Wazanzibar muungano tutaununua...

Wazanzibar muungano tutaununua...

Status
Not open for further replies.
"Nje ya Muungano kuna Wapemba na Waunguja" unquote, huo ni Nyerere JK aliyewafahu wazanzbar vizuri kuliko hata wao wenyewe! kama wanabisha ajte kwene muungano waona kama kuna ktu kinachootwa zanibar kitabaki! Onacu wa maalimu seif, ona uchu wa Bilal, ona uchu wa wanasiasa wa Pemba na unguja! Yanayoendelea Sudani ya kusini ni rahisi mno kutokea Zanzia!
 
Hawa jamaa ukiwabana wanajifanya eti wazalendo wanapigania utanzania huyu alikuwa na wenzake wanamshambulia Dr. Ramadhan Dau eti mdini.
tumuogope Mungu, tukumbuke tutahukumiwa kwa yale tuyafanyayo, tuyanenayo na kuyawaza, toa ushahidi nilipomshambulia dr.DAU. Hongera Ritz kwa kunisingizia uwongo hapa JF, Go and revisit all my posts in JF you will find the truth which will set you free
 
tatizo unadhani kila anayekupinga ni chadema, tanganyika ipo na kwenye katiba mpya imesemwa, huwezi kuua tanganyika uwe ccm au chadema. HV KWANI WEWE UZANZIBARI WAKO UMEZUIA MAENEO KUCHUKULIWA ZANZIBAR KWA KISINGIZIO CHA WAWEKEZAJI?
Mkuu unadhani mtu yeyote anayewatetea Wazanziba ni Mzanzibar?
 
Nyoosha maneno vizuri tumewafukuza wahamiaji haramu hata kama umeishi miaka 50 kama hauna makaratasi haikufanyi wewe kuwa raia huu utaratibu unafanywa dunia nzima.

Unataka kutuaminisha kuwa siku moja serikali itatoa tanganzo kuwa wazanzibar wote wakamatwe warudishe kwao ndiyo maana nakuambia hiyo tanganyika itakuwa ya Chadema.

Usipinge sana hilo ritz wakikaa madarakani hawa wala nyasi iwe kutoka CCM au CHADEMA wanaweza kufanya hawa, wanachuki na watu wale madrasa kumbuka nyerere alivyomfanyia Suleiman Takidiri
 
Swali la msingi kwako Ritz, ni lini niliwahi kukutukana wewe, nashukuru kuwa umeonesha your true face to me. Kwanini unaniita msukule wa chadema?, je katika maisha yako umewahi iona kadi yangu ya chadema. Lakini kwanini unitukane? nimekufanyia kosa gani hasa, je kosa langu ni kuwa na mawazo tafouti na wewe, au ni kuwa dini tofauti na wewe? ndiyo kosa langu, au ni kuwa kabila tofauti na wewe? kwanini unitukane?

Ok, umesema hapa kuwa nina chuki na muslims, je, umewahi ona mahali popote nikisema uislam sio dini? toa ushahidi kama umewahi ona hiyo kitu
Naomba majibu, kama huna ni bora unyamaze kuliko kunitukana bila kosa lolote

mwakaboko

Mimi sijakutukana, haujasema kuwa Uislam siyo dini, bahati mbaya ule uzi wa NSSF ulifutwa ningeleta ushahidi wa kejeli zako mimi sijasema hivyo sababu wewe ni Mkirsto la hasha mimi binafsi nina marafiki wengi Wakirsto kuliko Waislam.
 
Last edited by a moderator:
kwani wewe unaona huo ndo utetezi wako kwa wazanzibari?
Sijakuambia mimi nawatetea Wazanzibar, nimekuuliza mtu yeyote anayewatetea Wazanzibar unadhani ni Mzanzibar?
 
tatizo unadhani kila anayekupinga ni chadema, tanganyika ipo na kwenye katiba mpya imesemwa, huwezi kuua tanganyika uwe ccm au chadema. Hv kwani wewe uzanzibari wako umezuia maeneo kuchukuliwa zanzibar kwa kisingizio cha wawekezaji?

Hivyo unadhani tanganyika mpya haitakuwa ikifuata misingi ya sheria?

Hivi kwani cha mno nini hata kunga'ngania lazima muishikilie zanzibar? Kwa kweli wazanzibari hawana lazima kuvunja muungano wala hawana.lazima kukaa katika muungano hili jambo la kujiamulia.

