Wazanzibar muungano tutaununua...

Wazanzibar muungano tutaununua...

Status
Not open for further replies.
Duh! Teeh! Teeh! Teeh!

Mkuu,yaani hili povu looote limekutoka na tashtit nyingi mno,sababu ya kutajiwa hiyo Chadema yako tu!? Teeh! Teeh! Teeh!

Kwani mtu kuwa mfuasi/Msukule wa Chadema ni aibu Mkuu!?...mbona unaleta dasturi kama za yule mlevi wa Chang'aa aka Nicholas!? Teeh! Teeh! Teeh!

Acha hizo tishatoto weye! Hivi kweli unaamini hayo uandikayo au unaamua tu kuwafurahisha wenzio!?

Sasa wewe unatishia-nyau Wazanzibary...lakini nasikia majuzi tu Chama chako Chadema ati kimetangaza nafasi ya kazi(ndio! yaani moja tu,kwa Wazanzibary population of over just a million!? Duh!). Chadema bana! Teeh! Teeh!

Sasa mbona mwatuchanganya nyinyi Watanga-nyikwa!? Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta.

CC;Ritz,Mzito Kabwela
Huwa nashiriki mijadala, ila mtu akionesha kuwa yeye anaabudu vyama kama ambavyo unavyojionesha, hujitenga naye ili ajadiliane na wa level yake. Hakuna hata sehemu moja nilipokuambia ww kuwa mimi ni mwanachama wa chama fulani ila umeamua kunipa chama cha CDM na sio CCM, I am very unhappy for this. Binafsi hupenda kujadili yale yanayogusa Watz sio ushabiki wa vyama lakini mwenzangu hauko hivyo. Najiheshimu sana sijafurahishwa na kitendo chako cha kunitukana bila kosa lolote. Hivi kama ningekuwa nimekukosea bila shaka ningetukanwa zaidi ya hayo matusi katika post ulipost wakati huu. Naomba nikuulize gombesugu, nimefanya kosa gani wewe mpaka uniite mimi msukule? kwa hili naomba majibu

Let us end here, because I think in my view we don't match in the way of seeing the issues. All the best gombesugu
 
Huwa nashiriki mijadala, ila mtu akionesha kuwa yeye anaabudu vyama kama ambavyo unavyojionesha, hujitenga naye ili ajadiliane na wa level yake. Hakuna hata sehemu moja nilipokuambia ww kuwa mimi ni mwanachama wa chama fulani ila umeamua kunipa chama cha CDM na sio CCM, I am very unhappy for this. Binafsi hupenda kujadili yale yanayogusa Watz sio ushabiki wa vyama lakini mwenzangu hauko hivyo. Najiheshimu sana sijafurahishwa na kitendo chako cha kunitukana bila kosa lolote. Hivi kama ningekuwa nimekukosea bila shaka ningetukanwa zaidi ya hayo matusi katika post ulipost wakati huu. Naomba nikuulize gombesugu, nimefanya kosa gani wewe mpaka uniite mimi msukule? kwa hili naomba majibu

Let us end here, because I think in my view we don't match in the way of seeing the issues. All the best gombesugu


Mkuu Mwakaboko,

Salaam sana!

Yaani umeandika kwa simanzi na huzuni ilo kuu...lazim nikiri yakuwa binafsi nimejisika vibaya mno kwa kuwa nimekukera kama ulivyoeleza!

Napenda kuchukua fursa hii adimu,kukutaka radhi rasmi kwa hicho kitendo changu cha kukunasibisha weye Mkuu na hiyo Chadema! Duh! Kumradhi mno!!

Labda "kosa" langu lilisababishwa na mie wakti fulani ,kusoma bayana ya Wakuu Ritz,CHAMVIGA au THE BIG SHOW!?...nisamehe tena maana kwa sasa sina hakika uzuri!?...lakini nakumbuka uzuri yakuwa mmoja wao kati ya hawa ndugu zetu nilowataja aliwahi nafikiri kutaja yakuwa ati weye,Mzito Kabwela,Mungi na Nyakageni ni Chadema damu!? Teeh! Teeh! Teeh!

