Wazazi wetu na kauli zao

Wazazi wetu na kauli zao

Hao ni wa mama wa uswailin ila nachokumbuka kwangu n upendo wake tu. Alinipa hela akituma sokon pamoja na yangu ili eti nikitokea nimekanyaga nyanya za watu nilipe. wakati naondoka na mgumu aliniambia chukua baiskel uwah japo najua alinipa baiskel ili nisipate shida tembea. Alitumia neno mwanangu karibu siku zote (hakunizaa bahat mbaya ndo mana hakuona yafaa nitukana)
daima R.I.P my mom
 
Hao ni wa mama wa uswailin ila nachokumbuka kwangu n upendo wake tu. Alinipa hela akituma sokon pamoja na yangu ili eti nikitokea nimekanyaga nyanya za watu nilipe. wakati naondoka na mgumu aliniambia chukua baiskel uwah japo najua alinipa baiskel ili nisipate shida tembea. Alitumia neno mwanangu karibu siku zote (hakunizaa bahat mbaya ndo mana hakuona yafaa nitukana)
daima R.I.P my mom
et wa mama wa uswahilini, mkuu mzazi yoyote wa kike kusema na mtoto wake ipo sana, na kama wangekua hawatupendi naona wangebana miguu wakat wa kujifungua tukafia mbali au wangetuchoropoa tu tukawa hatupo kwenye uso hu wa dunia na so kila siku mtakua mnaishi et kwa upendo tu vikombe kabatini vinagongana sisi binadam ndio nn tusigombane, my mom will always be the best kwanza na hivi ukituona kama tunalingana vimo watu wengine husema mtu na dada ake na hua anantambulisha kama mwanangu wa kike wa pekee

Mama ni mama tu hata awe wa kishua kuna siku lazima akasirike afoke bwana
 
Hao ni wa mama wa uswailin ila nachokumbuka kwangu n upendo wake tu. Alinipa hela akituma sokon pamoja na yangu ili eti nikitokea nimekanyaga nyanya za watu nilipe. wakati naondoka na mgumu aliniambia chukua baiskel uwah japo najua alinipa baiskel ili nisipate shida tembea. Alitumia neno mwanangu karibu siku zote (hakunizaa bahat mbaya ndo mana hakuona yafaa nitukana)
daima R.I.P my mom
Acha uongo wewe, labda kama ali rip ukiwa mdogo, unaijua barehe wewe??? Au labda kama wewe ni mtoto si riziki dizain ya akina James Delicious poa.
 
Mala Nyingi Inapotokea Mzazi Anaona Kwa Namna Moja au Nyingine Mwenendo Wa Kijana Wake Haupo Sawa Huwa Wana Kauli Zao.

Mimi Binafsi Nilikuwa Sijatulia Kabisaa Kwa Kupenda Totoz, Mama Hakuniacha Salama Kwa kauli zake "Wewe Hangaika Hangaika tuu, Siku Ukianza Kujiharishia Mimi Sita kuwepo.

Kuhusu Shule Na Utolo " Nakuvutia Pumzi Siku nikikukamata Utajamba Cheche"

Nikichelewa Kurudi Home, " Unanitia Presha na Kunitoa Jasho La Matako Mbwa Koko Wewe Ulikuwa Wapi?"

It was so Fun.[emoji2]

Share Na wewe Ni Kipi Unakumbuka Kutoka Kwa Mzazi Baada ya Kumuuzi Kupita Kawaida.View attachment 790165

Wee vuta tu ma bange yako hayo mpaka upasuke
 
Unauliza chakula, umeoa hapa?
Kwani haukula uko ulipokuwa?
Umeanza kuruka mawimbi ehe?
Uliniaga wakati unaenda?
Ruka ruka nao, Kwani ntakuwepo wakati unafungwa nepi!? Utakula ulipokuwa
Hhaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mambo ya nepi
 
Hao ni wa mama wa uswailin ila nachokumbuka kwangu n upendo wake tu. Alinipa hela akituma sokon pamoja na yangu ili eti nikitokea nimekanyaga nyanya za watu nilipe. wakati naondoka na mgumu aliniambia chukua baiskel uwah japo najua alinipa baiskel ili nisipate shida tembea. Alitumia neno mwanangu karibu siku zote (hakunizaa bahat mbaya ndo mana hakuona yafaa nitukana)
daima R.I.P my mom
Kwani boss kuna mzazi aliezaa bahati mbaya ? C inatokea tuu akiwa na hasira tusi lolote anakutumia[emoji16][emoji16]
 
et wa mama wa uswahilini, mkuu mzazi yoyote wa kike kusema na mtoto wake ipo sana, na kama wangekua hawatupendi naona wangebana miguu wakat wa kujifungua tukafia mbali au wangetuchoropoa tu tukawa hatupo kwenye uso hu wa dunia na so kila siku mtakua mnaishi et kwa upendo tu vikombe kabatini vinagongana sisi binadam ndio nn tusigombane, my mom will always be the best kwanza na hivi ukituona kama tunalingana vimo watu wengine husema mtu na dada ake na hua anantambulisha kama mwanangu wa kike wa pekee

Mama ni mama tu hata awe wa kishua kuna siku lazima akasirike afoke bwana
Sure. Mule mule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom