Wazanzibar muungano tutaununua...

Wazanzibar muungano tutaununua...

Status
Not open for further replies.
Usiwe m-p-umbavu wa kukaririshwa maneno,zanzibr ilikuwepo kabla ya muungano huu wa magumashi,nyerere kwani ni nani?yeye ndio kaja kuuwa zanzibr ili lengo la kanisa lifanikiwe.

1389814345898.jpg
Hio hapo juu ni bendera ya Zanzibar kuanzia 1955-1963
1389814398628.jpg
Hio hapo ni bendera ya Zanzibar 1890-1955
 
Usiwe m-p-umbavu wa kukaririshwa maneno,zanzibr ilikuwepo kabla ya muungano huu wa magumashi,nyerere kwani ni nani?yeye ndio kaja kuuwa zanzibr ili lengo la kanisa lifanikiwe.

Na hii ni Bendera ya Tanganyika kuanzia 1919-1961
1389814994067.jpg
 
Ukitisha kura ya maoni leo hii, zaidi ya asilimia 70 ya Watanganyika watahitaji serikali tatu au kuvunjilia mbali muungano na hardly 50pc ya Wazanzibari watahitaji serikali tatu au kuvunja muungano, inayobakia itahitaji serikali mbili. Huu ni mtazamo wa mwanazuoni mmoja nikiwa katika mazungumzo naye.

Sababu kuu aloitoa ni kuchoka kwa Watanganyika na kejeli za Wazanzibari wakati wakiamini kabisa kuwa wanufaikaji wakuu ni hao hao walalamishi, huku upande wa pili ukiwa na werevu wengi tu wenye kuelewa wanavyonufaika na muungano huu wa serikali mbili.

Kiburi kilijengeka kutokana na mazoea kabla ya mfumo wa vyama vingi, ambapo Wazanzibari wengi walijikuta wakipata nafasi za kiuongozi kirahisirahisi tu, hivyo mtu akiona nafasi yake inataka kupokonyoka au imempokonyoka, basi alikuja na hoja ya kero za muungano!!

Hata kina Warioba na uegemezi wao kwenye serikali tatu ni suala hilo hilo la hasira, kwamba tumewachoka hawa, wamezidi kutulalamikia, lakini ukweli wanaujua sana kwamba suala la gharama litaleta usumbufu, kwani Tanganyika haitokuwa tayari kubeba hilo zigo, na kwa hulka hizi za chako chetu na changu changu ya hawa jamaa wa visiwani basi tujiandae kwa hserehe ya kuvunjika kwa Tanzania na kurudi upya kwa serikali za awali/

1389815597189.jpg
1389815629182.jpg
1389815664265.jpg

Hizo ndizo.Bendera za Tanganyika katika Himaya ya Uingereza.
 
Sikutaka nikujibu ila nimelazimika ili nikukumbushe kama umesahau. Hivi kweli ndg yangu unapata ujasiri wa kuzungumzia chuki za kidini huku Tanganyika wakati unajua kabisa kuwa ni tatizo pia hapo Zanzibar, hivi unataka kutuambia kuwa hujasikia mashekhe kuuawa, mapadri kuuawa, kumwagiana tindikali? hapo Zenj.

Kwa taarifa tu fahamu kama hutaki unaacha tatizo la nchi yetu sio chuki za kidini, ni wale waliofeli tu au wanaojifanya vipofu ndiyo wanasema tatizo ni dini, only the foolish will argue like that. Matatizo yako ktk eneo la kupigania madaraka na hot cake ya taifa. Hujiulizi kwanini masuala magumu yanayogusa wananchi hayajadiliwi kwa mihemuko katika vijiwe, na kama ikitokea issue ambayo ni nzito inagusa maisha ya watu basi linaibuka suala ambalo linahamisha mjadala, everything ni planned, hebu jaribu kufikiria kwa umakini kwenye mfano huu hata kama hautakufurahisha try to think out of the box, Rasimu ya pili ya KATIBA YA NCHI ilipotoka tu (HOT ISSUE FOR THE NATION and our generation fifty years to come), ndipo unaibuka mjadala wa Zito na CDM, kila mtandao unajadili hiyo issue badala ya KATIBA YA NCHI, issue inapoa tunarejea kwenye maisha yetu ya kawaida, yaani tumebaki na manyoya kuku kaliwa.

Je, unaweza nitajia wapi ilitokea Mtanzania kamla Mtanzania mwenzake na ilikuwa mwaka gani katika karne ya 21? au umeamua kunitukana tu!!!Lakini kibaya zaidi nawe bila hata kutafakari unaanza kunitukana tena, sawa ndg yangu inawezekana wewe ulilelewa hivyo. Lakini kosa langu ni lipi hasa mpaka unanitukana? mbona hulisemi!!!!


Yaani kati ya jamaa wenye kustaajabisha humu-JF,basi weye ni mmoja wao!? Hivi weye ndo kweli unajiita "msomi" kweli,mbona una hoja za kitoto namna hii Mkuu!? Dah!


Awali ya yoote hapo nili-BOLD kwenye hiyo bayana yako...sasa mbona warejea tena kutukana ilhali weye ulilalama mno yakuwa ati Mkuu Ritz amekutusi!?

Au kwakuwa labda umeamua kuandika kwa "kithungu" ndo wafikiri sisi hatujui maana yake!? Sasa hao ulokusudia kuwaita ati ndo "wapumbavu" ndo kina nani!?

Yaani weye kwa fikra zako kiduchu,basi wakhis kila mwenye mitazamo tafauti na weye ndo fools,sio!?

Sasa kutokana na hizo hoja zako dhaifu mno...yaani mpaka yanilazim kukuonea huruma!? Dah! Teeh! Teeh! Teeh!

Nakuuliza,je waeza kutupatia ushahidi yakinifu hapa hapa jamvini...kabla ya Zanzibar kuruhusu nyinyi Watanganyikwa kutembelea Visiwa vile vya amani bila ya Vibali/Passport,ulishawahi kusikia yakuwa Zanzibar pana Ujambazi au Mzanzibary ati ameuwawa kwa kuporwa mali zake au kuibiwa kwa nguvu!? Jibu hapana kabisa!

Takwimu takriban zoote za Jeshi la Police hapo nchini,zaonyesha yakuwa wezi/majambazi woote wafanzao uhalifu/mauaji ndani ya Visiwa vya Zanzibar...basi inakua ni Wabara/Watanganyikwa,kwa njia moja amma nyangine!

Hayo masuala ya milipuko ya mabomu kwenye mikusanyiko/mihadhara ya kidini Arusha na kwingineko,kuuwawa kwa Viongozi wa kidini,kuuwawa kwa Waaandishi wa habari,ubadhilifu ulokubuhu wa mali za umma,rushwa ilokithiri kwenye vyombo vyoote vya Serikali,ukabila,upendeleo wa kidini na Islamophobia ilokubuhu...na unyama mwangine mwingi mno! Hivi vyoote huko Tanganyikwa ndo pahala pake! Dah!

Yuwapi leo Daudi Mwangosi,vipi yalomkuta yule mpuuzi Kibanda,yuwapi leo hii Dr Mvungi wa Tume ya Katiba uloitaja!?

Umesahau nyinyi Watanganyikwa mmefikia ubaguzi wa kidini mpaka mnachinjana/kuuwana ati tu kwa tafauti za kuchinja ng'ombe na majogoo!? Duh! Teeh! Teeh! Teeh!

Huo baguzi wa makabila na kidini huko Tanganyikwa mbona ndo chimbuko na asili yake,ndani ya Muungano huu wa dhuluma! Dah!

Embu angalia jinsi ndugu zenu watoanavyo roho kwa kugombania mifugo na hata pia kugombania ardhi za kulishia mifugo na vyanzo vya maji pia!...Mkoa wa Mara,Mwanza,Arusha,Singida,Manyoni na kwingineko kwingi mno! Dah!

Hivi majuzi kule Mahenge,Malinyi,Ulanga na takriban Ifakara yoote...yaani palitokea mauaji ya kinyama na ya kutisha kati ya Wandamba na Wasukuma!

Walikufa Watanganyikwa wenzio kumi na nane-18! Ililazim hata IGP ende kule kwa haraka mno na kujaribu kufanza suluhu...majeshi yenu-JWTZ yaliyopo mikoa jirani na ile Morogoro yaani ililazim pia yawekwe on standby,just incase!


Hivi weye Mwakaboko unaishi wapi lakini Mkuu!? Duh!...hivi hujui yakuwa nyinyi Watanganyikwa mpaka kesho mmeingia on Guiness World Book Of Records...yaani nyinyi/wewe ni mojawapo ya society chache zilosalia hivi leo duniani humu ambazo mnafanza maungo ya Watanganyikwa wenzenu-Albinos ati ndo kitoweo!?...yaani Cannibalism! Dah!

Sasa kama weye wajifanza kukaidi...embu tufahamishe hapa Barzan,baada ya kuwakatakata viungo/kuwauwa wale Albinos maskini wasio na hatia,huwa mnafanzia nini nyama ile kama si kitoweo!? Teeh! Teeh! Teeh!

Ndo maana Mkuu Mwakaboko,hata mie binafsi nakuogopa mno!...maana nakhis pindi ukiamua basi waezanifanza ni kitoweo chako tu!? Duh! Maana hizi ndo mila na dasturi zenu nyinyi Watanganyikwa,mumerithi toka kwa Mababu zenu!!

Sasa unadai yakuwa ati chuki za kidini "hakuna" asilan huko Tanganyikwa!? Duh! Embu punguza unafiki japo kiduchu!!

Kwa hiyo hao Watanganyikwa wenzenu Waislam....wenye kujaribu kudai haki zao kila kukicha,weye unawaona woote ndo vipofu na wamefeli sio,yaani kama ulivyoandika kwenye hiyo argument yako dhaifu!?

Hivi weye huoni malumbano ya kidini,matusi,kashfa,tashtit na vitisho siku zoote humu-JF,tena takriban panapo kila thread ianzishwayo baina ya mainly Watanganyikwa ati ndo wajiitao Wakristo/Magalatia na wenzao Waislamu!?

Hivi hufahamu yakuwa Public Forums kama hizi,ndo vipimo khalis na pia reflection ya society!?

Sasa ikiwa humu tu ndani ya hii JF hali ni mbaya mno,na Islamophobia imetalaki takriban penye kila kona/thread...je huko kwa walalahoi/Watanganyikwa khalis kukoje!? Au weye Mwakaboko wapenda kuishi ndani ya false hope...I mean your little comfy bubble!? Teeh! Teeh! Teeh!

Hivi hufahamu yakuwa hiyo mijadala uloitaja kwenye hiyo bayana yako chovu...yaani Zitto Kabwe,Chadema na utumbo mwangine,mara ngapi imezusha malumbano ya kidini humu-JF na kwingineko na pia kusababisha threads kadhaa kufungiwa takriban kula kuicha! Dah!

Kwa kifupi...nina mifano chungu tele/volumes of strong evidences kuhusu unyama mwingi mno na ubaguzi ulokithiri huko Tanganyikwa...lakini sina wakti,pia nakhis hakuna haja asilan kuendeleza kukunyambua!?

Weye kama Mtanganyikwa...basi yatakiwa uwe wa mwisho kwenye hili game la finger pointing,ulolianzisha dhidi ya Zanzibar na Wazanzibary,Ok!?

Fujo,zogo,farka,migongano na mangineyo kiduchu yaliyopo pale Zanzibar khasa kwenye Local Politics...ni wimbi tu kiduchu la mpito kwenye kikombeni,na asilan halimfanzi mnywaji kushtushwa! Teeh! Teeh! Teeh!

Pia yajulikana wazi...dhahir bin shahir,yakuwa hizi chochoko zoote ndani ya jamii yetu ya Kizanzibary,basi huratibiwa,kufadhiliwa na kushadidiwa na nyinyi Watanganyikwa madhalim kama akina Mwakaboko na vikundi vyenu vyenye madhumuni/malengo machafu kwa takriban Taifa zima la Tanzania! Dah!

Ahsanta.
 
Serikali tatu suluhu. Serikali ya Tangayika na Zanzibar na hiyo ya tatu itakuwa ya "Customs Union tu". Kazi kwenu.
Ndugu zangu wazanzibar,Ni muda mrefu sasa tumekua ktk manung'uniko kwamba serikali ya Muungano(Tanganyika) wanatunyonya.

Kumekua na rai nyingi sana za kutaka mamlaka kamili ya nchi Zanzibar ili tujiendeshe kama nchi nje ya Jamhuri ya Muungano.

Wapo wazanzibar walofika mbali zaidi na kusema sasa Muungano basi.

1.Napenda niwaulize ndugu zangu wazanzibar kabla hatujapaza yowe la kuukataa muungano huu je tumejiandaaje kujiendesha kama nchi kamili nje ya Muungano.

2.Niwajuze wazanzibar wenzangu kelele na manung'uniko yetu yamewaamsha watanganyika sasa wako mbioni kupata nchi yao nje ya muungano.wao wamejipanga tayari kwa hilo.

3.Ndugu zangu wazanzibar kama tulikua tunafanya utani wenzetu wapo serious,kiuchumi,kisiasa.
Wamejiimarisha ktk nyanja nyingi muhimu kama nchi.JE sisi tumejiandaaje!

Rai yangu kwenu mdundo huu wa kuvunja muungano usituleweshe naona mwisho wake tutakuja kuwapigia magoti watanganyika turudiane kuungana.

Upepo wa mabadiko
Upepo wa kisiasa
Lazima tuangalie tuna vyuo vikuu,vyanzo vya mapato zanzibar,ajira,n.k
Malalamiko na manung'uniko yasio na tija hayafai.
 
Mlijiendesha lini? Mapinduzi Januari 1964 na muungano April 1964. Mlijiendesha lini?
"Haa! hivi kwani kabla ya huu muungano tulikuwa tukijiendeshaje? tumetimiza miaka 50 ya uhuru na mapinduzi, hivi lengo la yote hayo tuyasalimu mamlaka yetu kwa nchi nyengine atuendeshee?

Unavyoongea ni kam Mh Nahodha, kisha anaunyemelea Urais wa Zanzibar wakati tayari hajiamini kiulinzi wala kiuchumi. Wapo wanoweza na ndio tutowaweka madarakani 2015"
 
Mlijiendesha lini? Mapinduzi Januari 1964 na muungano April 1964. Mlijiendesha lini?

Wewe mbwakoko,hiyo ndio story ulizofundishwa na mumeo sio!?

Hivi umesoma posts zoote humu ili ukifunze...au ndo nyie wacheza nachi!?

Haya kachambe ukalale!?
 
Kwa taarifa tu fahamu kama hutaki unaacha tatizo la nchi yetu sio chuki za kidini, ni wale waliofeli tu au wanaojifanya vipofu ndiyo wanasema tatizo ni dini, only the foolish will argue like that. Matatizo yako ktk eneo la kupigania madaraka na hot cake ya taifa. Hujiulizi kwanini masuala magumu yanayogusa wananchi hayajadiliwi kwa mihemuko katika vijiwe, na kama ikitokea issue ambayo ni nzito inagusa maisha ya watu basi linaibuka suala ambalo linahamisha mjadala, everything ni planned, hebu jaribu kufikiria kwa umakini kwenye mfano huu hata kama hautakufurahisha try to think out of the box, Rasimu ya pili ya KATIBA YA NCHI ilipotoka tu (HOT ISSUE FOR THE NATION and our generation fifty years to come), ndipo unaibuka mjadala wa Zito na CDM, kila mtandao unajadili hiyo issue badala ya KATIBA YA NCHI, issue inapoa tunarejea kwenye maisha yetu ya kawaida, yaani tumebaki na manyoya kuku kaliwa.