Lakini kama alivyosema Ritz Zanzibar na watu wa mwambao mzima wa Africa Mashariki wana mengi in common na uko muungano wa kijamii tokea zama hizo.kabla wakoloni mabwana zenu wa kizungu mnaowaabudu hawajaja.

Leo hao mnawaabudu wanawafundisha kutawala kama wao mkikataa wanwawinda na arrest warrant za ICC. teh teh teh

Ndio maana wakenya wanaona wafanye kivyao na waganda na wa-nyarwanda
 
Sikutaka nikujibu ila nimelazimika ili nikukumbushe kama umesahau. Hivi kweli ndg yangu unapata ujasiri wa kuzungumzia chuki za kidini huku Tanganyika wakati unajua kabisa kuwa ni tatizo pia hapo Zanzibar, hivi unataka kutuambia kuwa hujasikia mashekhe kuuawa, mapadri kuuawa, kumwagiana tindikali? hapo Zenj.

Kwa taarifa tu fahamu kama hutaki unaacha tatizo la nchi yetu sio chuki za kidini, ni wale waliofeli tu au wanaojifanya vipofu ndiyo wanasema tatizo ni dini, only the foolish will argue like that. Matatizo yako ktk eneo la kupigania madaraka na hot cake ya taifa. Hujiulizi kwanini masuala magumu yanayogusa wananchi hayajadiliwi kwa mihemuko katika vijiwe, na kama ikitokea issue ambayo ni nzito inagusa maisha ya watu basi linaibuka suala ambalo linahamisha mjadala, everything ni planned, hebu jaribu kufikiria kwa umakini kwenye mfano huu hata kama hautakufurahisha try to think out of the box, Rasimu ya pili ya KATIBA YA NCHI ilipotoka tu (HOT ISSUE FOR THE NATION and our generation fifty years to come), ndipo unaibuka mjadala wa Zito na CDM, kila mtandao unajadili hiyo issue badala ya KATIBA YA NCHI, issue inapoa tunarejea kwenye maisha yetu ya kawaida, yaani tumebaki na manyoya kuku kaliwa.

Je, unaweza nitajia wapi ilitokea Mtanzania kamla Mtanzania mwenzake na ilikuwa mwaka gani katika karne ya 21? au umeamua kunitukana tu!!!Lakini kibaya zaidi nawe bila hata kutafakari unaanza kunitukana tena, sawa ndg yangu inawezekana wewe ulilelewa hivyo. Lakini kosa langu ni lipi hasa mpaka unanitukana? mbona hulisemi!!!!
...Just quick reminder,before I leave you for today,Sir!...take a look at your own house first...I mean your Tanganyikwa!... about systematic Islamophobia,nepotism,racism,tribalism and/or tribal wars and violences,cannibalism(where still primitive Tanganyikwans killing and eat their own Albinos! Dah!) and many other unspoken atrocities within Tanganyikwan Society!

Ahsanta.
 
Hivyo unadhani tanganyika mpya haitakuwa ikifuata misingi ya sheria?

Hivi kwani cha mno nini hata kunga'ngania lazima muishikilie zanzibar? Kwa kweli wazanzibari hawana lazima kuvunja muungano wala hawana.lazima kukaa katika muungano hili jambo la kujiamulia.

Lakini kama alivyosema Ritz Zanzibar na watu wa mwambao mzima wa Africa Mashariki wana mengi in common na uko muungano wa kijamii tokea zama hizo.kabla wakoloni mabwana zenu wa kizungu mnaowaabudu hawajaja.

Leo hao mnawaabudu wanawafundisha kutawala kama wao mkikataa wanwawinda na arrest warrant za ICC. teh teh teh

Ndio maana wakenya wanaona wafanye kivyao na waganda na wa-nyarwanda
Wengi hawa fikra zao ikija Tanganyika watakuwa na hali nzuri za maisha. Wakati huku kwetu kumejaa ukabila pita kiasi kuna makabila huku yameishambiwa ni marufuku kutoa rais.
 
Hawa jamaa ukiwabana wanajifanya eti wazalendo wanapigania utanzania huyu alikuwa na wenzake wanamshambulia Dr. Ramadhan Dau eti mdini.

