Wazazi hawataki nioe Mwanamke toka Bukoba

Wazazi hawataki nioe Mwanamke toka Bukoba

Wapo sahihi; ila kama muoaji una haki ya kikatiba kukataa, na baadae kujiunga na kataa ndoa!

Kama unaweza jipunguzie shida kwa:

1. Kutooa Mnyiramba.
2. Kutooa Mhaya.
3. Kutooa Mrangi.
4. Kutoa Mbulu.
5. Kutooa Mmachame!

Sio wote wabaya, ila chances kubwa ya wanawake wa hayo makabili aisee ni Matatizo!

Kwa kuwakwepa utakuwa umepunguza kwa asilimia kubwa chances za:

1. Kuishi na mchawi.
2. Kuishi na mshirikina.
3. Kuishi na maigizo ya kilokole.
4. Kuishi na Malaya.
5. Kuishi na wapenda fedha.
 
Vijana mkishapewa uchii mnaacha ku reason.
Usipowasikiliza wazazi litakukuta jambo huko mbeleni.

Reasoning yako haitakiwi ijikite kwenye kuangalia tabia pekee za huyo Binti. Inatakiwa iende beyond.

Asili ya mtu Huwa inaanza kujionesha after some years, like 5, 10 or 15 mkiwa tayari mshazoeana na mshazaa watoto ambapo Kila mtu anataka a install values za asili yake kwa watoto. Hapo ndipo utakapoanza kuimba ule wimbo kwamba majuto ni mjukuuu.
 
Wapo sahihi; ila kama muoaji una haki ya kikatiba kukataa, na baadae kujiunga na kataa ndoa!

Kama unaweza jipunguzie shida kwa:

1. Kutooa Mnyiramba.
2. Kutooa Mhaya.
3. Kutooa Mrangi.
4. Kutoa Mbulu.
5. Kutooa Mmachame!

Sio wote wabaya, ila chances kubwa ya wanawake wa hayo makabili aisee ni Matatizo!

Kwa kuwakwepa utakuwa umepunguza kwa asilimia kubwa chances za:

1. Kuishi na mchawi.
2. Kuishi na mshirikina.
3. Kuishi na maigizo ya kilokole.
4. Kuishi na Malaya.
5. Kuishi na wapenda fedha.
Mkuu. Kama orodha yako haina Mnyaki basi ni batili! 🚮 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Mkuu. Kama orodha yako haina Mnyaki na Mchaga basi ni batili 🚮 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Ongeza Kaka, sitaki Dhambi ya kundi ambalo Sina uzoefu nalo, wachaga nawafaham, na wamewakilishwa na WA Machame hapo, ila nimekutana na WA Rombo wazuri tu,

Ongeza list Kaka! Ila usiwaonee, iwe first hand experiences!
 
Vijana mkishapewa uchii mnaacha ku reason.
Usipowasikiliza wazazi litakukuta jambo huko mbeleni.

Reasoning yako haitakiwi ijikite kwenye kuangalia tabia pekee za huyo Binti. Inatakiwa iende beyond.

Asili ya mtu Huwa inaanza kujionesha after some years, like 5, 10 or 15 mkiwa tayari mshazoeana na mshazaa watoto ambapo Kila mtu anataka a install values za asili yake kwa watoto. Hapo ndipo utakapoanza kuimba ule wimbo kwamba majuto ni mjukuuu.

Huu ni uzoefu, Mkuu nakubaliana na wewe!
 
Ongeza Kaka, sitaki Dhambi ya kundi ambalo Sina uzoefu nalo, wachaga nawafaham, na wamewakilishwa na WA Machame hapo, ila nimekutana na WA Rombo wazuri tu,

Ongeza list Kaka!
Oooh!
Nimewaongeza Wanyaki. Wao kwa wao sawa ila mtu wa nje mhhh! Weka mbali na watoto! 😂
 
Back
Top Bottom