Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
vita ya uislamu na ukristio hii. weledi hamtaki uzingatiwe. lakini kuna ukweli kuwa zanzibar mnapenda holoholo. ni vema mngewatafuta waliosahihisha mitihani toka zanzibar wawaeleze kilichojiri NECTA sio kulalama na kutaka hurma kwa mabo yanayohitaji seriousness
safi kabisa