Lakini umenifurahisha kiduchu,kunijuza yakuwa...kumbe si kila mwenye akili zake timamu anapenda kunasibishwa/kuhusishwa na hiyo Chadema!? Duh!

Shukran pia kutujuza yakuwa weye Mkuu Mwakaboko,kumbe waipenda mno CCM maskini!...kama hiyo bayana/post yako isemavyo!

Mie binafsi bado nakuheshimu mno Mkuu...nakusihi tuendeleze mijadala yetu kwa staha na taadhima kama awali!

Nakutakia siku njema!

Ahsanta.
 
Mimi huwa najiuliza ..ni kwa nini Tanganyika ijiunge kwanza na Zanzibar ndo kisha wote tujiunge Afrika Mashariki?

Ka nini Tanganyika isijiunge kwanza na Kenya kisha ndo tujiunge Arfika Mshariki?

Huwa sipati jibu!!
 
Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi tafiti zinaonyesha kuwa baada ya miaka hamsini ijayo visiwa vya Pemba na Unguja vitakuwa vimemezwa na bahari. Hii pia haihitaji wageni wa nje waje wawaonyeshe bali ni nyie kufanya juhudi kidogo tu kuwauliza wazee wenu wa miaka ile na kuangalia kingo za bahari mtakuwa mmepata majibu kwa wepesi zaidi. Wanasiasa ni wajuvi wakuongea majukwaani na kusimulia uwepo wa nchi ya ahadi, msipumbazwe na masimuliza ya Singapore au Dubai angaliehistoriayenu kama taifa mtagundua ghiriba ya watawala. Katika kadhia hii ya kuitana majina yasiyo na staha je mlisha jaribu kuongelea suala la ardhi na uwiano wa watu!!!!(jinsi mnavyo zaliana), je mlisha jaribu kutafiti hisia za watanganyika juu ya maneno ya dharau na kashfa mnayo toa dhidi yao na mustakabali wa nchi hizi mara baada ya kujitenga!!!. Madai mnayoyataka ni kweli yana msingi na ni haki yenu kama taifa like kujiunga na OIC kuwa na mafungamana na nchi zingine nje ya mwamvuli wa Tanzania lakini ni nchi ngapi ni wanachama wa hizo jumuiya na wamepata hayo maendeleo mnayoyatamani?, je si kweli kwamba wanasiasa wanataka kufanya ukuwadi wa rasilimali mlizo nazo kwa hawa they so called wawekezaji!!
Tahadhari yangu kwenu ni kuwa historia haiongopi mjihadhari na kuanza kutafuta mzanzibari halisi maana mlisha anza kwenye mijadali katika mitandao ya kijamii - ref balozi Karume na comments zake - Nalikumbuka sana soko la utumwa zanzibar ila utumwa wa kifikra kwa karne hii ndo mbaya zaidi maana huyo unaye mwabudu naye anakwake na vipaumbele vyake katika suala la maendeleo na siku zote jaribu kuwa na amani na majirani zako wa karibu kuliko rafiki wa mbali kupata msaada wakati wa shida (kwa uharaka) itakuwa ni ngumu. TUZIRUHUSU FIKRA ZETU ZIFIKIRI MBALI ZAIDI KULIKO MAHITAJI YETU YA SASA maana kunawenzenu walishindwa uchaguzi na sababu walizotoa ni kwamba uwingi wa watanganyika eneo lile ndo sababu ya wao kushindwa na ndio hawa wanaopiga ngoma hii ambayo wengi tunaicheza bila kujua ni nani kamlipa mpiga zumali

Mkuu,

Hapo nilipo-BOLD kwenye hiyo bayana yako!

Hizo ni disputable theories!

Kwa kifupi huo ni utapeli/ubadhilifu wa kitaaluma ulobobea tu,wa akina Al Gore and the so called Western Scholars,Environmentalists and/or "Think Tanks"! Dah!

Tujaalie labda ndo "kweli" hayo usemayo...sasa khadith kama hizo wapelekee kwanza ndugu zetu wa pale Maldives,Ok!? Nao pia nina hakika wameshazisikia/wameshatishiwa saana tu! Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta.
 
