Punjab Singh
JF-Expert Member
- Jan 14, 2014
- 955
- 651
nirejee wapi wakati unaongea bila data.Rejea kusoma bandiko langu na hoja za wachangiaji utajua nimesimama wapi.
nirejee wapi wakati unaongea bila data.Rejea kusoma bandiko langu na hoja za wachangiaji utajua nimesimama wapi.
Makame Kha! Hama basi uje Tanganyika kwa mabwana zakoNdugu zangu wazanzibar,Ni muda mrefu sasa tumekua ktk manung'uniko kwamba serikali ya Muungano(Tanganyika) wanatunyonya.
Kumekua na rai nyingi sana za kutaka mamlaka kamili ya nchi Zanzibar ili tujiendeshe kama nchi nje ya Jamhuri ya Muungano.
Wapo wazanzibar walofika mbali zaidi na kusema sasa Muungano basi.
1.Napenda niwaulize ndugu zangu wazanzibar kabla hatujapaza yowe la kuukataa muungano huu je tumejiandaaje kujiendesha kama nchi kamili nje ya Muungano.
2.Niwajuze wazanzibar wenzangu kelele na manung'uniko yetu yamewaamsha watanganyika sasa wako mbioni kupata nchi yao nje ya muungano.wao wamejipanga tayari kwa hilo.
3.Ndugu zangu wazanzibar kama tulikua tunafanya utani wenzetu wapo serious,kiuchumi,kisiasa.
Wamejiimarisha ktk nyanja nyingi muhimu kama nchi.JE sisi tumejiandaaje!
Rai yangu kwenu mdundo huu wa kuvunja muungano usituleweshe naona mwisho wake tutakuja kuwapigia magoti watanganyika turudiane kuungana.
Upepo wa mabadiko
Upepo wa kisiasa
Lazima tuangalie tuna vyuo vikuu,vyanzo vya mapato zanzibar,ajira,n.k
Malalamiko na manung'uniko yasio na tija hayafai.
nirejee wapi wakati unaongea bila data.
Sijawahi kuona mzanzibar bweege kama wewe hivi wazanzibar wanavyotukanwa humu hauoni.Wenye akili walinielewa mapema sana,shida imekuja kwa wenye ubongo wa samaki kama wewe.
Huu si wakati wa kulialia
Huu si wakati wa kuwatukana watanganyika
Huu si muda wa kuonyesha chuki kwa Watanganyika,
Ni vyema tuendeshe makongamano, mihadhara,mijadala tupate walau vision ya kiuchumi rasili mali tulizonazo,uongozi t
ulionao,vyanzo vyetu vya mapatao, kisha tutepeleke matokeo haya ya mijadala kwa wazanzibar nao wajue tunasimamaje kama nchi nje ya muungano.
Hii picha ya kwenye movie acheni ushamba..
Ndugu zangu wazanzibar,Ni muda mrefu sasa tumekua ktk manung'uniko kwamba serikali ya Muungano(Tanganyika) wanatunyonya.
Kumekua na rai nyingi sana za kutaka mamlaka kamili ya nchi Zanzibar ili tujiendeshe kama nchi nje ya Jamhuri ya Muungano.
Wapo wazanzibar walofika mbali zaidi na kusema sasa Muungano basi.
1.Napenda niwaulize ndugu zangu wazanzibar kabla hatujapaza yowe la kuukataa muungano huu je tumejiandaaje kujiendesha kama nchi kamili nje ya Muungano.
2.Niwajuze wazanzibar wenzangu kelele na manung'uniko yetu yamewaamsha watanganyika sasa wako mbioni kupata nchi yao nje ya muungano.wao wamejipanga tayari kwa hilo.
3.Ndugu zangu wazanzibar kama tulikua tunafanya utani wenzetu wapo serious,kiuchumi,kisiasa.
Wamejiimarisha ktk nyanja nyingi muhimu kama nchi.JE sisi tumejiandaaje!
Rai yangu kwenu mdundo huu wa kuvunja muungano usituleweshe naona mwisho wake tutakuja kuwapigia magoti watanganyika turudiane kuungana.
Upepo wa mabadiko
Upepo wa kisiasa
Lazima tuangalie tuna vyuo vikuu,vyanzo vya mapato zanzibar,ajira,n.k
Malalamiko na manung'uniko yasio na tija hayafai.
Mzanzibar usiejitambua,
Mimi sina cha kukusaidia zaid ya kukutandika mizinga ya gongo tuh uzid kuvuruga akili yako
:A S 13: :A S 13:
Nini Faida ya hayo matusi watukanayo? Ungeangalia thread inasemaje ungekua wa maana sana sio kuendeleza upimbi wako.
Ondoa shaka kuhusu mimi Naitwa Nassib Mohamed Makame.
Kunikejeli mimi haitosaidia kitu.
Unapopinga kuwepo kwa Muungano wakati huohuo hujui utajiendeshaje nje ya muungano huo ni ufyoro.
Bora umejitetea mapema maana ungerushiwa madongo na wasioangalia hoja bali makosa ya lugha. Lakini inaeleweka ukimaanisha "Huwezi kuona umuhimu wa kitu mpaka unapokuwa umekipoteza au kimekutoka" na wakati mwingine kama unachoandika unakielewa tumia KISWAHILI tu hiki kiingereza tukilazimisha tunaweza kuvunjika mishipa ya ulimiKuna lugha inasema " You never know the importance of a thing until you loss it" Kiingereza changu kibovu lakini nadhani nimeeleweka.
Kwani wewe Makamee ndio wale waliofungua macho wakawa wameuona huu Muungano tu yaana hata hawakuona macho ya wazee nao enh? Teh teh teh.
Unajuwa kama Sychelles ndio nchi tajiri kuliko zote katika Africa?
Mzanzibar usiejitambua,
Mimi sina cha kukusaidia zaid ya kukutandika mizinga ya gongo tuh uzid kuvuruga akili yako
:A S 13: :A S 13:
Ondoa shaka kuhusu mimi Naitwa Nassib Mohamed Makame.
Kunikejeli mimi haitosaidia kitu.
Unapopinga kuwepo kwa Muungano wakati huohuo hujui utajiendeshaje nje ya muungano huo ni ufyoro.
Sychelles iliwahi kuwa ktk muungano na nchi gani?
Toa mfano wa nchi zilizogawanyika South Sudan
Ni kweli, miezi miwili na nusu ya uhuru ilikuwa ngumu sana kwa marehemu Karume kushikilia dola ya visiwa viwili kama nchi moja - alishalemewa sana na hatari ya vita vya wenyewe kwa wenyewe - kama historia inavyoonesha. Lakini kwa sasa mazingira ni tofauti na wakati ule tulipohitaji msaada wa Watanganyika ili kuepuka balaa baada ya Mapinduzi matukufu. Sasa tunaweza kabisa kujisimamia kama nchi. Historia imebadilika, watu wamebadilika, mazingira ya ki-dunia yamebadilika. Tunawashukuru Wabara kwa kupita nasi kipindi kile kigumu, lakini shukrani na heshima hii itapungua na kubadilika iwapo mtaendelea kufikiri mtoto akishakua anahitaji tena kutunzwa na kusimamiwa na mzazi. Mzazi mwenye busara humpa mtoto heshima na uhuru wa kujitawala muda unapofika kufanya hivyo!
"kwani siri hasa ya mapinduzi huijui wewe? tafuta kitabu kimoja kinaitwa "kwaheri uhuru,kwaheri ukoloni" cha Harith Ghassani unaweza kupata mwangaza. Hapa ndio tatizo lenu kubwa mapinduzi hasa hamyajui wengi wa watu wa Tanganyika"
Sychelles haiko katika.Muungano wa Africa Mashariki wala wa Tanganyika, ndio I
nikakujuuulisha kuwa Sychelles ambayo ndogon na haina hata cash crop kama Zanzibar ni tajiri kuliko zote Afrika. Sasa wewe unaelia kuwa Zanzibar ikiwa katika mamlaka yake itarudi ipige magoti kwa Tanganyika manaake nini?
Wala usije kuleta suala la Uislam sijui kadha wa kadha. Maldives ambayo ni nchi pekee duniani 100% waislam nayo ni ndogo kuliko Zanzibar inaedheshwa na uchumi wa kitalii bila kuathiri maadaili ya wananchi wake.
Na nchi hizi mbili ni ndogo lakini zote ziko katika Umoja wa Biashara wa Visiwa vya Bahari ya Hindi, umoja ambao na Zanzibar inaweza kujiunga na wananchi wake.wakafaidika kiuchumi. Upoooooooo?