Je, unaweza nitajia wapi ilitokea Mtanzania kamla Mtanzania mwenzake na ilikuwa mwaka gani katika karne ya 21? au umeamua kunitukana tu!!!Lakini kibaya zaidi nawe bila hata kutafakari unaanza kunitukana tena, sawa ndg yangu inawezekana wewe ulilelewa hivyo. Lakini kosa langu ni lipi hasa mpaka unanitukana? mbona hulisemi!!!! JIBU SWALI nimekukosea nini, foolish means unwise, umeona ule mfano ulivyokukera ndiyo hekima yako inaishia hapo?
Yaani kati ya jamaa wenye kustaajabisha humu-JF,basi weye ni mmoja wao!? Hivi weye ndo kweli unajiita "msomi" kweli,mbona una hoja za kitoto namna hii Mkuu!? Dah!


Awali ya yoote hapo nili-BOLD kwenye hiyo bayana yako...sasa mbona warejea tena kutukana ilhali weye ulilalama mno yakuwa ati Mkuu Ritz amekutusi!?

Au kwakuwa labda umeamua kuandika kwa "kithungu" ndo wafikiri sisi hatujui maana yake!? Sasa hao ulokusudia kuwaita ati ndo "wapumbavu" ndo kina nani!?

Yaani weye kwa fikra zako kiduchu,basi wakhis kila mwenye mitazamo tafauti na weye ndo fools,sio!?

Sasa kutokana na hizo hoja zako dhaifu mno...yaani mpaka yanilazim kukuonea huruma!? Dah! Teeh! Teeh! Teeh!

Nakuuliza,je waeza kutupatia ushahidi yakinifu hapa hapa jamvini...kabla ya Zanzibar kuruhusu nyinyi Watanganyikwa kutembelea Visiwa vile vya amani bila ya Vibali/Passport,ulishawahi kusikia yakuwa Zanzibar pana Ujambazi au Mzanzibary ati ameuwawa kwa kuporwa mali zake au kuibiwa kwa nguvu!? Jibu hapana kabisa!

Takwimu takriban zoote za Jeshi la Police hapo nchini,zaonyesha yakuwa wezi/majambazi woote wafanzao uhalifu/mauaji ndani ya Visiwa vya Zanzibar...basi inakua ni Wabara/Watanganyikwa,kwa njia moja amma nyangine!

Hayo masuala ya milipuko ya mabomu kwenye mikusanyiko/mihadhara ya kidini Arusha na kwingineko,kuuwawa kwa Viongozi wa kidini,kuuwawa kwa Waaandishi wa habari,ubadhilifu ulokubuhu wa mali za umma,rushwa ilokithiri kwenye vyombo vyoote vya Serikali,ukabila,upendeleo wa kidini na Islamophobia ilokubuhu...na unyama mwangine mwingi mno! Hivi vyoote huko Tanganyikwa ndo pahala pake! Dah!

Yuwapi leo Daudi Mwangosi,vipi yalomkuta yule mpuuzi Kibanda,yuwapi leo hii Dr Mvungi wa Tume ya Katiba uloitaja!?

Umesahau nyinyi Watanganyikwa mmefikia ubaguzi wa kidini mpaka mnachinjana/kuuwana ati tu kwa tafauti za kuchinja ng'ombe na majogoo!? Duh! Teeh! Teeh! Teeh!

Huo baguzi wa makabila na kidini huko Tanganyikwa mbona ndo chimbuko na asili yake,ndani ya Muungano huu wa dhuluma! Dah!

Embu angalia jinsi ndugu zenu watoanavyo roho kwa kugombania mifugo na hata pia kugombania ardhi za kulishia mifugo na vyanzo vya maji pia!...Mkoa wa Mara,Mwanza,Arusha,Singida,Manyoni na kwingineko kwingi mno! Dah!

