Wazazi wa Daud A. Bashite (Makonda) wajitokeza

Wazazi wa Daud A. Bashite (Makonda) wajitokeza

Bashite hajamwaga mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka bali yeye ndiyo kayanywa hayo mafuta ya taa.

Mimi ningekuwa mkazi wa Daudi Bashite ningeanzisha kampeni ya kuweka cheti cha form 4 kwenye page ya Facebook wakazi wote wajiji na mwenye jiji ajionee.

a.k.a Shite boy
931c664c30de0181f7db3d3705ffd4fe.jpg
 
Bashite huchomoki, Tunanataka vyeti vyako tukuhakiki
ili kuwa RC huitaji konyesha cheti kama wewe unayezunguka na bahasha ambayo pia ni fake kwani hukuwai kufanya assignment yoyote chuoni, research uliandikiwa nk
 
Ajiandae Kung`oka Bashite, hafai kabisa yaani watu wamekomaa na shule halafu yeye anadandia juu kwa juu, haiwezekani.
 

wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......


Acha upuuzi wako wewe, kuwa Mzee wa kanisa sio kigezo cha kutokuongopa. YUDA ESKARIOT pamoja na kuishi na Yesu lakini mbele vipande thelasini alikua mdogo kama piriton, seuze huyo Mzee wa kanisa mbele ya mamilioni ya GSM.
 
Chemsha ukwaju kunywa
acheni ujinga
ninyi mmesema kazaliwa akiitwa Daud Albert Bashite ina maana hao wazazi wamenunuliwa?
mbona mnaiweka JF ni ya majungu?
 
Bavicha uwezo wa kuchanganua mambo ni mdogo sana.Unamtuhumu mtu kufoji halafu unamuambia yeye amwage ushahidi mezani!mtasubiri sana
 
Weka mkeka mezani!! Hatutaki ma story.....vyeti fake ni kosa la jinai!!
 
Hizi akili mbovu sasa, hivi leo mm ntu aseme nilete vyeti si nitatumia dakika 5 tu? Kwann vyeti aleti??? Kuweni waelewa basi hata kidogo
 
Namshauri Daud A Bashite aka Makonda, alete vyeti, sijawahi kuona dunian mzazi ana muharibia mwanaye ambaye anatengeneza hela.
Na hao Clouds wana enda hata kukutana na wazazi wana shindwa vipi kuomba vyeti. Pmbavvvv
Aisee huyo jamaa bila kutuletea vyeti hili jambo hatutalinyamizia, aweke mezani vyeti tuvione na mm kesho naanza kuweka vya kwangu ili aone wanaume tulivyokuwa tunakesha tunasoma na tunastahili kuchukua hiyo nafasi
 
Acha upuuzi wako wewe, kuwa Mzee wa kanisa sio kigezo cha kutokuongopa. YUDA ESKARIOT pamoja na kuishi na Yesu lakini mbele vipande thelasini alikua mdogo kama piriton, seuze huyo Mzee wa kanisa mbele ya mamilioni ya GSM.
wewe kilaza kweli,jina makonda limefojiwa ktoka kwenye Paul.M,kwahyo hiki n la kupachika,zeroo yaaan,fafa,zerooooo yaaan
Tatizo ni Ku forge vyeti kuwa mzee wa kanisa hakukufanyi uwe mtakatifu.
Namshauri Daud A Bashite aka Makonda, alete vyeti, sijawahi kuona dunian mzazi ana muharibia mwanaye ambaye anatengeneza hela.
Na hao Clouds wana enda hata kukutana na wazazi wana shindwa vipi kuomba vyeti. Pmbavvvv
Naona wewe ndiye Makondakta baada ya kutoka kuombewa ili usifukuzwe kibarua na kufungwa
naona nimeingia choo cha kina Mmawia
msichokielewa ni nini hapo?
tunamzungumzia mtu anaitwa Daud Albert Bashite mmedai alisomea vyeti vya Paul Makonda
  1. hao Wazazi ni wa nani?
  2. huko MICcoBs katambulika akiwa Waziri Mkuu Makonda
  3. Wazazi wanamuita mtoto wao Paul Makonda
ninyi mnazungumzia kufoji vyeti INAWAHUSU NINI
wakati ukuu wa Mkoa HATATUMBULIWA
p,se acheni matusi na ulevi wa unga JF isijeonekana ina machoko km mnavyojibu km UKAWA waliotumwa
jibuni hoja muache kujifanya mapunga
 
Aisee huyo jamaa bila kutuletea vyeti hili jambo hatutalinyamizia, aweke mezani vyeti tuvione na mm kesho naanza kuweka vya kwangu ili aone wanaume tulivyokuwa tunakesha tunasoma na tunastahili kuchukua hiyo nafasi
Hahahaha
Ngoja na mimi nimuoneshe
Tena wengine wali risit fyresh now wametoboa na vyeti vyao vya form 4 vi nne vi nne
Ila wamefika, yeye na ubashite wake anataka alete politiks hapa
 
Bavicha uwezo wa kuchanganua mambo ni mdogo sana.Unamtuhumu mtu kufoji halafu unamuambia yeye amwage ushahidi mezani!mtasubiri sana
CCM chama cha wahalifu wa kitaaluma mnafoji vyeti alafu mnaigiza mnakagua vyeti kumbe matapeli wa elimu.
 
Back
Top Bottom