...kuna anayewafahamu hawa? I hope sio Bongo!
Lakini hiyo mirindimo na kelele zake, mnh!
Najiskia kama kulia aisee,...kabinti kangu kufanywa kinyago?,
ningeua mtu!
na huyo sijui ni mama mtoto na makofi anapiga kabisa kusapport huo upuuzi,mambo mengine ya kipumbavu tufanyie hukoo sio mpaka mbele ya watoto .nimesikia hasira yaani Mbu umetoa wapi hii jamani.
I would go berserk if somebody did that to my cute little girl. Yaani usipime. Nitang'oa meno ya mtu.
Nimejiskia Uchungu sana nilipoiangalia hii,
nikajionea acha ni share na nyie, dunia inaelekea pabaya!
Jamani mbona nasikitika?? Hivi huyo ni mamake kweli wa hako katoto?? duh....kweli wazazi tuna kazi. Tatizo ni nini wajameni hebu tusaidiane.......tuassume huyo ni mamake na huyo mtoto..............tunamexplain vipi?? ni malezi yake toka kwa wazazi wake?; karithi mtaani? kisomo au ni nini? Why mmama akubali upuuzi huu??
Mhhh! Siyo kila binadamu anayeweza kumleta mtoto hapa duniani anastahili kuwa mzazi. Hawa wanastahili kabisa kunyang'anywa watoto kama baadhi ya hao watoto ni watoto wao.
Lakini hata katika mazingira ya kwetu yapo! Disco toto ni nini? Wazazi wengi wameingia kwenye mtindo wa kuruhusu watoto kwenda disco toto, Idd, X-mass, mwaka mpya etc. Kuna mzazi yeyote husindikiza watoto huko disco toto? Na haya ndo hutokea.
Tunawasajili watoto kwa Lucifer na kuwapa namba za kudumu huko. Mungu tuepushe haya.
kamandaJamani mbona nasikitika?? Hivi huyo ni mamake kweli wa hako katoto?? duh....kweli wazazi tuna kazi. Tatizo ni nini wajameni hebu tusaidiane.......tuassume huyo ni mamake na huyo mtoto..............tunamexplain vipi?? ni malezi yake toka kwa wazazi wake?; karithi mtaani? kisomo au ni nini? Why mmama akubali upuuzi huu??