Hawa jamaa udini wao wameuficha ndani ya mioyo yao,ni watu hatari sana na chuki zao kamwe haziishi
 
mwakaboko

Mimi sijakutukana, haujasema kuwa Uislam siyo dini, bahati mbaya ule uzi wa NSSF ulifutwa ningeleta ushahidi wa kejeli zako mimi sijasema hivyo sababu wewe ni Mkirsto la hasha mimi binafsi nina marafiki wengi Wakirsto kuliko Waislam.
very sad, unanitukana halafu unasema kuwa hujanitukana, I am still alive on the land of the living, Ritz. Kwangu mimi kuniita msukule ni tusi kubwa sana, tena dharau iliyopindukia lakini kama wewe ulifundishwa na walimu wako kuwa kumwita Mtanzania mwenzako msukule ni neno la kiungwana, it is ok for you to use to others but do not use it to me. I also have many Muslims friends but I do not stab them at their back but you do. kwanini unitukane?

Kuhusu mjadala wa NSSF, nakumbuka kila kitu nilichoandika wakati ule, hakuna hata sehemu moja nilipokejeri dini yako, sema mjadala ulikuwa hot sana kwa argument, ambazo nadhani zingine you totally Failed to comprehend lakini hazikuwa kejeri
 
"Nje ya Muungano kuna Wapemba na Waunguja" unquote, huo ni Nyerere JK aliyewafahu wazanzbar vizuri kuliko hata wao wenyewe! kama wanabisha ajte kwene muungano waona kama kuna ktu kinachootwa zanibar kitabaki! Onacu wa maalimu seif, ona uchu wa Bilal, ona uchu wa wanasiasa wa Pemba na unguja! Yanayoendelea Sudani ya kusini ni rahisi mno kutokea Zanzia!

Waachieni nchi yao tuone kama kweli yatakuja hayo,
 
Sikutaka nikujibu ila nimelazimika ili nikukumbushe kama umesahau. Hivi kweli ndg yangu unapata ujasiri wa kuzungumzia chuki za kidini huku Tanganyika wakati unajua kabisa kuwa ni tatizo pia hapo Zanzibar, hivi unatak kutuambia kuwa hujasikia mashekhe kuuawa, mapadri kuuawa, kumwagiana tindikali? hapo Zenj.

Kwa taarifa tu fahamu kama hutaki unaacha tatizo la nchi yetu sio chuki za kidini, ni wale waliofeli tu au wanaojifanya bvipofu ndiyo wanasema tatizo ni dini, only the foolish will argue like that. Matatizo yako ktk eneo la kupigania madaraka na hot cake ya taifa. Hujiulizi kwanini masuala magumu yanayogusa wananchi hayajadiliwi kwa mihemuko katika vijiwe, na kama ikitokea issue ambayo ni nzito inagusa maisha ya watu basi linaibuka suala ambalo linahamisha mjadala, everything ni planned, hebu jaribu kufikiria kwa umakini kwenye mfano huu hata kama hautakufurahisha try to think out of the box, Rasimu ya pili ya KATIBA YA NCHI ilipotoka (HOT ISSUE FOR THE NATION and our generation fifty years to come), ndipo unaibuka mjadala wa Zito na CDM, kila mtandao unajadili hiyo issue badala ya KATIBA YA NCHI, issue inapoa tunarejea kwenye maisha yetu ya kawaida, yaani tumebaki na manyoya kuku kaliwa.

Je, unaweza nitajia wapi ilitokea Mtanzania kamla Mtanzania mwenzake na ilikuwa mwaka gani katika karne ya 21? au umeamua kunitukana tu!!!Lakini kibaya zaidi nawe bila hata kutafakari unaanza kunitokana tena, sawa ndg yangu inawezekana wewe ulilelewa hivyo. Lakini kosa langu ni lipi hasa mpaka unanitukana? mbona hulisemi!!!!

Lete ushahidi mmoja tu kama hayo yaliyotokea Zanzibar ya Tindikali na kuuwawa mapadre ni vitendo vya Wazanzibari.

Na kwanini mpaka leo jeshi la polisi limeshindwa kuwatia hatiani wahusika?
Dharau ya Tanganyika imeshindwa kuwaachia wenyewe polisi wa Muungano waliomo Zanzibar wafanye uchunguzi na kwa kuto jiamini au kwa kuendelea kuwaabudu wazungu wakapeleka FBI kule.

Na ilikuwaje FBI waliondoka kimya kimya bila kusema lolote? Na kwanini Polisi imeshindwa kutoa report ya FBI hadharani?

Mchungaji aliepigwa risasi nje ya geti la nyumba yake usiku wa manane karibu ya alfajiri alikuwa anatokea wapi na hali haikuwa siku ya Mkesha wa Xmas?

