Hahahaha...lol! Umenifurahisha sana!A future Usain Bolt...maana huo ugali au sijui fufu....ni full ma carbohydrate....
Kweli wazazi inabidi kutumia busara kabisa, ni kuonea watoto tu, kiugali gani hicho sasa? Kama huwezi kulea ulizaa wa nini? Tabia mbaya sana yaani.
huo ni ugali wa yanga.