Wazazi pelekeni watoto shule wasome

Wazazi pelekeni watoto shule wasome

John John Msakuzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
279
Reaction score
99
1754887970326.png


Katika hotuba yake kwa wanahabari anasema Chini ya uongozi wa Rais Samia utoaji wa huduma za elimu mkoani umeimarika kwa kiasi kikubwa kupitia ujenzi na ukarabati wa miundombinu pamoja na ongezeko la walimu.

Serikali imetoa jumla ya TZS 146.69 bilioni kuanzia mwaka 2021 hadi mwaka 2025 kwa sekta ya elimu. Fedha za Elimu Bila Malipo zimeongezeka kwa TZS 9.84 bilioni, kutoka TZS 12.84 bilioni mwaka 2020 hadi TZS22.68 bilioni mwaka 2025.

Shule za msingi zimeongezeka kwa shule 171, kutoka 819 mwaka 2020 hadi 990 mwaka 2025, na shule za sekondari zimeongezeka kwa shule 67, kutoka 197 mwaka 2020 hadi 264 mwaka 2025.

Vyumba vya madarasa ya shule za msingi vimeongezeka kwa 2,026, kutoka 6,074 mwaka 2020 hadi 8,100 mwaka 2025, na vya Sekondari vimeongezeka kwa 1,796, kutoka 2,251 mwaka 2020 hadi 4,047 mwaka 2025. Nyumba za walimu zimeongezeka kwa 258, kutoka 2,076 mwaka 2020 hadi 2,334 mwaka 2025.

Ufaulu wa darasa la saba umeongezeka kwa asilimia 1.0, kutoka 69.8 mwaka 2021 hadi 70.8 mwaka 2025; kidato cha nne kwa asilimia 6.6, kutoka 88.4 mwaka 2020 hadi 95 mwaka 2025; na kidato cha sita kwa asilimia 0.04, kutoka 99.96 mwaka 2020 hadi 100 mwaka 2025.

Walimu wa msingi na sekondari wameongezeka kwa 1,635, kutoka 10,719 mwaka 2020 hadi 12,354 mwaka 2025. Vyuo vya VETA vimeongezeka kwa vyuo 3, kutoka 3 mwaka 2020 hadi 6 mwaka 2025 katika wilaya za Igunga, Uyui, Tabora, Nzega, Kaliua na Urambo. Hivyo Rais Samia ameongeza TZS10bn kwenye Elimu bure Tabora.​
 
Huyu Mama mambo aliyoyafanya hata kama ni miaka 20 apewe tu kama atataka na katiba itamruhusu
 
View attachment 3438090

Katika hotuba yake kwa wanahabari anasema Chini ya uongozi wa Rais Samia utoaji wa huduma za elimu mkoani umeimarika kwa kiasi kikubwa kupitia ujenzi na ukarabati wa miundombinu pamoja na ongezeko la walimu.

Serikali imetoa jumla ya TZS 146.69 bilioni kuanzia mwaka 2021 hadi mwaka 2025 kwa sekta ya elimu. Fedha za Elimu Bila Malipo zimeongezeka kwa TZS 9.84 bilioni, kutoka TZS 12.84 bilioni mwaka 2020 hadi TZS22.68 bilioni mwaka 2025.

Shule za msingi zimeongezeka kwa shule 171, kutoka 819 mwaka 2020 hadi 990 mwaka 2025, na shule za sekondari zimeongezeka kwa shule 67, kutoka 197 mwaka 2020 hadi 264 mwaka 2025.

Vyumba vya madarasa ya shule za msingi vimeongezeka kwa 2,026, kutoka 6,074 mwaka 2020 hadi 8,100 mwaka 2025, na vya Sekondari vimeongezeka kwa 1,796, kutoka 2,251 mwaka 2020 hadi 4,047 mwaka 2025. Nyumba za walimu zimeongezeka kwa 258, kutoka 2,076 mwaka 2020 hadi 2,334 mwaka 2025.

Ufaulu wa darasa la saba umeongezeka kwa asilimia 1.0, kutoka 69.8 mwaka 2021 hadi 70.8 mwaka 2025; kidato cha nne kwa asilimia 6.6, kutoka 88.4 mwaka 2020 hadi 95 mwaka 2025; na kidato cha sita kwa asilimia 0.04, kutoka 99.96 mwaka 2020 hadi 100 mwaka 2025.