Wengine tumesoma katika shule za makanisa tokea hizo enzi hata pengine hamjafikiriwa kuzaliwa. Tunazijuwa kanuni za kanisa na time za maombi na misa zinaanza saa nagapi na kuishia saa ngapi maana tukicheza humo humo ndani ya kanisa na wakina Josefu na Age.

Hebu tafuteni backgrounds zao hao mapadri waliofikwa na hiyo mikasa na muunganishe hayo matukio.

Zanzibar kuna makanisa makongwe kuliko yote katika East Africa hakujatokea incidents hizo miaka na karne. Vituko vimeanza baada ya kutangazwa vyama vingi Tanzania.

Hizi ni fitna zinazopandikizwa nawatu kama nyinyi kuzipalilia hasa hivi sasa tunaona huko Chadema mumepamba moto.
Maana exodus ya wanachama wenu wenye dini ya Islam imewafadhaisha sasa eti mnatangaza kazi Zanzibar.

Nyinyi si mlisema hamuitambui katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar kwa hivyo hamna hata mipango ya kampeni katika 2015. Afadhali ya Tundu Lisu anaitambua Zanzibar ni nchi labda ni urathi wa kule alikokuwa alikopata malezi ya kisiasa kabla hajatoka CUF.
 
Kama unajali ustaarabu anza kuwafunza hao jamaa zako maana hao ndio wakuu wa matusi na kejeli kwa Wazanzibar.....sis twaendeleza

Nashangaa sana unapokuja Uzi ukihusu wa Znz basi kejeli na kashfa tupu zinajaa hapa,kama kweli waznz hawana elimu sijui tunawang'ang'ania kitu gani,hebu tuwaache waende sio kuleta chuki zisizo na msingi hapa,
 
Lete ushahidi mmoja tu kama hayo yaliyotokea Zanzibar ya Tindikali na kuuwawa mapadre ni vitendo vya Wazanzibari.

Na kwanini mpaka leo jeshi la polisi limeshindwa kuwatia hatiani wahusika?
Dharau ya Tanganyika imeshindwa kuwaachoa.wenyewe polisi wa Muungano waliomo Zanzibar wafanye uchunguzi na.kwa kutoajiamini au kwa kuendelea kuwaabudu wazungu wakapeleka FBI kule.

Na ilikuwaje FBI waliondoka kimya kimya bila kusema lolote? Na kwanini Polisi imeshindwa kutoa report ya FBI hadharani?

Mchungaji aliepigwa risasi nje ya geti la nyuma yake usiku wa manane karibu ya alfajiri alikuwa anatokea wapi na hali haikuwa siku ya Mkesha wa Xmas?

Wengine tumesoma katika shule za makanisa tokea hizo enzi hata pengine hamjafikiriwa kuzaliwa. Tunazijuwa kanuni za kanisa na time za maombi na misa zinaanza saa nagapi na kuishia saa ngapi maana tukicheza humo humo ndani ya kanisa na wakina Josefu na Age.

Hebu tafuteni backgrounds zao hao mapadri waliofikwa na hiyo mikasa na muunganishe hayo matukio.

Zanzibar kuna makanisa makongwe kuliko yote katika East Africa hakujatokea incidenys hizo. Vituko vimeanza baada ya kutangaza vyama vingi Tanzania.

Hizi ni fitna zinazopandikizwa nawatu kama nyinyi kuzipalilia
kudandia gari kwa mbele ni hatari sana. Ungeisoma post kwa umakini, nadhani usingeandika hicho ulichoandika. Nilikuwa namuuliza mleta hoja niliyemnukuu acha kupiga mawe gizani. Hebu isome post yangu kwa jicho lingine utaona kilichomo ndani yake, maana kila kitu nimeweka, labda wewe ukikatae lakini kitabaki ndiyo ukweli wenyewe, hutaki acha kilivyo
 
kudandia gari kwa mbele ni hatari sana. Ungeisoma post kwa umakini, nadhani usingeandika hicho ulichoandika. Nilikuwa namuuliza mleta hoja niliyemnukuu acha kupiga mawe gizani. Hebu isome post yangu kwa jicho lingine utaona kilichomo ndani yake, maana kila kitu nimeweka, labda wewe ukikatae lakini kitabaki ndiyo ukweli wenyewe, hutaki acha kilivyo

Sikudandia, sababu umesema chuki za kidini ziko Zanzibar, na umetoa mifano ya kuuwawa Mapadri na umwagaji wa Tindikali. Kwani kule Geita walivyouwana.sababu ya kuchinja ngombe na miripuko ya mabomu Arusha, si mlikamata mpaka Waarabu sababu walikuwa wametokezea tu pale at the wrong time au?
 
