Wazee wa flagships, SAMSUNG washafanya yao huko, S10 - series Tayari

53060358_556860071479102_2996318846492277063_n.jpeg
 
ifike mahali samsung watengeneze OS yao sasa, japo hapa ni kama ku bet, maana anaogopa kisije mkuta kilichomkutaga NOKIA LUMIA kwenye windows na blackberry, mwenye OS mwenyewe ni Google Pixel, android ni ya google na simu ni ya google na ndio maana unaambiwa ukitaka u experience true android basi nunua google pixel, na huyu jamaa ashaanza kutishia soko la samsung.
 
Ugunduzi ninaosubiri kwa sasa ni smartphone yenye kukaa na charge kwa muda mrefu kama week au zaidi
hii kitu karibuni wote wanaweza, kinachowapa mtihani ni kua wateja wanahtaj simu nyepesi na nyembamba, na kumbuka battery size its all about number of cells/atoms kwaio battery size is direct proportional to number of cells/atoms, this means : large battery = many cells/atoms = long life, THIS IS TRUE ONLY IF OTHER FACTORS LIKE TECHNOLOGY ARE CONSTANT, Maana waweza uwe na battery kubwa lakn cells/atoms ni chache maana tecnologia uliyotumia ni ndogo,

Kumbuka pia, Wanavyotoa simu mwenye simu nyepesi na nyembamba kumzid mwenzake ndio anachukua point, na battery kwa kiasi kikubwa ndio huamua ukubwa na uzito wa simu
 
ifike mahali samsung watengeneze OS yao sasa, japo hapa ni kama ku bet, maana anaogopa kisije mkuta kilichomkutaga NOKIA LUMIA kwenye windows na blackberry, mwenye OS mwenyewe ni Google Pixel, android ni ya google na simu ni ya google na ndio maana unaambiwa ukitaka u experience true android basi nunua google pixel, na huyu jamaa ashaanza kutishia soko la samsung.

Hiyo Stock Android (Android One) ya kwenye Pixel Smartphone wameshaiweka kwenye device nyingi tu, mf: Nokia, Xiaomi, etc.

Copyright 2017-2019 Mr. Mobile, Inc. All Rights Reserved.
 
Ngoja nitafte mteja wa kiwanja changu. Hii simu sio ya kukosa.

Sijawahi kuona simu nzuri kama anazotengeneza samsung, hasa hizi zenye curved screen, less bezel. Sijawahi.

Niliwahi kutumia matakataka ya apple yakanishinda.

Simu ni samsung, hizo nyingine ni vifaa vya mawasiliano tu.
Itakua tupo tofauti mimi masimu yenye edge ya samsung hua siyapendi kabisa
 
Kuna simu zina kamera 2 au 3 kwa nyuma wazoefu tuambieni zinatumikaje? Au una chagua utumie camera hii badala ya hii?
 
Kuna simu zina kamera 2 au 3 kwa nyuma wazoefu tuambieni zinatumikaje? Au una chagua utumie camera hii badala ya hii?
Camera zote zinafanya kazi kwa wakati mmoja na kila camera ina kazi yake. Muunganiko wake unatoa picha moja yenye ubora zaidi.
D0akEetXQAAm0pz.jpeg
 
network operators za tz siasa nying sana, Kila mara wanatangaza tumekufikishia 4G nchi nzima au wanakutajia mikoa waliyofika, ukienda kumbe ni makao makuu ya mkoa. Na hata dar yenyewe kuna baadhi ya maeneo 4G haipand while laini na simu inasuport 4G,
na hivyo hivyo kwa 3G, unaambiwa mikoa zote kama si nchi nzima kuna 3G ila ndani ya hio hio nchi kuna sehemu si tu hazina G, E, 2G, 3G au internet kwa ujumla bali hakuna network kbsa, haya sasa ushindwe network upandishe 5G?
Sehemu isiyo na network hata E ukipandisha nakunya tabata mpk ikulu bila kuacha nafasi(naomba unielewe: hapa sizungumzii zile copy ambazo hata hujaweka lain au umezima DATA bado inakuandikia 4G, hii ni sehemu ya maajabu)
Marekan mwenyewe asaiv ni T-mobile pekee aliyejitahd kdg Kupandisha 5G
Hiyo 4G yenyewe coverage yake haipo mikoa yote Tanzania, ndio ije kuwa 5G?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom