Wazazi kuwapa watoto dawa za majira kabla ya kwenda bording ni suluhisho la kuzuia mimba?

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,150
Nilikuwa napiga story na watu fulani wanasema wazazi wengine wenye watoto formfour wakirudi mashuleni wanapewaga dawa za majira ama kwakujua amakutokujua kuzuia mimba.

Je hii ni suluhisho?
 
Anasema wazazi mashulen mashuleniwanapewaga dawazamajiraama wenyewatotojehiimashu hgffjh dawazamajira..ama kwakujua amakutokujua kuuzuiamimba jehii. nisuluhisho??
anasema wazazi mash
 
Junioir kamazikofine wapewetu hizimimba za konakona shdaasaana hasakwamzazi. wikikwamwenzako
 
We mkimbizi Pdidy jifunze kiswahili ....una andika kama kenge mwenye mimba kubwa....huu ni utumbo mtupu
 
Last edited by a moderator:
Ni kawaida sana nchi za magharibi msichana akifikisha umri wa miaka 16 anapewa prescription ya birth control pills au njia nyingine ya uzazi wa mpango hii inasaidia kuepuka mimba ambazo hazijapangwa za ujana n.k Lakini kwa maadili na mila zetu za kitanzania utasemwa unahalalisha uzinzi na si kwa manufaa ya kizazi kijacho.Kitu kingine muhimu ni hawa watoto wafundishwe kuhusu kujikinga na mimba mashuleni,na wapewe choice ya kwenda kwa nesi mfano kama wana maswali kuhusiana na birth control.Tukisema tuendelee tunavyoenda haisaidii kwasababu ka kubinjuana tunajua wanaanza mapema,so ilobaki ni kuchukua precautions tu!
 
fanya mambo yawe mepesi kwa kuuliza, Je, dawa za majira zinazuia mimba kweli? kama unataka kuongelea maadili phrase kivingine
 
Ni kawaida sana nchi za magharibi msichana akifikisha umri wa miaka 16 anapewa prescription ya birth control pills au njia nyingine ya uzazi wa mpango hii inasaidia kuepuka mimba ambazo hazijapangwa za ujana n.k Lakini kwa maadili na mila zetu za kitanzania utasemwa unahalalisha uzinzi na si kwa manufaa ya next generation.Kitu kingine muhimu ni hawa watoto wafundishwe kuhusu kujikinga na mimba mashuleni,na wapewe choice ya kwenda kwa nesi mfano kama wana maswali kuhusiana na birth control.Tukisema tuendelee tunavyoenda haisaidii kwasababu ka kubinjuana tunajua wanaanza mapema,so ilobaki ni kuchukua precautions tu!

Na ifike mahali tuache kujificha nyuma ya ukweli..kama wote tunajua wanaanza kubinjuana mapema then the best a mother can do ni kumwelekeza binti njia za kuzuia na daddy kumgawia son box la vifanyio
 
Na ifike mahali tuache kujificha nyuma ya ukweli..kama wote tunajua wanaanza kubinjuana mapema then the best a mother can do ni kumwelekeza binti njia za kuzuia na daddy kumgawia son box la vifanyio
Nchi nyingine mashuleni/vyuoni kuna access ya condom bure kabisa,kwenye toilets!Watu wanajificha mno nyuma ya ukweli na hawataki kuface ukweli kwa kuhofia jamii itachukuliaje suala hili kwa ujumla baada ya kufanya kilicho bora na kile ambacho kina maslahi kwenye jamii.
 
Nchi nyingine mashuleni/vyuoni kuna access ya condom bure kabisa,kwenye toilets!Watu wanajificha mno nyuma ya ukweli na hawataki kuface ukweli kwa kuhofia jamii itachukuliaje suala hili kwa ujumla baada ya kufanya kilicho bora na kile ambacho kina maslahi kwenye jamii.

Ni kweli kabisa..na cha kusikitisha ni kuwa wazazi wa kiafrika wanaendekeza the rule of fear..bila kujua kuwa knowledge is the best weapon.
 
Na ifike mahali tuache kujificha nyuma ya ukweli..kama wote tunajua wanaanza kubinjuana mapema then the best a mother can do ni kumwelekeza binti njia za kuzuia na daddy kumgawia son box la vifanyio

Na katika wooote wewe una hakili za ziada. Sina hakika umesoma hadi level gani ila wewe una kitu cha ziada kichwani!! .......kujificha nyuma ya ukweli!!!
 
Wanajua watoto wao wanapigwa kavu sana na kavu ni tamu hivyo bora wameze vidonge kuzuia uchavushaji peke
 
Ok mimba hato pata ngoma je?sikuhizi mijitu mizima inavingonga vitoto vyetu ukimpa kidonge atajua kavu kumbe ruksa so bola tukataze tu,hapa nipo tegeta kuna lizee limekuja na vogue na kitoto cha kiarabu kama sikosei kina miaka 13 jamaa linakinywesha ngrants hatari sijui nianzie wapi kukinusuru?au nachenyewe kimepewa hizo dawa?
 
Back
Top Bottom