Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 54,467
- 101,807
Badala ya kuandika habari, amejikuta anawaza
wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......
Vyeti vyake lazima tuhoji kama RAIA wema maana kuna sheria kabisa kuhusu Ku forge kwani yeye ni nani Mpaka asisemwe wakati wenzake wameacha kazi na kufungwa.naona nimeingia choo cha kina Mmawia
msichokielewa ni nini hapo?
tunamzungumzia mtu anaitwa Daud Albert Bashite mmedai alisomea vyeti vya Paul Makonda
ninyi mnazungumzia kufoji vyeti INAWAHUSU NINI
- hao Wazazi ni wa nani?
- huko MICcoBs katambulika akiwa Waziri Mkuu Makonda
- Wazazi wanamuita mtoto wao Paul Makonda
wakati ukuu wa Mkoa HATATUMBULIWA
p,se acheni matusi na ulevi wa unga JF isijeonekana ina machoko km mnavyojibu km UKAWA waliotumwa
jibuni hoja muache kujifanya mapunga
Fanya kazi kijana unakua mbeya kiasi hicho?Mkuu uko nchi gani? Hii ya tangu 2016
wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......
Hoja gani uliyoleta wewe?Jielekeze kwenye hoja.Mnampaisha Makonda bila ya kujijua.sasa hivi hakuna tena kujadili masuala ya nchi,ni Makonda tu anawawehusha
naona nimeingia choo cha kina Mmawia
msichokielewa ni nini hapo?
tunamzungumzia mtu anaitwa Daud Albert Bashite mmedai alisomea vyeti vya Paul Makonda
ninyi mnazungumzia kufoji vyeti INAWAHUSU NINI
- hao Wazazi ni wa nani?
- huko MICcoBs katambulika akiwa Waziri Mkuu Makonda
- Wazazi wanamuita mtoto wao Paul Makonda
wakati ukuu wa Mkoa HATATUMBULIWA
p,se acheni matusi na ulevi wa unga JF isijeonekana ina machoko km mnavyojibu km UKAWA waliotumwa
jibuni hoja muache kujifanya mapunga
Clouds ndio kimbilio la Bashite kila jambo linapo mchachiaNamshauri Daud A Bashite aka Makonda, alete vyeti, sijawahi kuona dunian mzazi ana muharibia mwanaye ambaye anatengeneza hela.
Na hao Clouds wana enda hata kukutana na wazazi wana shindwa vipi kuomba vyeti. Pmbavvvv
wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......
wewe kilaza kweli,jina makonda limefojiwa ktoka kwenye Paul.M,kwahyo hiki n la kupachika,zeroo yaaan,fafa,zerooooo yaaan
Tunahitaji vyeti tuuuAcha ubwege .....Aweke utetezi wa vyeti hadharani usijifanye hujaelewa.
Point yenye mboleaKwani babake akiwa ni mzee wa kanisa huko koromije kunahusiana vipi na tuhuma za mwanae kufoji vyeti? Nyie mlitaka wazazi wake waseme alifoji cheti ili mtoto wao arudi kijijini koromije kuchunga mbuzi?
wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......
Acha maneno weka cheti mezaniBashite huchomoki, Tunanataka vyeti vyako tukuhakiki
Huwa wana jihisi serikali sana wale jamaa.Clouds ndio kimbilio la Bashite kila jambo linapo mchachia
Sijui angeambiwa alete cha ukimwi ingekuwaje?Hizi akili mbovu sasa, hivi leo mm ntu aseme nilete vyeti si nitatumia dakika 5 tu? Kwann vyeti aleti??? Kuweni waelewa basi hata kidogo