Wazazi wa Daud A. Bashite (Makonda) wajitokeza

Wazazi wa Daud A. Bashite (Makonda) wajitokeza


wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......

Wamekuja na vyeti vya form four au maneno tupu[emoji35] [emoji41] [emoji26]
 

wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......

fafafafafa zote jipu lipo usoni kama tochi
 
Namshauri Daud A Bashite aka Makonda, alete vyeti, sijawahi kuona dunian mzazi ana muharibia mwanaye ambaye anatengeneza hela.
Na hao Clouds wana enda hata kukutana na wazazi wana shindwa vipi kuomba vyeti. Pmbavvvv
Waombe vyeti kwani wanataka kumuajiri? Pelekeni vyeti vyenu nyie msio na kazi...
 

wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......

We kweli Ukwaju .... Du! ha ha ha haaaa
 
Vijana wa lumumba kwa kujipendekeza kwa viongozi wao wacha tu,hapo bashite hachomoki tunataka vyeti tu,aende msikitini au kanisani issue ni ile ile tunataka vyeti tu
 
Kumkomoa mbea unakuja na evidence baasi, yeye kinamshinda mini?
 
Tuimbe wote chorus
Vyeeeeti vyeeeeti... Vyeeeti
Vyeeeeti hvyooo...
Vyetiiiii vyetiiii hvyoooo
Vyeti vyeti hvyoo vyeti
Mavyeti feki.... vyeeetiii vyeeetii fekiii vyeti
cha fom foo fekiii cheti fekiii chet
Cha kuzaliwa fekiii chet fekii chet
 
Back
Top Bottom