Walimu wa msingi na sekondari wameongezeka kwa 1,635, kutoka 10,719 mwaka 2020 hadi 12,354 mwaka 2025. Vyuo vya VETA vimeongezeka kwa vyuo 3, kutoka 3 mwaka 2020 hadi 6 mwaka 2025 katika wilaya za Igunga, Uyui, Tabora, Nzega, Kaliua na Urambo. Hivyo Rais Samia ameongeza TZS10bn kwenye Elimu bure Tabora.​
Hongera sana madame Rais
 
Hata kama mazuri mengi yanaonekana shida ipo mimi pia ninaafiki ila swala la lissu ni janga,
 
wanajinasibu kujenga shule lakini wtoto wao hwasomi huko mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
View attachment 3438090

Katika hotuba yake kwa wanahabari anasema Chini ya uongozi wa Rais Samia utoaji wa huduma za elimu mkoani umeimarika kwa kiasi kikubwa kupitia ujenzi na ukarabati wa miundombinu pamoja na ongezeko la walimu.

Serikali imetoa jumla ya TZS 146.69 bilioni kuanzia mwaka 2021 hadi mwaka 2025 kwa sekta ya elimu. Fedha za Elimu Bila Malipo zimeongezeka kwa TZS 9.84 bilioni, kutoka TZS 12.84 bilioni mwaka 2020 hadi TZS22.68 bilioni mwaka 2025.

Shule za msingi zimeongezeka kwa shule 171, kutoka 819 mwaka 2020 hadi 990 mwaka 2025, na shule za sekondari zimeongezeka kwa shule 67, kutoka 197 mwaka 2020 hadi 264 mwaka 2025.

Vyumba vya madarasa ya shule za msingi vimeongezeka kwa 2,026, kutoka 6,074 mwaka 2020 hadi 8,100 mwaka 2025, na vya Sekondari vimeongezeka kwa 1,796, kutoka 2,251 mwaka 2020 hadi 4,047 mwaka 2025. Nyumba za walimu zimeongezeka kwa 258, kutoka 2,076 mwaka 2020 hadi 2,334 mwaka 2025.

Ufaulu wa darasa la saba umeongezeka kwa asilimia 1.0, kutoka 69.8 mwaka 2021 hadi 70.8 mwaka 2025; kidato cha nne kwa asilimia 6.6, kutoka 88.4 mwaka 2020 hadi 95 mwaka 2025; na kidato cha sita kwa asilimia 0.04, kutoka 99.96 mwaka 2020 hadi 100 mwaka 2025.

Walimu wa msingi na sekondari wameongezeka kwa 1,635, kutoka 10,719 mwaka 2020 hadi 12,354 mwaka 2025. Vyuo vya VETA vimeongezeka kwa vyuo 3, kutoka 3 mwaka 2020 hadi 6 mwaka 2025 katika wilaya za Igunga, Uyui, Tabora, Nzega, Kaliua na Urambo. Hivyo Rais Samia ameongeza TZS10bn kwenye Elimu bure Tabora.​
Hapa kuna mambo matano mazuri ya Rais Samia Suluhu Hassan, yaliyoonekana wazi katika uongozi wake:


  1. Kuimarisha uchumi wa taifa – Rais Samia amesisitiza uwekezaji, maendeleo ya miundombinu, na uwekaji wa sera zinazosaidia biashara ndogo na kubwa, jambo lililoongeza ajira na pato la Taifa.
  2. Kuboresha huduma za afya – Chini ya uongozi wake, upatikanaji wa huduma za afya umeimarishwa, ikiwa ni pamoja na chanjo kwa watoto na upanuzi wa vituo vya afya vijijini.
  3. Elimu bila vikwazo – Rais Samia amesisitiza elimu bila ada kwa shule za msingi na sekondari, kuhakikisha watoto wote wanapata fursa ya elimu bora bila vikwazo vya kifedha.
  4. Miundombinu makini – Amelenga katika ujenzi wa barabara, reli ya SGR, na bandari mpya kama Bandari ya Bagamoyo, ili kurahisisha usafirishaji na biashara ndani na nje ya nchi.
  5. Kutoa fursa kwa vijana na wanawake – Amekuwa mstari wa mbele katika kuunda ajira, kukuza uwekezaji, na kuhamasisha ushiriki wa wanawake na vijana katika biashara na sekta za kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom