Wazazi wanajuaje mabinti bikra?

Wazazi wanajuaje mabinti bikra?

Mama yako ameshindwa kujua kuwa kuna bikra za kichina, mpe pole sana.
 
Naskia zamani binti akitaka kuolewa alikua anachunguliwa na ndugu zake hasa mashangazi ili kujihakikishia kama ni bk ama lah na ilikua inasaidia wakati wa kutolewa mahari kama uko vzr bk yani ndugu wanapata nguvu ya kudai mahari kubwa no negotiations,ila kama siyo bk utazomewa na mama yako atafedheheshwa kwamba hakukulea vzr. And mode of ukaguzi wa bk ilikua ni kuvua nguo na kutanua miguu ili kucheki sehemu kama iko tight au imeachia,ukikutwa imeachia utachezea kifinyo wewee na masimango juu. Yawezekana ndivo alivofanyiwa mkeo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Tununu

Nlkitafuta mchumba mwa mwitu

Imbombo ili ngafu , wakulonda ishekeli haan ipesa

Hivi nimepatia , mi hapo ekuomba maji ya kunywa au! ?! [emoji28]
Dah, umejitahidi kueleweka japo siyo sana[emoji3] ,wachumba wanataka pesa eeh, ndyo upige Kazi zaidi upate pesa ufaidi acha uogaa
 
Naskia zamani binti akitaka kuolewa alikua anachunguliwa na ndugu zake hasa mashangazi ili kujihakikishia kama ni bk ama lah na ilikua inasaidia wakati wa kutolewa mahari kama uko vzr bk yani ndugu wanapata nguvu ya kudai mahari kubwa no negotiations,ila kama siyo bk utazomewa na mama yako atafedheheshwa kwamba hakukulea vzr. And mode of ukaguzi wa bk ilikua ni kuvua nguo na kutanua miguu ili kucheki sehemu kama iko tight au imeachia,ukikutwa imeachia utachezea kifinyo wewee na masimango juu. Yawezekana ndivo alivofanyiwa mkeo
Vp sasa nikikupeleka ww kwa mama

Ntapata kitu gan[emoji847][emoji847]
 
Duh! Umejipatia mke, wengi wasingekubali huo upuuzi wa kuchunguliwa na strangers.

Unakuajee wanaJF
Kwa kwel nimekuwa nikiambiwa na wazee wangu kwamba ukipata Mwanamke wa kuoa mpeleke kwa Mama yako naye mama yangu ataita wanawake wenzake basi watakwambia kwamba huyo binti n bikra au la.... Kwa kwel nilifanya hvyo na nlipompata mwanamke mmoja ambae sasa n Mke wangu nilimpelekaa kwa mama yangu naye mama akawaitaa wanawake wenzake wakaaa na huyo Mke wangu kabla hatujaoaa wakiongeaa mambo mawili matatu hvi kwa muda wa siku nzima tukapikiwa na kula vzur baada ya kuondoka tu.. Mama yangu alinipgia simu akisemaa huyo binti n mzur sana ana heshima na adabu anafaaa kuwa Mke wako lakin pia ni Bikra.ni kwel kabsa mim tangu nkutane na huyo binti sikuwah kukutana nae kimwili mpka pale alipoharalishwa na aliniambia kabsa yeye n bikra na kwel kabsaa siku ya honey moon nkamtoaa Mke wangu bikra.. swali langu huyo mama yangu alijuajee huyu binti km n bikra maana leo nlikuwa napga story mama yangu akanikumbushaa haya maneno nkachekaa sana
 
Eeeh unaongea na mama yako mambo ya bikra. Aisee
 
  • Thanks
Reactions: K M

Similar Discussions

Back
Top Bottom