Wazanzibar, bora mtawaliwe na Mtanganyika kuliko mwarabu. Mwarabu atakuchapa kwa mijeledi na bado atakudidimizia mti
bora muarabu alikua anatuchapa viboko wakati wa kazi,kuliko mtanganyika ambae anatupga mabomu na marungu misikini mwetu,
Kumbukeni historia - nawashauri msitake kuruhusu Historia hii ya utumwa wa kiaarabu ijirudie.
Kumbukeni pia wale wote mlio na rangi nyeusi mmetokea Tanganyika!!!
Kumbukeni historia - nawashauri msitake kuruhusu Historia hii ya utumwa wa kiaarabu ijirudie.
Kumbukeni pia wale wote mlio na rangi nyeusi mmetokea Tanganyika!!!