Wazazi wa Daud A. Bashite (Makonda) wajitokeza

Wazazi wa Daud A. Bashite (Makonda) wajitokeza

Ukwaju

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
13,384
Reaction score
11,281

wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......
 

wakihojiwa na Zamaradi
sasa sijui huyo Mtume Gwajima na wenzake waliwafikia lini hao kina Daud Albert Bashite au walioteshwa ?
Mzee Makonda ni Mzee wa Kanisa huko kwao kwa kina Gwajima na akina ngosha sasa hapa tatizo ni nini Ukuu wa Mkoa au UNGA? maana jiwe limerushwa gizani na Mkuu wa Mkoa alisema kabisa sasa subirini matokea baada ya kutaja majina tu
VITA vita vita kila kona na ukimwaga maji kwenye mashimo yae atoka hata na yasiyo .......

Naona wewe ndiye Makondakta baada ya kutoka kuombewa ili usifukuzwe kibarua na kufungwa
 
Namshauri Daud A Bashite aka Makonda, alete vyeti, sijawahi kuona dunian mzazi ana muharibia mwanaye ambaye anatengeneza hela.
Na hao Clouds wana enda hata kukutana na wazazi wana shindwa vipi kuomba vyeti.
 
Ishi ya unga tz haitakaa iishe maana naona inasahaulishwa kimya kimya na vyeti vya makonda
 
Back
Top Bottom