johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Katika issue ya maendeleo wazanzibar waliwahi tena ni " wajanja" kuliko Watanganyika.
Wakati sisi tunasimuliwa mambo na wanasiasa wa zama zile Wazanzibar walikuwa wanayashuhudia kwa macho Runingani.
Kadhalika katika swala la kujiamini wazanzibar wanajiamini zaidi kuliko watanganyika ndio maana Tundu Lisu alipopigwa risasi ni mzanzibari Turky aliyekodi chopa kumpeleka Nairobi hospital na hata wanaccm walioenda kumjulia hali ni Wazanzibar watupu yaani mama Samia na mstaafu Mwinyi.
Sasa basi Watanzania kwa umoja wetu tumpe ushirikiano wote Rais Samia Suluhu Hassan ili atuvushe tuifikie nchi ya asali na maziwa.
Leo tutapata mwelekeo wa serikali ya awamu ya 6 ikiwemo vipaumbele vya Rais mpya mama yetu Samia katika hotuba yake kwa taifa kupitia bunge.
Mungu mbariki Rais Samia
Mungu ibariki Tanzania
Ramadhan Kareem
Wakati sisi tunasimuliwa mambo na wanasiasa wa zama zile Wazanzibar walikuwa wanayashuhudia kwa macho Runingani.
Kadhalika katika swala la kujiamini wazanzibar wanajiamini zaidi kuliko watanganyika ndio maana Tundu Lisu alipopigwa risasi ni mzanzibari Turky aliyekodi chopa kumpeleka Nairobi hospital na hata wanaccm walioenda kumjulia hali ni Wazanzibar watupu yaani mama Samia na mstaafu Mwinyi.
Sasa basi Watanzania kwa umoja wetu tumpe ushirikiano wote Rais Samia Suluhu Hassan ili atuvushe tuifikie nchi ya asali na maziwa.
Leo tutapata mwelekeo wa serikali ya awamu ya 6 ikiwemo vipaumbele vya Rais mpya mama yetu Samia katika hotuba yake kwa taifa kupitia bunge.
Mungu mbariki Rais Samia
Mungu ibariki Tanzania
Ramadhan Kareem