Wazazi tubadilike, tuache kuwapa watoto majina ya kizamani. Kuna majina yamepitwa na wakati

Wazazi tubadilike, tuache kuwapa watoto majina ya kizamani. Kuna majina yamepitwa na wakati

Sawa kwa hiyo majina mapya kama Anko T ndo mwake sawa kwa sasa
Kwa hiyo hayo majina unayosema ni ya kisasa yenyewe sio ya kurithi? Huyo mwanao ndio atakuwa wa kwanza kuitwa jina hilo hapa duniani?

Huyo huyo mwenye jina kama unalotaka kumpa mwanao naye anatabia zake vile vile na zinaambatana na hilo jina vile vile
Gari, nguo nk nk leo jina nalo mtumba wa mdhungu
 
Kuna majina kwa sasa hayafai kuwapa watoto maana yameshapitwa na wakati.

Embu jaribu kufikiria unakutana na mtoto wa mwaka mmoja anaitwa Mwanne, Tatu, Yona, Bartholomew, Juma,Shabani ,Hamisi,Isaya ,Jumanne,

Wengine ndio hao akina Selemani ,Sikudhani, Rajabu, Paulo, Fatuma ,Ashura,Rehema, Pius, John, Jose ,Mudi ,Omari,Shamte nk

Kiufupi haipendezi kwa kweli, tafuteni majina yanayokwenda na wakati hayo yalishapitwa na zama zake .

Kama unavyoona ni ngumu kwa sasa kumpata mzee anaitwa Junior, au Precious 😂😂😂😂😂😂 basi na hayo majina nayo tuachane nayo ,tuangalie majina ya kisasa.
Nakubaliana na wewe. Mpe mtoto jina ambalo kwanza ni nadra, pili liwe lina-sound poa, tatu usitafute liwe na maana kubwa sana. Likiwa na hizo sifa mbili, hata kama linamaanisha jiwe, meza, shamba, inatosha. Mradi lisimaanishe kitu kibaya kama mwizi, mavi, shetani nk.
 
Sijui na wenzetu wanawaza kuwapa majina ya kiafrika watoto wao, sijui hata kwao kama majina ni issue ya kujadiliwa
LAKINI ukiwa masikini huku afrika kuna n'gombe WA kizungu kuku wakizungu mbwa wakizungu .Harafu eti majina yanabeba matendo ya wahusika🤣🤣🤣🤣🤣🤣 lakina akina Yuda Hitler tunao na hawana shida zile
 
Kuna majina kwa sasa hayafai kuwapa watoto maana yameshapitwa na wakati.

Embu jaribu kufikiria unakutana na mtoto wa mwaka mmoja anaitwa Mwanne, Tatu, Yona, Bartholomew, Juma,Shabani ,Hamisi,Isaya ,Jumanne,

Wengine ndio hao akina Selemani ,Sikudhani, Rajabu, Paulo, Fatuma ,Ashura,Rehema, Pius, John, Jose ,Mudi ,Omari,Shamte nk

Kiufupi haipendezi kwa kweli, tafuteni majina yanayokwenda na wakati hayo yalishapitwa na zama zake .

Kama unavyoona ni ngumu kwa sasa kumpata mzee anaitwa Junior, au Precious 😂😂😂😂😂😂 basi na hayo majina nayo tuachane nayo ,tuangalie majina ya kisasa.
Hivi kuna mzungu anaitwa Wambura, au Matonya au Mwakalukwa au Byalugaba ?

Mwafrica hakuna kitu chake anachokithamini kuanzia Rasilimali, vyakula madini hata akili yake tu yenyewe haithamini.
Kila cha maana ni cha nje, au waarabu ama wazungu.

Tuna majina mazuri sana ya kikwetu ya ASILI. Hiyo mizimu sijui urithi gani ni vitisho vitisho na hadaa tu za weupe.

Padri atakuambia sikubatizi hadi uitwe Sospeter au Madona.

Shehe anakuambia hutasilimu hadi uitwe Abdalah, ujinga mtupu.
Majina ya weupe mengine yana asili ya miungu, mapepo mashetani bila kujua.
 
Kuna majina huaga yanatumikaga utoton tu mf queen,jr,greshaz,hansi,prinsi,prinses tena hawa wadogo wakifika sec tayar wanaanzaa kuyakwepa na ndio wengi hua wanapambanaga sana uko RITA kubadili majina
 
Kuna majina kwa sasa hayafai kuwapa watoto maana yameshapitwa na wakati.

Embu jaribu kufikiria unakutana na mtoto wa mwaka mmoja anaitwa Mwanne, Tatu, Yona, Bartholomew, Juma,Shabani ,Hamisi,Isaya ,Jumanne,

Wengine ndio hao akina Selemani ,Sikudhani, Rajabu, Paulo, Fatuma ,Ashura,Rehema, Pius, John, Jose ,Mudi ,Omari,Shamte nk

Kiufupi haipendezi kwa kweli, tafuteni majina yanayokwenda na wakati hayo yalishapitwa na zama zake .

Kama unavyoona ni ngumu kwa sasa kumpata mzee anaitwa Junior, au Precious 😂😂😂😂😂😂 basi na hayo majina nayo tuachane nayo ,tuangalie majina ya kisasa.
Chai
 
Back
Top Bottom