Wazazi wa Daud A. Bashite (Makonda) wajitokeza

Wazazi wa Daud A. Bashite (Makonda) wajitokeza

Namshauri Daud A Bashite aka Makonda, alete vyeti, sijawahi kuona dunian mzazi ana muharibia mwanaye ambaye anatengeneza hela.
Na hao Clouds wana enda hata kukutana na wazazi wana shindwa vipi kuomba vyeti. Pmbavvvv
Vyeti amekataa kutoa. Je hakuna njia mbadala ya kumlazimisha kutoa vyeti
 
Namshauri Daud A Bashite aka Makonda, alete vyeti, sijawahi kuona dunian mzazi ana muharibia mwanaye ambaye anatengeneza hela.
Na hao Clouds wana enda hata kukutana na wazazi wana shindwa vipi kuomba vyeti. Pmbavvvv
Umekosa radio ya kusikiliza mpaka unafungua radio clouds
 
NECTA ndio suluhisho , na wanafunzi kumi waliosoma nae darasa moja wadhibitishe.
 
Inasikitisha sana kuona kiongozi wa kiroho anaghulika Sana na mambo binafsi ya mwingine ns kuacha kuhubiri Meno la MUNGU kwani ulimwengu wa sasa neno la MUNGU ni muhimu Sana tena Sana kuliko vyeti tena cha mtu mmoja naanza kupata wasiwasi Kama kweli ni MTUMISHI WA MUNGU.
 
Back
Top Bottom