Hivi majuzi kule Mahenge,Malinyi,Ulanga na takriban Ifakara yoote...yaani palitokea mauaji ya kinyama na ya kutisha kati ya Wandamba na Wasukuma!

Walikufa Watanganyikwa wenzio kumi na nane-18! Ililazim hata IGP ende kule kwa haraka mno na kujaribu kufanza suluhu...majeshi yenu-JWTZ yaliyopo mikoa jirani na ile Morogoro yaani ililazim pia yawekwe on standby,just incase!


Hivi weye Mwakaboko unaishi wapi lakini Mkuu!? Duh!...hivi hujui yakuwa nyinyi Watanganyikwa mpaka kesho mmeingia on Guiness World Book Of Records...yaani nyinyi/wewe ni mojawapo ya society chache zilosalia hivi leo duniani humu ambazo mnafanza maungo ya Watanganyikwa wenzenu-Albinos ati ndo kitoweo!?...yaani Cannibalism! Dah!

Sasa kama weye wajifanza kukaidi...embu tufahamishe hapa Barzan,baada ya kuwakatakata viungo/kuwauwa wale Albinos maskini wasio na hatia,huwa mnafanzia nini nyama ile kama si kitoweo!? Teeh! Teeh! Teeh!

Ndo maana Mkuu Mwakaboko,hata mie binafsi nakuogopa mno!...maana nakhis pindi ukiamua basi waezanifanza ni kitoweo chako tu!? Duh! Maana hizi ndo mila na dasturi zenu nyinyi Watanganyikwa,mumerithi toka kwa Mababu zenu!!

Sasa unadai yakuwa ati chuki za kidini "hakuna" asilan huko Tanganyikwa!? Duh! Embu punguza unafiki japo kiduchu!!

Kwa hiyo hao Watanganyikwa wenzenu Waislam....wenye kujaribu kudai haki zao kila kukicha,weye unawaona woote ndo vipofu na wamefeli sio,yaani kama ulivyoandika kwenye hiyo argument yako dhaifu!?

Hivi weye huoni malumbano ya kidini,matusi,kashfa,tashtit na vitisho siku zoote humu-JF,tena takriban panapo kila thread ianzishwayo baina ya mainly Watanganyikwa ati ndo wajiitao Wakristo/Magalatia na wenzao Waislamu!?

Hivi hufahamu yakuwa Public Forums kama hizi,ndo vipimo khalis na pia reflection ya society!?

Sasa ikiwa humu tu ndani ya hii JF hali ni mbaya mno,na Islamophobia imetalaki takriban penye kila kona/thread...je huko kwa walalahoi/Watanganyikwa khalis kukoje!? Au weye Mwakaboko wapenda kuishi ndani ya false hope...I mean your little comfy bubble!? Teeh! Teeh! Teeh!

Hivi hufahamu yakuwa hiyo mijadala uloitaja kwenye hiyo bayana yako chovu...yaani Zitto Kabwe,Chadema na utumbo mwangine,mara ngapi imezusha malumbano ya kidini humu-JF na kwingineko na pia kusababisha threads kadhaa kufungiwa takriban kula kuicha! Dah!

Kwa kifupi...nina mifano chungu tele/volumes of strong evidences kuhusu unyama mwingi mno na ubaguzi ulokithiri huko Tanganyikwa...lakini sina wakti,pia nakhis hakuna haja asilan kuendeleza kukunyambua!?

Weye kama Mtanganyikwa...basi yatakiwa uwe wa mwisho kwenye hili game la finger pointing,ulolianzisha dhidi ya Zanzibar na Wazanzibary,Ok!?

Fujo,zogo,farka,migongano na mangineyo kiduchu yaliyopo pale Zanzibar khasa kwenye Local Politics...ni wimbi tu kiduchu la mpito kwenye kikombeni,na asilan halimfanzi mnywaji kushtushwa! Teeh! Teeh! Teeh!