Ukitisha kura ya maoni leo hii, zaidi ya asilimia 70 ya Watanganyika watahitaji serikali tatu au kuvunjilia mbali muungano na hardly 50pc ya Wazanzibari watahitaji serikali tatu au kuvunja muungano, inayobakia itahitaji serikali mbili. Huu ni mtazamo wa mwanazuoni mmoja nikiwa katika mazungumzo naye.

Sababu kuu aloitoa ni kuchoka kwa Watanganyika na kejeli za Wazanzibari wakati wakiamini kabisa kuwa wanufaikaji wakuu ni hao hao walalamishi, huku upande wa pili ukiwa na werevu wengi tu wenye kuelewa wanavyonufaika na muungano huu wa serikali mbili.

Kiburi kilijengeka kutokana na mazoea kabla ya mfumo wa vyama vingi, ambapo Wazanzibari wengi walijikuta wakipata nafasi za kiuongozi kirahisirahisi tu, hivyo mtu akiona nafasi yake inataka kupokonyoka au imempokonyoka, basi alikuja na hoja ya kero za muungano!!

Hata kina Warioba na uegemezi wao kwenye serikali tatu ni suala hilo hilo la hasira, kwamba tumewachoka hawa, wamezidi kutulalamikia, lakini ukweli wanaujua sana kwamba suala la gharama litaleta usumbufu, kwani Tanganyika haitokuwa tayari kubeba hilo zigo, na kwa hulka hizi za chako chetu na changu changu ya hawa jamaa wa visiwani basi tujiandae kwa hserehe ya kuvunjika kwa Tanzania na kurudi upya kwa serikali za awali/
 
Ukitisha kura ya maoni leo hii, zaidi ya asilimia 70 ya Watanganyika watahitaji serikali tatu au kuvunjilia mbali muungano na hardly 50pc ya Wazanzibari watahitaji serikali tatu au kuvunja muungano, inayobakia itahitaji serikali mbili. Huu ni mtazamo wa mwanazuoni mmoja nikiwa katika mazungumzo naye.

Sababu kuu aloitoa ni kuchoka kwa Watanganyika na kejeli za Wazanzibari wakati wakiamini kabisa kuwa wanufaikaji wakuu ni hao hao walalamishi, huku upande wa pili ukiwa na werevu wengi tu wenye kuelewa wanavyonufaika na muungano huu wa serikali mbili.

Kiburi kilijengeka kutokana na mazoea kabla ya mfumo wa vyama vingi, ambapo Wazanzibari wengi walijikuta wakipata nafasi za kiuongozi kirahisirahisi tu, hivyo mtu akiona nafasi yake inataka kupokonyoka au imempokonyoka, basi alikuja na hoja ya kero za muungano!!

Hata kina Warioba na uegemezi wao kwenye serikali tatu ni suala hilo hilo la hasira, kwamba tumewachoka hawa, wamezidi kutulalamikia, lakini ukweli wanaujua sana kwamba suala la gharama litaleta usumbufu, kwani Tanganyika haitokuwa tayari kubeba hilo zigo, na kwa hulka hizi za chako chetu na changu changu ya hawa jamaa wa visiwani basi tujiandae kwa hserehe ya kuvunjika kwa Tanzania na kurudi upya kwa serikali za awali/

Duniani hakuna nchi nyengine watanganyika mkaungane nayo?kwann lazima muungano uwe kwa zanzibar tu?kumbuka kulikuwa na muungano wa ussr leo hii uko wapi?
 
"Nje ya Muungano kuna Wapemba na Waunguja" unquote, huo ni Nyerere JK aliyewafahu wazanzbar vizuri kuliko hata wao wenyewe! kama wanabisha ajte kwene muungano waona kama kuna ktu kinachootwa zanibar kitabaki! Onacu wa maalimu seif, ona uchu wa Bilal, ona uchu wa wanasiasa wa Pemba na unguja! Yanayoendelea Sudani ya kusini ni rahisi mno kutokea Zanzia!

Usiwe m-p-umbavu wa kukaririshwa maneno,zanzibr ilikuwepo kabla ya muungano huu wa magumashi,nyerere kwani ni nani?yeye ndio kaja kuuwa zanzibr ili lengo la kanisa lifanikiwe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom