada ya hii angalia ni simu ngapi zinakwenda kuwa nayo.
Biashara ni zaidi ya ubunifu matatngazo ndio uchawi ulipo.