Ajira nyingi zina nafasi zaidi kwa watoto wa maboss, watoto na ndugu wa wanasiasa wakubwa, watoto wa matajiri wanaojuana na watu wakubwa, wazanzibari wanaopewa mgao wa ajira ili kubalance muungano.
Halafu sasa kuna upande wa pili wazazi wanofosi kingi bila kujua hatma ya watoto, mmejipangaje ?
Ajira ni chache sana, vyuo vinazidi kujengwa, wahitimu wanazidi kujaa kila mwaka, division 1 na 2 zipo nyingi kama utitiri
Mmejipanga vp kisaikolojia ?
Halafu sasa kuna upande wa pili wazazi wanofosi kingi bila kujua hatma ya watoto, mmejipangaje ?
Ajira ni chache sana, vyuo vinazidi kujengwa, wahitimu wanazidi kujaa kila mwaka, division 1 na 2 zipo nyingi kama utitiri
Mmejipanga vp kisaikolojia ?