Wa zanzibar wanaoingia bara ni wengi kuliko mikoa yoote ya Bara.
Ebu angalieni kama
kama kwenye meli moja wako wa zanzibara 200 wanaotoka bara kwenda znz je? Ni meli ngapi huenda znz kwa siku?
Hii inamaanisha kwamba wa zanzibar wanaingia bara zaidi kuliko wabara wanavyokwenda znz
Je wanaotaka tuvunje muungano hawa ndg zao watakuwa wanaenda wapi?
Ktk mikoa yoote ya bara 26 hakuna wanaokuja dar kama wazanzibari.
Ebu angalieni kama
kama kwenye meli moja wako wa zanzibara 200 wanaotoka bara kwenda znz je? Ni meli ngapi huenda znz kwa siku?
Hii inamaanisha kwamba wa zanzibar wanaingia bara zaidi kuliko wabara wanavyokwenda znz
Je wanaotaka tuvunje muungano hawa ndg zao watakuwa wanaenda wapi?
Ktk mikoa yoote ya bara 26 hakuna wanaokuja dar kama wazanzibari.