Zanzibar na hali yake huku Tanganyika inafahamika na kueleweka fika, zadi ya hilo kelele zenu na manung'uniko yasio isha, amayo hata CCM haikuyakemea yamewaamsha wenzenu hisia ya uTanganyika.

Mtikila alikuwa akionekana msema ovyo sasa ameeleweka.

Naona umekuwa makini kuonyesha ukweli kuwa matatizo ya muungano wazanzibari wengi wakifikiri ni kutokana na Tanganyika, kumbe ni dhana potofu.

Hata hivyo kwa sasa hivi ni almost too late, Watanganyika wengi wameuchoka meengano, na wako wengi hata ikipigwa kura leo watautosa!

Kitu cha maana ni Zanzibar kubeba na kuzitata kero zao wenyewe, wakipata mjomba wa kuzibeba kero hizo alhamdulilahi!

Ikitokea wakipata mjomba, jua mjomba na familia yake kwanza. Hakuna wa kubeba matatizo yangu isipokuwa mimi mwenyewe...hiyo sio rocket science!
 
Nilitarajia utajibu hoja alizotoa na sio kutoa jibu la blabla kama hili ulilotoa. Hebu jiulize mmejiandaaje kwenye suala la ardhi kama nchi ya Zanzibar.

Je, ikitokea, Serikali ya Tanganyika ikiamuru Wazenj walioko huku Bara warejee Visiwani Zanzibar, maandalizi yakoje? Mnauchumi kwa kuhimili kishindo chao hao wageni kwa muda wa walau wiki moja?

Muungano ukivunjwa, je mtawaweza kuhimili vishindo vya msongamano wa wananchi hapo visiwani? kumbuka Wazenj fecundity yenu iko juu sana!!!. Je suala la ubaguzi umeliweka vipi huko, maana isije ikawa muungano kufa zanzibar ikawa haipo ila Unguja na Pemba

Mkuu,

Almost all your arguments/questions are hypothetical,based merely on childish/weak theories and deserve no intellectual response at all!

Just quick reminder,before I leave you for today,Sir!...take a look at your own house first...I mean your Tanganyikwa!... about systematic Islamophobia,nepotism,racism,tribalism and/or tribal wars and violences,cannibalism(where still primitive Tanganyikwans killing and eat their own Albinos! Dah!) and many other unspoken atrocities within Tanganyikwan Society!

Ahsanta.
 
Ndugu zangu wazanzibar,Ni muda mrefu sasa tumekua ktk manung'uniko kwamba serikali ya Muungano(Tanganyika) wanatunyonya.

2.Niwajuze wazanzibar wenzangu kelele na manung'uniko yetu yamewaamsha watanganyika sasa wako mbioni kupata nchi yao nje ya muungano.wao wamejipanga tayari kwa hilo.
Mambo mawili:
1. WaZanzibari wanao ngangania muungano hawafiki hata % 10 ya idadi ya Wazanzibari waliopo
2. Hao ndio wenye maslahi katika muungano huu...Wabunge, Mawaziri,na vigogo wengine serikalini na taasisi za muungano, pamoja na ndugu zao!

Hata hivyo, kuna sababu zipi za Nchi hii kutumia rasilimali nyingi kiasi hicho kuushikilia muungano? Majeshi, Polisi, TISS na wengine. Wanalinda nini?
Mfano mzuri - Guinea Bissau na Capo Verde zilikuwa nchi moja huku Capo Verde ikiwa ni kisiwa tu. Wakapigania uhuru kwa pamoja na kumngoa Mreno...kisha kila mmoja akaendelea na Hamsini zake.

 
Usiwe na wasi wasi ndugu yangu, Zanzibar itakuwa Singapore ya Afrika Mashariki ingawa mwanzo wake unaweza kuwa mgumu kidogo lakini baada ya miaka kama hamsini hivi kila mtu ataitamani Zanzibar.
huyo hamsini unadhani Tanganyika bado itakua palepale?... Afu hiyo hamsini msiongee sana maana zanzibar hata oil itakua kushnehi, sanasana itabaki na tourism tu, inshort zanzibar inapigwa taf kubwa sana kutoka tanganyika, kubwa mno..
 
umemaliza darasa la ngapi mpaka unapata ujasiri wa kuwaponda wenzako kuwa hawajasoma, umewahi rudi chuoni wewe baada ya kumaliza. Na kama umewahi kwenda shule/chuo basi ulienda kwenye shule ambayo walimu walikubeba kama boga, hawakukupa chakula sawasawa kama sio basi ulikuwa kiazi kisichoiva au yai viza. Maana walimu ambao ni mahili watakufundisha kuwa mstaarabu, usitukane wenzako, hata vitabu vya dini vinakataza. Soma hata hivyo upate maarifa.

Mmejiandaaje kiuchumi kuwapokea watu wakati wa exodus from Tanganyika. ardhi ipo kuhimili huo msongamano? jiulize maswali magumu, kubali majibu mazito hata kama ni machungu just take them. MSITUKANE WATANGANYIKA
Wewe mbona unataka kutusemea watanganyika hayo mawazo yako na Chadema Tanganyika haiwezi kufukuza mtu yoyote siyo sifa yetu hizo fikra zenu Chadema.

Zanzibar ni ndugu zetu ukanda wate wa pwani ni kwao kuanzia Dar, Tanga, Mtwara, Pwani, kote huko kuna mapande ya ardhi tutawapa halafu eneo siyo tatizo sijui kama umefika Dubai, Abu Dhab, Sharja umeona maeno yalivyokuwa madogo lakini nyumba hazina watu.

Nenda Hong Kong ukubwa wake ni 426 sq mi na km 1.104 lakini wachina kutoka maeneo mengine yenye ardhi kubwa wanatamani kuishi hapo Hong Kong pamoja kuwa na ardhi ndogo.
 
Mkuu Mwakaboko,

Salaam sana!

Yaani umeandika kwa simanzi na huzuni ilo kuu...lazim nikiri yakuwa binafsi nimejisika vibaya mno kwa kuwa nimekukera kama ulivyoeleza!

Napenda kuchukua fursa hii adimu,kukutaka radhi rasmi kwa hicho kitendo changu cha kukunasibisha weye Mkuu na hiyo Chadema! Duh! Kumradhi mno!!

Labda "kosa" langu lilisababishwa na mie wakti fulani ,kusoma bayana ya Wakuu Ritz,CHAMVIGA au THE BIG SHOW!?...nisamehe tena maana kwa sasa sina hakika uzuri!?...lakini nakumbuka uzuri yakuwa mmoja wao kati ya hawa ndugu zetu nilowataja aliwahi nafikiri kutaja yakuwa ati weye,Mzito Kabwela,Mungi na Nyakageni ni Chadema damu!? Teeh! Teeh! Teeh!

Lakini umenifurahisha kiduchu,kunijuza yakuwa...kumbe si kila mwenye akili zake timamu anapenda kunasibishwa/kuhusishwa na hiyo Chadema!? Duh!

Shukran pia kutujuza yakuwa weye Mkuu Mwakaboko,kumbe waipenda mno CCM maskini!...kama hiyo bayana/post yako isemavyo!

Mie binafsi bado nakuheshimu mno Mkuu...nakusihi tuendeleze mijadala yetu kwa staha na taadhima kama awali!

Nakutakia siku njema!

Ahsanta.
Mkuu gombesugu

Kuna watu wakumuomba radhi siyo huyu mtu bado ana fikra za kijinga kabisa eti Tanganyika itawafukuza Wazanzibar wote utadhani Tanganyika ni mali yake, huyu ni msukule wa Chadema fuatilia michango yake ana chuki sana na Waislam.

Done.
 
Last edited by a moderator:
Wewe mbona unataka kutusemea watanganyika hayo mawazo yako na Chadema Tanganyika haiwezi kufukuza mtu yoyote siyo sifa yetu hizo fikra zenu Chadema.

Zanzibar ni ndugu zetu ukanda wate wa pwani ni kwao kuanzia Dar, Tanga, Mtwara, Pwani, kote huko kuna mapande ya ardhi tutawape halafu eneo siyo tatizo sijui kama umefika Dubai, Abu Dhab, Sharja umeona maeno yalivyokuwa madogo lakini nyumba azina watu.

Nenda Hong Kong ukubwa wake ni 426 sq mi na km 1.104 lakini wachina wanatamani kuishi apo pamoja kuwa na ardhi kubwa.
mkuu watatakiwa kufuata sheria za tanganyika ili kuishi hapa.
 
mkuu watatakiwa kufuata sheria za tanganyika ili kuishi hapa.
Mkuu tanganyika labda tanganyika ya Chadema.

Mkuu utanganyika wako umekusaidia nini nenda Geita, Mwadui, Shinyanga, Mwanza kaangalie wageni wanavyokula bata kwenye madini, ukitoka huko nenda Mtwara sawa kamanda.

Nenda Msasani, Kariakoo, Magomeni, Temeke, Buguruni, Mwananyamala, Mtongani, Wapemba wamenunua majumba wewe umekalia maandamano tu.
 
Wewe mbona unataka kutusemea watanganyika hayo mawazo yako na Chadema Tanganyika haiwezi kufukuza mtu yoyote siyo sifa yetu hizo fikra zenu Chadema.

Zanzibar ni ndugu zetu ukanda wate wa pwani ni kwao kuanzia Dar, Tanga, Mtwara, Pwani, kote huko kuna mapande ya ardhi tutawapa halafu eneo siyo tatizo sijui kama umefika Dubai, Abu Dhab, Sharja umeona maeno yalivyokuwa madogo lakini nyumba hazina watu.

Nenda Hong Kong ukubwa wake ni 426 sq mi na km 1.104 lakini wachina kutoka maeneo mengine yenye ardhi kubwa wanatamani kuishi hapo Hong Kong pamoja kuwa na ardhi ndogo.
acha kunipa uanachama wa vyama. Unasema hivyo kwa sababu huwajui wanasiasa na watawala wanavyoishi wewe. Siku mambo yakibadilika ndipo utajua wakoje. Hivi unafahamu majuzi hapa tumewafukuza watu walioishi hapa kwa miaka thelathini, maamuzi ya watawala kwanini hukupinga au unajambo lingine.

Usinivisha mavazi ya vyama kama ukiona huwezi ukiona post zangu ziruke au niweke kwenye black list yako. Daima zisizione issues kwa jicho la chama bali kama MTANZANIA, mnaoshabikia vyama endeleeni na ujinga wenu lakini msituue
 
acha kunipa uanachama wa vyama. Unasema hivyo kwa sababu huwajui wanasiasa na watawala wanavyoishi wewe. Siku mambo yakibadilika ndipo utajua wakoje. Hivi unafahamu majuzi hapa tumewafukuza watu walioishi hapa kwa miaka thelathini, maamuzi ya watawala kwanini hukupinga au unajambo lingine.

Usinivisha mavazi ya vyama kama ukiona huwezi ukiona post zangu ziruke au niweke kwenye black list yako. Daima zisizione issues kwa jicho la chama bali kama MTANZANIA, mnaoshabikia vyama endeleeni na ujinga wenu lakini msituue
Nyoosha maneno vizuri tumewafukuza wahamiaji haramu hata kama umeishi miaka 50 kama hauna makaratasi haikufanyi wewe kuwa raia huu utaratibu unafanywa dunia nzima.

Unataka kutuaminisha kuwa siku moja serikali itatoa tanganzo kuwa wazanzibar wote wakamatwe warudishe kwao ndiyo maana nakuambia hiyo tanganyika itakuwa ya Chadema.
 
Mkuu gombesugu

Kuna watu wakumuomba radhi siyo huyu mtu bado ana fikra za kijinga kabisa eti Tanganyika itawafukuza Wazanzibar wote utadhani Tanganyika ni mali yake, huyu ni msukule wa Chadema fuatilia michango yake ana chuki sana na Waislam.

Done.

Duh! Nimekusoma kwa utuvu ulo mwingi Mkuu Ritz,

Kumbe huyu Mwakaboko pia ni mmojawapo ya wale kenge wa Chadema wenye kuendeleza ule uharo wao wa Islamophobia mitandaoni na upotofu wa history!? Duh!