Pia yajulikana wazi...dhahir bin shahir,yakuwa hizi chochoko zoote ndani ya jamii yetu ya Kizanzibary,basi huratibiwa,kufadhiliwa na kushadidiwa na nyinyi Watanganyikwa madhalim kama akina Mwakaboko na vikundi vyenu vyenye madhumuni/malengo machafu kwa takriban Taifa zima la Tanzania! Dah!

Ahsanta.
 
Wengi hawa fikra zao ikija Tanganyika watakuwa na hali nzuri za maisha. Wakati huku kwetu kumejaa ukabila pita kiasi kuna makabila huku yameishambiwa ni marufuku kutoa rais.

hv unajua ambao hawaupendi muungano wazanzibari ndo wanaongoza kuliko watanganyika?
 
"na iwe hivyo, kwani hayakuwa maisha wakati wa huo wa ukoloni?, ndio wakati huo hata kina Ali Hassan Mwinyi, Aboud Jumbe, Salmin Amour, wazee wangu walisoma, wakitibiwa bure na kijujumla maisha yao yakienda vizuri tu kuliko tulivyo sasa chini ya huu ukoloni wa Tanganyika (mkoloni mwafrika). Na tupo tayari kuanza upya kwa hivyo uonavyo wewe."

Halafu wazenj inaonekana mnapenda sana vya bure! Hivi kwa dunia hii ya leo nani atakupa cha bure?? Wewe unaona sawa kusema walisoma bure, kutibiwa bure na maisha yalikuwa mazuri! Huu ni up.u.mb.a.v.u kabisa kwa mtu mzima kujivunia. Vya bure unafikiri vilishuka toka kwa Mungu hivyo? Mnaona Tanganyika inawazibia kuletewa vya bure na Waarabu siyo! Mtaolewa ninyi, shauri yenu. Uvivu tu unawasumbua
 
nchi ndogo raisi 1, makamu wa2, mawaziri wengi, wawakilishi wengi, wakuu wa wilaya wengi, polisi, n.k watalii ndio hao mnawamwagia tindikali, vyuo vyenu mtu akihitimu acccoumts akipewa paper ya bodi hoi, jiandaeni kuendesha nchi kwa kodi za urojo
 
Ni kweli sasa kwa nini Watanganyika wanalazimisha huu muungano?

tunajua kuungana nikuzuri ndo maana tunaulazimisha tunachokataa sisi ni huu wa serikali mbili haufai.
 
Je, unaweza nitajia wapi ilitokea Mtanzania kamla Mtanzania mwenzake na ilikuwa mwaka gani katika karne ya 21? au umeamua kunitukana tu!!!Lakini kibaya zaidi nawe bila hata kutafakari unaanza kunitukana tena, sawa ndg yangu inawezekana wewe ulilelewa hivyo. Lakini kosa langu ni lipi hasa mpaka unanitukana? mbona hulisemi!!!! JIBU SWALI nimekukosea nini, foolish means unwise, umeona ule mfano ulivyokukera ndiyo hekima yako inaishia hapo?
[/B]

Hivi wewe ni kabila gani MWAKABOKO!? Teeh! Teeh! Teeh!

Hivi huko kwenu kijijini ndo ulivyofundishwa hivyo yakuwa kumwita mtu "unwise" and/or fool si matusi!?

Kwa kifupi sina wakti wa kupoteza nawe na kuanza kupena definitions za matusi na makhanatha mangineyo! Nakhis hatutafika mbali asilan,culture na customs zako wewe ni mahoka tupu!

Kwa kukusaidia tu...rejea/pitia upya bayana zangu zoote nilokwandikia hapa jamvini...plse read with understanding and open your bloody mind!

Salaam zao!

Ahsanta.
 
