Tatizo linakua kwa hawa wanawake wa siku hizi wanajidai na wao wanakibezi!! anasahau kuwa baba ni kicha cha familia akikoroma inatakiwa nyumba nzima ikae kimya siyo mwanamke nae kuleta kibezi!! ......angepiga kabisa.
MP.
Pale wazazi mnapoamua kuporomosheana maneno mazito mazito mbele ya watoto wenu..
inasikitisha sana na haijengi maadili katika makuzi ya watoto wetu
kwani wanajifunza kupitia sisi wazazi.
..
Jana nikiwa napita nyumba ya jirani
baba wa familia moja alikuwa anamporomoshea mama watoto wake maneno mazito
sana ambayo mwenyewe nikajihisi kuona aibu .
watoto age 8,6 nadhani na mdogo kabisa ana 4yrs ,wamesimama wanalia
mbaya zaidi yule mdogo amemshika mama miguu kwa uchungu machozi yanatililika
Sijui alikuwa anaelewa kinachoendelea...
Huyu baba nikamsalimia tu salama jirani...
Akaanza ooh si huyu mama Fulani ananiletea ujinga jinga wake
..akili kama za Mbuzi mie sizitaki
sijui huyu mbuzi anaakili zipi mpaka amfananishie mama watoto wake.
Nikaona na mie ndo naanza kuingizwa kwanye ugomvi....
Kweli nilijitahidi kurudisha amani ingawa yule wife alinambia nilipoondoka zogo lilianza tena.
: Nionavyo mie kama kuna tofauti basi tujifungie room
tumalize kasheshe zetu na si kuwakwaza watoto wasio na hatia.
Tuache haka katabia sio kazuri hata kidogo
itakuwa unakaa uswazi F1 , njoo Upanga
Kwa kweli ni vibaya sana kutukanana mbele ya watoto. Na ni mbaya zaidi kama hao watoto wako kwenye formative years kama hao uliowaelezea maana hizo taswira na sauti huwa zinaganda vichwani mwao kwa muda mrefu sana na huweza kuwaathiri pia.
Well said
Wengi wanajisahau na kuanza kuporomosha matusi mazito sana mbele ya watoto
Hata kaam watoto hawaelewi kinachoendelea ila wanapoona ile sauti ya baba iko juu na mama analia wanaelewa kuwa hapa si kwema kabisa
Kuna tatizo
umetisha nice commentHapa ndipo watoto wanapoanza kujenga matabaka kwa wazazi wao na kuchagua wa kumpenda/wakumchukia.....aidha baba au mama!!