Wazamiaji wa miaka ya 90

Makanisa- lengo ili kuwapa wafrica hofu ya Mungu mjue asili ya mungu ni mzungu ili muwaogope km unvyowaogopa leo! mudharau mitishamba yenu.

Reli- kusafirishia maligahafi za viwandani huko kwao eg mkonge. pamba.

Hospitali- ili watibie manamba kiurahisi, na kuanda madalali wa kuuza dawa zao yaani vidaktari, vilivyodharau dawa zenu za asili. na wao wapate huduma ya kwanza kabla ya kwenda ulaya! Mpaka leo hkn mzungu anatibiwa Amana, MNH.

Shule- kuandaa makarani wa kazi zao! manesi,daktaris, walinzi yaani KAR,Police nk

Nyumba -walijenga nzuri ili wao waishi, vibanda vilikuwa vya walinzi na wafanyakazi wao!
kalifunikwa kote haka.Eastern cape, oxybow, Mokholong kwa uchache, ni baridi la kufa mtu,hivyo ni vijumba vya kiafrica.
Tours=tafsiri rahisi ni utalii, naamini hukuwahi kufanya study tours shuleni kwenu? ndiyo matokeo yake haya!

Sirukiruki Mkuu, ile ni summary tu, nilidhani naongea na mtu mwenye uelewa mpana! kumbee!
 
 

Unaona hiki kibao kilifunikwa kabisaa na barafu mpaka kijua kilipoanza kupiga, lkn pia bado ikawa haitoshi, mpaka yaje magari maalum, au wamwage chumvi, hapo unapoona mbele yako ni barabara imefunikwa na barafu, Hali ya hewa ya leo ni -4c yaani wewe unaona ni kipupwe!
 
Unasema ulidhani unaongea na nani kumbe?hebu paza sauti yako nikusikie vzr mkuu
 
Son Mountain Lodge iko Eastern Cape, ukienda huko jiandae kabisaaa! na vijumba vya jirani vinamezwana barafu.
 
mwandende hoja yako ya kudai kwamba wakoloni walijenga shule kwa manufaa yetu naipinga,

Malengo yao kujenga shule ni kutengeneza vibaraka wa kuwatumia katika shughuli zao za utawala wa kikoloni, yaan hzo shule zili-train waafrika wachache (tena kwa ubaguzi, mfano watoto wa machifu) sio kila mtoto alihudhuria, kwahiyo malengo makuu ya ujenzi wa shule ni kwa ajili ya manufaa yao

Kuandaa watu wachache kusimamia maslahi yao kwenye projects zao, mfano kwenye kilimo kulikuwa na waafrika wachache waliopata elimu ya mkoloni waliwasimamia wenzao
 
Na hata hizo hospital hakujengewa mtu mweusi, ndio maana hospital zote zilikuwa mahali alipokuwa mzungu

Wasingeweza kuacha kujenga hospital wakati walikuwa wamelowea huku, wakiumwa je?
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119]umenichekesha kumbe bora kufia bongo
We mwanamke! Njoo nikukoe konzi ya kichwa. Unapajua vema Ethiopia wewe mpaka utamani huko kuliko Bongoland? kwanza joto ni kali la Dar likajifunze. Maisha ni magumu hayaelezeki. Wana chuki za kikabila kuliko. Nikusikie tena!
 

Kwa hilo siwezi,bora nifie Afrika[emoji848][emoji848]
 
Kwa hiyo lazima upigwe upara ndio upewe papers ?!
Sasa watakuwa na proof gani kama kweli ni gay?lazima uliwe,,,au uwe unakula...lakini kwa kawaida ya gay hata yule MENDE naye pia huliwa...sometimes.. Maana unaweza mgegeda shoga na baadae akisimamisha dushe anataka akutafune..unafanyaje?
 
Sio tabu kupata visa na kuingia nchi hio? Kama hauna mwenyeji unafanyaje sasa??
Mkuu popote uendako duniani ,hata kama huna ndugu ,,tafuta black people yeyote muafrica ndy atakuwa ndugu yako...ulaya watu weusi wote ni ndugu..niamini mm.,au ukikutana na mtanzania mwenzako yeyote ndy ndg yako.. Kuwa na amani,,..weka passport mfukoni ,, begi mgongoni baharia,,,maneno mbele....usiogope
 
Mayotte Wanapiga kiswahili kile cha buza kabisa kabisa ?
 

Hahahaa! Siwez kujiaminisha 100% kusafiri ugenini mie mschana, anyway mbona watu wengi wanasema watanzania ambao wanaishi UK wana majungu sana??
 

Hahahaa! Siwez kujiaminisha 100% kusafiri ugenini mie mschana, anyway mbona watu wengi wanasema watanzania ambao wanaishi UK wana majungu sana??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…