Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,588
Ndio maana Wazanzibar walimchagua kwa kura nyingi!Huyu ni civilized na matured
Ndio maana Wazanzibar walimchagua kwa kura nyingi!Huyu ni civilized na matured
Si kweli kwamba walimchagua, lakini alipachikwa na uchaguzi feki kama walivyowekwa CCM wengine. Ila kwa mara ya kwanza wazanzibari baada ya kuona muelekeo wake, wanaelekea kumbkubali kutokana na uwezo na labda na vision alionayo kwa Zanzibar.Ndio maana Wazanzibar walimchagua kwa kura nyingi!)
Ahahahahahahahaj! Kuwa nyumbu raha sana! Ahahahahahahahaha!Si kweli kwamba walimchagua, lakini alipachikwa na uchaguzi feki kama walivyowekwa CCM wengine. Ila kwa mara ya kwanza wazanzibari baada ya kuona muelekeo wake, wanaelekea kumbkubali kutokana na uwezo na labda na vision alionayo kwa Zanzibar.
na kuwa mataga pia ni kichekesho π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π π πAhahahahahahahaj! Kuwa nyumbu raha sana! Ahahahahahahahaha!
Huyu mwingine anajua kila kitu hivyo haoni sababu ya kumsikiliza mtu
Ata unavyo onge na mtoto kama uso wako hauko kirafiki hata onge kwa uhuru na wewe!
"Pale Jiwe akimzungumzia mtu basi unaona huyo mtu anainuka anasimama hadi aambiwe akae"
Vitu vingine wala sio vya kushangaza, wewe mtu amekulia kwenye kuchunga ng'ombe huko, na amekulia kwenye maisha ya kimasikini uje utegemee atakuwa na utu?!!ni wachache sana, siku zote mtu mwenye fikra za kimasikini huwa ni mbaya sana!!Amekulia ikulu kama Uhuru Kenyatta, anajua kuongoza nchi na mifumo yake!
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kisa kumegusiwa uislam.,unatoka mapovu.acha uongo, Wazanzibar wengi akili yao imejijenga kimapinduzi hivyo hawaogopani.
Yaani wewe umekosea Sana,Kikubwa 100% inachangiwa na imani yao,Ukimpata kiongozi Muislam mwenye kumuogopa M/Mungu mtaishi kama mbinguni na hata unafiki hauwezi kuwepo kama hao watumishi na kiongozi lzm awe msikivu maisha ya dunia huwa hayamuhadai muislam mwenye imani lkn ukija kwa ndugu zetu wa imani nyingine dunia inawahadaa wanapenda umungu mtu na hata ukirefer tawala zilizotawala nchi hii utajifunza kitu ktk tawala za kiislam.
Uislam !!!!!Kisa kumegusiwa uislam.,unatoka mapovu.
Laiti angekuwa kiongozi wa kwanza wa kiislamu duniani, tungekuamini.Kikubwa 100% inachangiwa na imani yao,Ukimpata kiongozi Muislam mwenye kumuogopa M/Mungu mtaishi kama mbinguni na hata unafiki hauwezi kuwepo kama hao watumishi na kiongozi lzm awe msikivu maisha ya dunia huwa hayamuhadai muislam mwenye imani lkn ukija kwa ndugu zetu wa imani nyingine dunia inawahadaa wanapenda umungu mtu na hata ukirefer tawala zilizotawala nchi hii utajifunza kitu ktk tawala za kiislam.
π€£ππ Kwakweli nilikuwa nataka kupita bila kukomenti lakini wewe jamaa umenifanya nimekomentiπWanavyoongea wale watumishi wa afya mbele ya Mwinyi..ingekuwa kwa hili Jiwe letu lililomshinda muwashi basi wale watumishi wangetekwa mmoja mmoja na baade tungeokota maiti Coco beach kwenye viroba
Huyu mwingine anajua kila kitu hivyo haoni sababu ya kumsikiliza mtu
Wanavyoongea wale watumishi wa afya mbele ya Mwinyi..ingekuwa kwa hili Jiwe letu lililomshinda muwashi basi wale watumishi wangetekwa mmoja mmoja na baade tungeokota maiti Coco beach kwenye viroba
Uhuru ana legacy gani?Amekulia ikulu kama Uhuru Kenyatta, anajua kuongoza nchi na mifumo yake!
Au nasema uongo ndugu zangu?