Usiwe m-p-umbavu wa kukaririshwa maneno,zanzibr ilikuwepo kabla ya muungano huu wa magumashi,nyerere kwani ni nani?yeye ndio kaja kuuwa zanzibr ili lengo la kanisa lifanikiwe.

sioni uhusiano wa kanisa na zanzba coz hata misr kuna wakristo, waza mambo ya kujenga, mi wazanzbar wajtoe 2 na bara watoto wa kijakaz wata2soma fresh
 
Sisi wa Tanganyika bwana, hivi tatizo lipo wapi kuwaacha wa Zj kujiendesha wenyewe? Wa-Zj wanaonesha wazi wazi hawatutaki lakini sisi tumeshupaa weeee na huu muungano...tunajidharirisha tu...tutengane tukiwa bado tunaheshimiana, usisubiri mpaka mtu akuwekee kinyesi mlangoni ndipo useme sasa basi..nitafurahi siku kuona watanganyika tunajitokeza kwa wingi pale Feri kuanga ndugu zetu. Give the a chance to try, tutawaombea wafanikiwe mbele ya safari, lakini wafanikiwe au laa it's none-of our business. ..Hata sisi wa Tanga bado tunachangamoto zetu nyingi tu, Leave Zanzibar's alone and let them figure out how their country will be in future
 
hongereni kwa mada nzuri. Ngoja kesho niwaulize jamaa zangu kino Moyo, vijana maarufu hapa mjini songea kama watarudi znz au watakuwa watanganyika ili nasi turithi kazi zao wazifanyazo hapa maisha yetu yanyooke! Jamaa wako vizuri na wapo hapa tangu siku nyingi tu. Nahisi hawatakubali kwenda zenj! Mie nashauri vyovyote itakavyokua, tuendeleze mahusiano yetu yaliyopo.

Bado nasubiri mrejesho wako ndugu yangu.
 
Bado nasubiri mrejesho wako ndugu yangu.

So called Makame,
Unasubiri marejesho gani?
So hivyo ndivyo mnavyotafuta maisha, yaani waondoke mrithi mali zao, tamaa ya fisi kusubiri mkono udondoke? Au.mwafaniyie ujambazi muwapore mapato yao?

Yaani nyinyi badili ya kusema na nyinyi mujitahidi mujitume angalau muwafikie wao mnapanga mipango ya kuwafukuza ili mpate mali zao walizochuma. Kwanza kwa nini kabla ya kuja wao msifanye wenyewe mkajitajirisha mkawa na nguvu hata za kuwazuia wasiingie hapo?

Hii ni dhahiri kama muna mawazo mgando na katika kipindi cha miaka 50 tokea kuondoka mkoloni wa Kiingereza mumeshindwa ku enjoy matunda ya Uhuru.

Mjadala huu anagalikuwa mmoja wa Wakoloni au mtoto wao wa Kizungu aliesoma ile Teleology hakika anagalisema ile kuwa ni kweli yale walileta hiyo nadharia wako vindicated. Teh teh teh gombesugu, Ritz, kahtaan, wabara
 
Last edited by a moderator:
Bado nasubiri mrejesho wako ndugu yangu.

Makamee
Hili jina lako lina tafsiri mbili tofauti.
Sasa kabla sijaanza kujadili na wewe nataka kujua kwanza.

Tafsiri ya kwanza ni yale mawe mawili kule kwetu USUKUMANI huyatumia kwenye vyoo vya shimo kukanyagia wakati unachuchumaa chooni.

Tafsiri ya pili ni kimanyema wanasema yule kijana ALIYE CHELEWA"

Sasa wewe khasa ni nani??
 
Last edited by a moderator:
Makamee
Hili jina lako lina tafsiri mbili tofauti.
Sasa kabla sijaanza kujadili na wewe nataka kujua kwanza.

Tafsiri ya kwanza ni yale mawe mawili kule kwetu USUKUMANI huyatumia kwenye vyoo vya shimo kukanyagia wakati unachuchumaa chooni.

Tafsiri ya pili ni kimanyema wanasema yule kijana ALIYE CHELEWA"

Sasa wewe khasa ni nani??


Mkuu Kahtaan,

Duh! Amma kweli JF ni zaidi ya Univ. Teeh! Teeh! Teeh!

Shukran kwa hizo tafsiri za huyo Maka-mee! Sisi wangine tulikua hatuyajui hayo! Dah! Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom