Wazanzibar waanza kumbana dk ndalichako wa necta: Gazeti la mwanahalisi

vita ya uislamu na ukristio hii. weledi hamtaki uzingatiwe. lakini kuna ukweli kuwa zanzibar mnapenda holoholo. ni vema mngewatafuta waliosahihisha mitihani toka zanzibar wawaeleze kilichojiri NECTA sio kulalama na kutaka hurma kwa mabo yanayohitaji seriousness

safi kabisa
 
bado unawaza kisiasa. Ndalichako ni mtaalamu. Toa miwani ya mbao aina ya UDINI, utaona. Dini zetu zinatupumbaza sana

sasa nafahamu kwamba Jk anachukiwa na wakiristo kwa uislam wake. Dk ndalichako bibi yule ana roho ya ajabu. Mungu sijui kwanini kampa ile elimu. useless woman kabisa.
 
Mimi sioni ajabu kuona hizo shule zimefutiwa MATOKEO.Naamini ni huenda ni kweli paper ili leak .na pia naamini hata huku bara huenda mitihani kwenye shule za kiislamu kuvujishwa inawezekana kufanyika tena kwa makusudi ili kulipiza ile dhana kuwa wakristo wanapendelewa...

wao mgando. kibaya zaidi ukikutana nao univ wakiristo huwa vilaza sana. wanaringia hapa hapa f4 na f6 kwa ndalichako. mkikutana waislam na wakirsto univ, uone wanavyo hahaha na madisco kama mvua
 
Mke gani uko sawa kabisa. Hapakuwa na sababu ya kupiga kelele, wanachotakiwa ni kukata rufaa NECTA ili kukata mzizi wa fitna. Hapo mbivu na mbichi zitajulikana vinginevyo ni politiki tu.
 
Baraza wachakachue matokeo kwa ajili gani? unless siasa ziwe zimeingia huko nako. Ila leo (15/2/2012) nilipata imani kidogo na baraza baada ya kumwona ndalichako akifafanua huo mchakato huko zenji. asilimia kubwa sio kuwa mitihani ilivuja ila wameibiana na miandiko ya kutatanisha. TAFAKARI
 
Kwa kuwafutia MATOKEO na kusema walipata mitihani (Question paper) kabla ni kuwaonea ,tena kuwaonea sana ,kama leakage hiyo ilitokea basi hao wahusika wakuu ndio wa kuwajibishwa ,kwani walishindwa kudhibiti ,wao ndio waajiri wa wanaofikisha mitihani na kuilinda hadi inafika kwa mtihaniwa kwenye dawati ,sasa unapowafutia matokeo wanafunzi wote kwa sababu za kuvuja kwa mitihani huoni kuwa hata wale ambao ni mahodari nao wataingia katika kundi hilo.
Nijuavyo inapotokea hali kama hiyo inabidi mitihani irudiwe kwa second chance ,kwa niwajuavyo WaZanzibari wataamua kujitenga na hili suala la mitihani kwani jambo lenyewe halimo hata ndani ya mambo ya Muungano.

Mbona unalisha watu maneno?? chanzo cga madai yako hapo kwenye RED ni nini?? Udanganyifu mmefanya kwenye vyumba vya mitihani kwa kualika mamluki wawafanyie baadhi ya pepa na wasimamizi kuwasomea watahiniwa majibu.....rejea mkutano wa katibu mtendaji na waandishi wa habari wakati wa kutangaza matokeo.
 
Back
Top Bottom