Wazanzibari wamuadhibu Seif kwa kushirikiana na Lowassa

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,883
109,212
Kwa mujibu wa matokeo ya kura zilizokwisha tangazwa na tume ya Zanzibar, tunajionea kuwa Maalim Seif akiwachwa mbali kuliko chaguzi zote alizoshiriki.

Chaguzi za Zanzibar tumezowea kuona wagombea Urais wakichuana kwa kuwania asilimia nusu mpaka mbili tu, lakini safari hii mpaka sasa tunaona Shein akiongoza kwa asilimia zaidi ya 10. Hiyo si bure.

Jibu lake ni rahisi sana. Inatokana na Wazanzibari wengi kutokuwa na imani na Seif kushirikiana na Lowassa kinyume na aliyekuwa Mwenyekiti wake Professor Lipumba aliyekataa mlungula na kuburuzwa na Lowassa kama wafanyavyo Mbowe na Mbatia.

Seif, Mbowe na Mbatia wameonesha udhaifu wao mkubwa katika uongozi baada ya kufanya maamuzi ya kibiashara na si ya kisiasa kwa kuwatema viongozi wao wote waliokataa kuburuzwa kwa fedha za Lowassa.

Hongera wa Zanzibari kwa kuliona hilo.

Nnawashauri CUF hususan wale wa Zanzibar, wasikubali kumwacha kuwa Katibu Mkuu na au kumteua aendelee kuwa Makamu wa Rais wa Serikali ya Muungano ya Zanzibar.

Huyo atemwe tu na CUF wamuondoe kwenye Ukatibu Mkuu wa CUF uchaguzi ukiisha, kwisha kazi yake na hana maana tena.

Seif, Mbowe na Mbatia wameonesha udhaifu mkubwa kisiasa na wamewadhihirishia Watanzania kuwa wao wako kifedha zaidi na kuvimbisha matumbo yao binafsi na si kwa maslahi ya Watanzania.
 
chagua maneno dada, wote sisi ni Wanzania, mambo ya ukabila yanapotoka midomoni au kuandikwa hubomoa kuliko kujenga.
Huna ushahhidi kuhusu ukabila ongea facts, kama dini yako inavyoasa. Kama uislam sio dini yako basi acha kudhalilisha wanawake.
Siku hizi wanawake sio wambeya, wala waeneza majungu na chuki, unless bado ni wa kizamani.
 
Ni kweli kabisa ndio mana hapa dar tunawaadhibu ccm kwa kumlea Lowassa.
 
Ubalozi wa Marekani unafuatilia kwa karibu mchakato wa uchaguzi nchini kote Tanzania.

Tunaendelea kufuatilia zoezi la majumuisho ya kura, ikiwa ni pamoja na zoezi linaloendelea la majumuisho ya kura za urais wa Zanzibar linalofanywa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).

Tunatoa wito kwa mchakato huu kukamilishwa kwa wakati na kwa uwazi.

Aidha, tunatoa wito kwa maafisa wote wa serikali kuheshimu wajibu wa waangalizi rasmi wa uchaguzi kwa kuwaruhusu bila kipingamizi chochote kuangalia vipengele vyote vya mchakato wa uchaguzi.

Tunazisihi pande zote husika kuhakikisha kuwa mchakato wa uchaguzi unakuwa wa uwazi, huru na wa amani.
US Embassy
 
....
Mpemba na Mchagga kwa pesa ni baba mmoja mama mmoja. Sishangai.

....
Umenikumbusha tangazo moja la UKIMWI dada mmoja alikuwa akisema ukimyoshea kidole mtu (kimoja) wewe unajinyoshea vitatu. Dr Shein umesahau kuwa ni mpemba vile! Ni vyema ukatafakari kabla ya kurusha madongo
 
chagua maneno dada, wote sisi ni Wanzania, mambo ya ukabila yanapotoka midomoni au kuandikwa hubomoa kuliko kujenga.
Huna ushahhidi kuhusu ukabila ongea facts, kama dini yako inavyoasa. Kama uislam sio dini yako basi acha kudhalilisha wanawake.
Siku hizi wanawake sio wambeya, wala waeneza majungu na chuki, unless bado ni wa kizamani.

Mpemba na Mchagga kwa pesa ni baba mmoja mama mmoja. Sishangai.

Unabisha hilo?
 
Press Releas

Statement from the US in Tanzania

October 28, 2015
The United States Embassy is closely following the electoral process throughout Tanzania. We continue to monitor the tabulation of votes, including the ongoing work of the Zanzibar Electoral Commission (ZEC) to tally results of the Zanzibar presidential election, and urge that the process be concluded in a timely and transparent manner. We call on all government officials to respect the role of official observers, allowing full and free access to all elements of the election process. We urge all parties to engage in a transparent, fair, and peaceful electoral process
Source- US Embassy- Dar, Tanzania
 
Sikuombei baya, nakuombea jema Mungu akubariki! Hakika ipo haki ya wote siku moja!

​Mkuu Umeongea Hekima Kubwa Sana. FAIZA FOX Ni Wakumsamehe Bure, Hajui Alisemalo, Tanzania Ni Yetu Sote, Na HII Michezo Inayofanywa Siyo Mizuri Kwa Mustakabali Wa AMANI Ya NCHI YETU.
 
What happened to your drainpipe designer jeans? If you need help to pull it off I will be there pm me promptly.
 
Kama umetumwa na ushetani wako huko huko kwanza nikulize unaijua vzr znz au unaropokwa tu pili umeona wapi kura laki 5 kuhesabiwa cku 4 wakati milion 22 cku 4 pia nataka ujue kwamba mara hii haibiwi mtu seif kashinda na ndo rais wa Zanzibar
 
Back
Top Bottom