Wazanzibari mnajaa sana bara, kulikoni?

Utabaki kuhesabu tu kuna almasi lulu zaabu ,nyumbani huna hata TV ,nyumbani huna hata redio ,nyumbani nyumba dongo juu nyasi ,wewe umebaki tuna zaabu ,lulu na almac ,Zanzibar nyumba zote umeme ,nyumba zote Tv nyumba zote bati ,nyumba zote redio nyumba zote watu wanakula wanashiba ,muungano umetufikisha pabaya.

si ni kamkoa! Ukiweka barabara za lami za Magufuli zinazagaa hadi chooni
 
Wa zanzibar wanaoingia bara ni wengi kuliko mikoa yoote ya Bara.

Ebu angalieni kama
kama kwenye meli moja wako wa zanzibara 200 wanaotoka bara kwenda znz je? Ni meli ngapi huenda znz kwa siku?
Hii inamaanisha kwamba wa zanzibar wanaingia bara zaidi kuliko wabara wanavyokwenda znz

Je wanaotaka tuvunje muungano hawa ndg zao watakuwa wanaenda wapi?

Ktk mikoa yoote ya bara 26 hakuna wanaokuja dar kama wazanzibari.


Wanaume wote wa Bara tukaoe wote zanzibar na hapo ndo muungano utakuwepo na si kuchanganya udongo
 
Hivi kumbe hujasikia/soma hotuba ya Dr. Shein hapo juzi alipokutana na wazee wastaafu wa huko Zanzibar. Alisema yeye ndio Rais wa visiwa hataki kusikia habari ya Uamsho, atahakikisha anaulinda Muungano kwa nguvu zake zote kwani hiyo ndio sera ya chama chake....:hat:

Habari nyingine iliyotia fora ni pale tume ya Warioba/Katiba ilipokwenda kule Makunduchi asilimia kubwa ya wananchi waliokuwa wanachangia maoni yao walikuwa wanataka muungano wa serikali MOJA....kabisaaa yani wanasema hizi mbili ndio tatizo...:hat:

Wacha uongo Mkuu
 
Dar kuzuri sana, hawa jamaa wanashinda dar na kurudi Zenji kulala...infact benefit kubwa ipo kwao.
 
Hio inaonesha wanavochapa kazi nyie lalamikeni tuuu!!!! Hata ije passport tutakata hio passport na tutakuja haijalishi
Sawa mtakuja na kukata hiyo passport, lakini hamtaitwa watanzania tena ila wawekezaji wa nje. Tutakamua maziwa na asali kama tukamuavyo sasa kutoka kwa wawekezaji wenzenu kutoka USA au China.

Mnaipata hiyo? Endeleeni kula na kipofu kwa kumgusagusa mkono wake kwenye sahani ukidhani ataendelea kuwa mpole. Wanaopiga kelele wameyaweka mambo yao sawa kwao visiwani na hapa mipango yao sio kama ya zamani.

Nitafurahi kuwakaribisha airport kama watalii na kuona mnachunwa mifuko yenu tena kwa fedha za kigeni na sio haya magulubaja tunayotumia.
 
Utabaki kuhesabu tu kuna almasi lulu zaabu ,nyumbani huna hata TV ,nyumbani huna hata redio ,nyumbani nyumba dongo juu nyasi ,wewe umebaki tuna zaabu ,lulu na almac ,Zanzibar nyumba zote umeme ,nyumba zote Tv nyumba zote bati ,nyumba zote redio nyumba zote watu wanakula wanashiba ,muungano umetufikisha pabaya.

zenji kuna chakula? Zenji ni njaa kali
 
Utabaki kuhesabu tu kuna
almasi lulu zaabu ,nyumbani huna hata TV ,nyumbani huna hata redio
,nyumbani nyumba dongo juu nyasi ,wewe umebaki tuna zaabu ,lulu na almac
,Zanzibar nyumba zote umeme ,nyumba zote Tv nyumba zote bati ,nyumba
zote redio nyumba zote watu wanakula wanashiba ,muungano umetufikisha
pabaya.

hayo maneno waambie wasiopajua Zanzibar nimeizunguka Unguja na Pemba hasa maeneo ya vijiji hapana tofauti na maeneo Kilwa Kivinje,Mingoyo Lindi na Msata,nyumba za makuti kwa udongo zipo kibao
 
Mafisadi wanaopinga Muungano ndio wanafaidi Zanzibar huku wazanzibar wa kawaida taabani kwa kweli, Tanzania nchi 1 Serikali 1 tudokezane zaidi
 
Wazenj watu wa ajabu sana mnasasjili hadi meli zilizopigwa marufuku tangu 2009 halafu ajali inatokea mnasema mipango ya Mungu, jamani hata hilo kwa akili ndogo tu mmeshindwa kulitambua au sababu ya Muungano? tafakari chukua hatua
 
Back
Top Bottom