Wazanzibari mnajaa sana bara, kulikoni?

hayo maneno waambie wasiopajua Zanzibar nimeizunguka Unguja na Pemba hasa maeneo ya vijiji hapana tofauti na maeneo Kilwa Kivinje,Mingoyo Lindi na Msata,nyumba za makuti kwa udongo zipo kibao

tena afadhali unguja ukienda pemba bara bara ya kupita lorry hakuna ni njia ni nyembamba kule kunafaa iwe ni hifadhi ya taifa maana bado wako vile vile na hata huyu mkuu wa nchi wa zanzibar katokea huko namshangaa hata kwanini hapeleki maendeleo ya kutosha huko kabakia unguja tu.
 
I suspect ukiangalia proportionality ya population na area unaweza kukuta the reverse is true.

Mie binafsi naweza kusema ulimwengu wa sasa wa biashara unataka maingiliano zaidi, na kukataa hilo ni kujirudisha katika zana za mawe.

Unless kuna ajenda ambayo haijatamkwa wazi hapa, kikatiba Mtanzania anaruhusiwa kwenda sehemu yoyote nchini.

Wiki iliyopita nilikuwa Zanzibar, nimeona waMeru na Wasukuma wamekaa huko kwa zaidi ya miaka kumi, na wengine wanajaza boti kwenda huko.

Choyo kisitutie upofu.
 
Wiki iliyopita nilikuwa Zanzibar, nimeona waMeru na Wasukuma wamekaa huko kwa zaidi ya miaka kumi, na wengine wanajaza boti kwenda huko.

Choyo kisitutie upofu.

Alaaaa kumbe!!

Ndiyo ulienda kupeleka mahari?
 
Hio inaonesha wanavochapa kazi nyie lalamikeni tuuu!!!! Hata ije passport tutakata hio passport na tutakuja haijalishi

kunywa ghahawa,tende,kuswali kutwa nzima na kupiga soga ndio kuchapa kazi!?
 
hayo maneno waambie wasiopajua Zanzibar nimeizunguka Unguja na Pemba hasa maeneo ya vijiji hapana tofauti na maeneo Kilwa Kivinje,Mingoyo Lindi na Msata,nyumba za makuti kwa udongo zipo kibao
Wanaokaa huko wote ni machogo jamaa zenu hao ,maana huku hawadaiwi kodi.
 
quote_icon.png
By Mwiba
Utabaki kuhesabu tu kuna almasi lulu zaabu ,nyumbani huna hata TV ,nyumbani huna hata redio ,nyumbani nyumba dongo juu nyasi ,wewe umebaki tuna zaabu ,lulu na almac ,Zanzibar nyumba zote umeme ,nyumba zote Tv nyumba zote bati nyumba zote redio nyumba zote watu wanakula wanashiba ,muungano umetufikisha pabaya.
Mwiba usifikiri sisi hatujafika hapo Unguja ukatudanganya na viTV au magorofa ya Karume Abeid Amani ya Enzi hizo, tunachozungumzia mbona huku Bara hamuondoki na kila siku manakuja kujazana?
Kubalini tuuvunje Muungano mrudi kwenu mkawe wakwezi na watwana, huku mnatutia uchuro ni uvivu na kushinda vijiweni kunywa gahawa tu, km mwezi huu hapo Malindi mchana mnashinda vijiweni, kazi hamna? au mnamsubiri Sultani. Nilishanga ilipofika usiku watu walifumuka kila kona mpaka kuna kucha eti taraw...............
 
Imefahamika kuwa wengi wa waliofariki kwenye meli iliyozama ni ndugu na jamaa kutoka Tanganyika ,sasa nyie mlioshuka humu na kujifanya waliokuwemo ni waZanzibari 200 na mijineno ya kejeli kibao,sasa ndio mlivyosema kuwa mungu amelipiza kisasi,nadhani sms mlioletewa na Mungu wenu haikuwa sahihi,mmeona nini kimetokea ,nawapa pole wafiwa.
 
Wa zanzibar wanaoingia bara ni wengi kuliko mikoa yoote ya Bara.

Ebu angalieni kama
kama kwenye meli moja wako wa zanzibara 200 wanaotoka bara kwenda znz je? Ni meli ngapi huenda znz kwa siku?
Hii inamaanisha kwamba wa zanzibar wanaingia bara zaidi kuliko wabara wanavyokwenda znz

Je wanaotaka tuvunje muungano hawa ndg zao watakuwa wanaenda wapi?

Ktk mikoa yoote ya bara 26 hakuna wanaokuja dar kama wazanzibari.

Hivi muungano ukivunjika ina maana wazanzibar wanatakiwa kurudi znz? are u sure, try to think wisely
 
Utabaki kuhesabu tu kuna almasi lulu zaabu ,nyumbani huna hata TV ,nyumbani huna hata redio ,nyumbani nyumba dongo juu nyasi ,wewe umebaki tuna zaabu ,lulu na almac ,Zanzibar nyumba zote umeme ,nyumba zote Tv nyumba zote bati ,nyumba zote redio nyumba zote watu wanakula wanashiba ,muungano umetufikisha pabaya.

Wewe, Baba yangu ni Kiongozi wa CCM ana kapu lake la 10% Uswissiii tumetulia NJE ya Nchi nyie twanganeni tu

Na Huo MUUNGANO
 
Back
Top Bottom