Kwa hiyo sikuwa wrong asilan tangia awali!...maana nilishakhis kwenye zile patterns za bayana zake na elements fulani kwenye arguments zake dhaifu!

Mwakaboko,Tapeli MaxShimba,Nyakageni na nguruwemwitu wangine wa Chadema...hivi tafauti yenu ni ipi khasa!? Kudadeki zenu nyoote! Teeh! Teeh! Teeh!

Mwakaboko...weye na kikundi chenu cha chuki Chadema,hamna uwezo wowote wa kufanza maamuzi yoyote muhimu ndani ya Taifa letu hilo!

Kwa kifupi wewe Mwakaboko Mjukuu wa Kiboko...rejea kwenu mtoni ukale kinyesi kama asili/imani yako inavyokuamrisha...achana na Wazanzibary! Wewe huna hata nchi!!

Ahsanta.
 
mkuu tanganyika labda tanganyika ya chadema.

Mkuu utanganyika wako umekusaidia nini nenda geita, mwadui, shinyanga, mwanza kaangalie wageni wanavyokula bata kwenye madini, ukitoka huko nenda mtwara sawa kamanda.

Nenda msasani, kariakoo, magomeni, temeke, buguruni, mwananyamala, mtongani, wapemba wamenunua majumba wewe umekalia maandamano tu.

tatizo unadhani kila anayekupinga ni chadema, tanganyika ipo na kwenye katiba mpya imesemwa, huwezi kuua tanganyika uwe ccm au chadema. HV KWANI WEWE UZANZIBARI WAKO UMEZUIA MAENEO KUCHUKULIWA ZANZIBAR KWA KISINGIZIO CHA WAWEKEZAJI?
 
Duh! Nimekusoma kwa utuvu ulo mwingi Mkuu Ritz,

Kumbe huyu Mwakaboko pia ni mmojawapo ya wale kenge wa Chadema wenye kuendeleza ule uharo wao wa Islamophobia mitandaoni na upotofu wa history!? Duh!

Kwa hiyo sikuwa wrong asilan tangia awali!...maana nilishakhis kwenye zile patterns za bayana zake na elements fulani kwenye arguments zake dhaifu!

Mwakaboko,Tapeli MaxShimba,Nyakageni na nguruwemwitu wangine wa Chadema...hivi tafauti yenu ni ipi khasa!? Kudadeki zenu nyoote! Teeh! Teeh! Teeh!

Mwakaboko...weye na kikundi chenu cha chuki Chadema,hamna uwezo wowote wa kufanza maamuzi yoyote muhimu ndani ya Taifa letu hilo!

Kwa kifupi wewe Mwakaboko Mjukuu wa Kiboko...rejea kwenu mtoni ukale kinyesi kama asili/imani yako inavyokuamrisha...achana na Wazanzibary! Wewe huna hata nchi!!

Ahsanta.
Hawa jamaa ukiwabana wanajifanya eti wazalendo wanapigania utanzania huyu alikuwa na wenzake wanamshambulia Dr. Ramadhan Dau eti mdini.
 
Mkuu gombesugu

Kuna watu wakumuomba radhi siyo huyu mtu bado ana fikra za kijinga kabisa eti Tanganyika itawafukuza Wazanzibar wote utadhani Tanganyika ni mali yake, huyu ni msukule wa Chadema fuatilia michango yake ana chuki sana na Waislam.

Done.
Swali la msingi kwako Ritz, ni lini niliwahi kukutukana wewe, nashukuru kuwa umeonesha your true face to me. Kwanini unaniita msukule wa chadema?, je katika maisha yako umewahi iona kadi yangu ya chadema. Lakini kwanini unitukane? nimekufanyia kosa gani hasa, je kosa langu ni kuwa na mawazo tafouti na wewe, au ni kuwa dini tofauti na wewe? ndiyo kosa langu, au ni kuwa kabila tofauti na wewe? kwanini unitukane?

Ok, umesema hapa kuwa nina chuki na muslims, je, umewahi ona mahali popote nikisema uislam sio dini? toa ushahidi kama umewahi ona hiyo kitu
Naomba majibu, kama huna ni bora unyamaze kuliko kunitukana bila kosa lolote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom