Wazamiaji wa miaka ya 90

Wazamiaji wa miaka ya 90

Jinsi ya kufanya process ndo sijui kabisa naziangalia email tuu hapa kuna form ndefu natakiwa nijaze halafu niwatumie wanipe maelekezo
Duu,,mkuu hyo sina uzoefu nalo,,maana sijawahi kuingia MAREKANI na wala cadana,,wote hao walininyima viza,,,sasa ngoja waje wabobezi wa hilo,,, ila usipuuze inaweza ikawa really opportunity ya kufika MAREKANI..
 
Duu,,mkuu hyo sina uzoefu nalo,,maana sijawahi kuingia MAREKANI na wala cadana,,wote hao walininyima viza,,,sasa ngoja waje wabobezi wa hilo,,, ila usipuuze inaweza ikawa really opportunity ya kufika MAREKANI..

Sawa nasubir wajuzi waje
 
Hii rotary unalipia,nimeishia hapa
Screenshot_20200614-095047.jpg
 
Njia ya maji naskia rahisi....ngoja nikaolewe tu huko hakuna jins nipate pepa
~ unaweza kupanda kwasa kwasa...kutoka Comoro hadi Mayotte nasikia ni umbali wa kilomita kama 90...halafu mnajazana kinyama,ikipinduka au mkipigwa na wimbi basi tena,safari inakuwa imeishia hapo,wacomoro wengi wanakufa maji kila siku wakijaribu kuingia Mayotte.una roho ngumu mama?
 
Hahhaaha nimecheka....mie sitakuweza....
Kwasababu ni team shirk😉...unaamini kwenye ndagu ...mie siamini kbs!
UnAonekana unapenda shotcut😉...mie sipend!
Hapa ni chitchat tu mkuu! Huo uwezo wa kwenda majuu naupata wapi??kwa ruhusa ipi yaani!🙌🙌🙌
~ Ingebidi niache kuamini shirk na mandagu yote ili uje unioe...basi sawa mkuu, unatujaza upepo halafu kumbe hatuko safari moja.
 
~ kweli hii hata Mimi nimeiona...ni madogo wa miaka 16,18,nakuendelea,wanaroho ngumu sana,napendaga kuangalia documentary za hivi...huwa zinafundisha sana.
Mimi nilipokuwa na miaka 11 nilijaribu kutaka kuzamia kwenda Afrika Kusini. Kutokana na kuzungukwa na watu walioenda sana huko,wafataji Magari,mabaharia na wazee wa machimbo nikajikuta nashawishika sana.

Hiyo siku nikazama kwenye kabati la bi mkubwa na kuchukua pesa kama 70,000/= kuongezea nauli. Nimetoka kimya kimya bila mtu kujua, kufika jioni nimekaribia mpaka wa Zambia nikajiroga kwenda kupata hifadhi kwa ndugu. Kumbe nimetafutwa kutwa mpaka usiku. Saa 5 usiku kumbe ndugu alipigiwa simu aliporudi Asubuhi nimeamka nikawahi gari nikajikuta nipo chini ya usimamizi hakuna kutoka nje.

Alipofika Bi mkubwa alinichukua kimya kimya mpaka nyumbani bila kugomba.Nikaenda kurudisha ile pesa najua kama mzazi alijua ila hakuwa niambia kitu chochote mpaka anafariki.
Mzee alikuwa anatoa lawama na kuhisi Bi mkubwa alikuwa pamoja na mimi.

Jamaa zangu kibao waliingia South,Zambia na wengine Ulaya.Saizi najipanga mdogo nikiwa na karatasi, ujuzi wa fani mbili tatu tayari ninao mkononi.
 
Wazungu wanapenda kujifunza,,,ndy sababu zinazowaleta Africa,,kujuwa mambo na vitu Africa,,sio kingine,,,pia wazungu hupenda kuja Africa kipindi ambapo kwao ni baridi Kali,,,Wanakuja Africa Ku enjoy summer time...
Ok! kumbe sisi tuna kwenda kule Ulaya kulia? JK Nyerere alienda kulima kule Oxford siyo kujifunza? Lesotho, RSA hakuna baridi? sasa hivi ni -1c, Kahma Gold mine, Mufindi farm, kisumu farms wanakwepa baridi?
 
Ok! kumbe sisi tuna kwenda kule Ulaya kulia? JK Nyerere alienda kulima kule Oxford siyo kujifunza? Lesotho, RSA hakuna baridi? sasa hivi ni -1c, Kahma Gold mine, Mufindi farm, kisumu farms wanakwepa baridi?
Mkuu,,,,niliposema Wanakuja Africa kujifunza sikumaanisha shule,,,,,nilimaanisha elimu ya mazingira,,,hivi unadhani mtalii wa kizungu ni nini kimemshawishi aje kutalii Tanzania?au Kenya?au kuja Africa kwa ujumla?lazima kwnz ashawishike,,,,kwa njia yeyote ile,,,,halafu anakuja kuthibitisha kwa macho,,, mfano wapo waliokuwa wanasikia mlima Kilimanjaro,,, ngorongoro crater,, national parks,,,, mapango ya amboni,,,,Zanzibar,,, bagamoyo nk,,wanaposikia halafu wanavutiwa wanafanya safari ya kuja Africa,,,wapo wazungu hawajawahi kuona mnyama live,,au kuona Africa ,,,huko ndy kujifunza,,,,na lazima ujuwe kutofautisha kusoma na kujifunza ni vitu viwili tofauti...na hata suala la hali ya baridi ulaya,,usifananishe baridi ya ulaya na kipupwe cha south Africa,,,,,hivi Mkuu unaijuwa baridi ya ulaya?watu wanakufa sababu ya baridi,,,na ndy maana kipindi cha baridi hata ulaya inakuwa kuingia ni ngumu,,,,sababu wenyewe wengi wanaondoka kuelekea sehem zingine,,,baadae summer ndy watu wengi wa sehem zngn especially Africa Ndy kipindi cha kuingia ulaya,,,usifananishe baridi ya ulaya na South Africa,,,ni lini south umepark gari nje baada ya masaa kadhaa gari limefunikwa na barafu?gari halionekani?wala hujuwi gari lako ni lipi?watalii Wanakuja kujifunza na kupumzika wakati ni baridi Kali,,especially wengi hupata likizo za kazi kipindi cha December,, na kurudi kazini February,,,, au january mwishoni,,,kipindi cha december vitu vingi vya kiserikali pia husimama,,watumishi wengi wapo likizo...sababu ya baridi na ndy muda wao muafaka kusafiri nje ya ulaya,,,hivi mkuu ,,,wewe zaidi ya kumwona swala au tembo ukiwa kwenye bus pale mikumi ni lini ulikwenda mbugani kutalii,,au ulikwenda mapango ya ambaoni?au ni lini ulikwenda ngorongoro crater kuona mazingira na kujifunza vitu?usifananishe wazungu wanaokuja kufanya kazi na watalii ni mambo mawili tofauti...
 
Mkuu,,,,niliposema Wanakuja Africa kujifunza sikumaanisha shule,,,,,nilimaanisha elimu ya mazingira,,,hivi unadhani mtalii wa kizungu ni nini kimemshawishi aje kutalii Tanzania?au Kenya?au kuja Africa kwa ujumla?lazima kwnz ashawishike,,,,kwa njia yeyote ile,,,,halafu anakuja kuthibitisha kwa macho,,, mfano wapo waliokuwa wanasikia mlima Kilimanjaro,,, ngorongoro crater,, national parks,,,, mapango ya amboni,,,,Zanzibar,,, bagamoyo nk,,wanaposikia halafu wanavutiwa wanafanya safari ya kuja Africa,,,wapo wazungu hawajawahi kuona mnyama live,,au kuona Africa ,,,huko ndy kujifunza,,,,na lazima ujuwe kutofautisha kusoma na kujifunza ni vitu viwili tofauti...na hata suala la hali ya baridi ulaya,,usifananishe baridi ya ulaya na kipupwe cha south Africa,,,,,hivi Mkuu unaijuwa baridi ya ulaya?watu wanakufa sababu ya baridi,,,na ndy maana kipindi cha baridi hata ulaya inakuwa kuingia ni ngumu,,,,sababu wenyewe wengi wanaondoka kuelekea sehem zingine,,,baadae summer ndy watu wengi wa sehem zngn especially Africa Ndy kipindi cha kuingia ulaya,,,usifananishe baridi ya ulaya na South Africa,,,ni lini south umepark gari nje baada ya masaa kadhaa gari limefunikwa na barafu?gari halionekani?wala hujuwi gari lako ni lipi?watalii Wanakuja kujifunza na kupumzika wakati ni baridi Kali,,especially wengi hupata likizo za kazi kipindi cha December,, na kurudi kazini February,,,, au january mwishoni,,,kipindi cha december vitu vingi vya kiserikali pia husimama,,watumishi wengi wapo likizo...sababu ya baridi na ndy muda wao muafaka kusafiri nje ya ulaya,,,hivi mkuu ,,,wewe zaidi ya kumwona swala au tembo ukiwa kwenye bus pale mikumi ni lini ulikwenda mbugani kutalii,,au ulikwenda mapango ya ambaoni?au ni lini ulikwenda ngorongoro crater kuona mazingira na kujifunza vitu?usifananishe wazungu wanaokuja kufanya kazi na watalii ni mambo mawili tofauti...
Kusoma na kujifunza ni vitu viwili tofauti? are you really out of Mind? au umeamua kupoteza muda? any way!

Green village zoo ni za nini huko Ulaya? Biblical zoo israel ni ya nini? mapambo yale? Hao twiga waliosafirishwa kwa midege ya jeshi ulidhani walienda kuliwa nyama? wale wana kila aina ya mnyama uliowahi kusikia, wale unaodhani ni watalii umedanganywa,

Bali ni Wakoloni wanatafuta namna ya kuendeleza fursa za Babu zao! wanasoma tafiti za kwa nini bado mko wajinga hivi mpaka leo wakati mna mali!

km hujui Tour guides ndiyo walimu wao wanawafundisha pa kupita!

S/Africa ni kipupwe? km kile cha njombe au iringa mjini? Siyo Ulaya yote ina baridi ya ivo! high Latitudes zote baridi zao ni sawa globally!
 
Kusoma na kujifunza ni vitu viwili tofauti? are you really out of Mind? au umeamua kupoteza muda? any way!

Green village zoo ni za nini huko Ulaya? Biblical zoo israel ni ya nini? mapambo yale? Hao twiga waliosafirishwa kwa midege ya jeshi ulidhani walienda kuliwa nyama? wale wana kila aina ya mnyama uliowahi kusikia, wale unaodhani ni watalii umedanganywa,

Bali ni Wakoloni wanatafuta namna ya kuendeleza fursa za Babu zao! wanasoma tafiti za kwa nini bado mko wajinga hivi mpaka leo wakati mna mali!

km hujui Tour guides ndiyo walimu wao wanawafundisha pa kupita!

S/Africa ni kipupwe? km kile cha njombe au iringa mjini? Siyo Ulaya yote ina baridi ya ivo! high Latitudes zote baridi zao ni sawa globally!
Hivi Mkuu unapokwenda mbuga za Wanyama na kujuwa maisha ya Wanyama ,,ni kusoma au unajifunza?
 
Kusoma na kujifunza ni vitu viwili tofauti? are you really out of Mind? au umeamua kupoteza muda? any way!

Green village zoo ni za nini huko Ulaya? Biblical zoo israel ni ya nini? mapambo yale? Hao twiga waliosafirishwa kwa midege ya jeshi ulidhani walienda kuliwa nyama? wale wana kila aina ya mnyama uliowahi kusikia, wale unaodhani ni watalii umedanganywa,

Bali ni Wakoloni wanatafuta namna ya kuendeleza fursa za Babu zao! wanasoma tafiti za kwa nini bado mko wajinga hivi mpaka leo wakati mna mali!

km hujui Tour guides ndiyo walimu wao wanawafundisha pa kupita!

S/Africa ni kipupwe? km kile cha njombe au iringa mjini? Siyo Ulaya yote ina baridi ya ivo! high Latitudes zote baridi zao ni sawa globally!
Mkuu ulisema wakoloni walijenga reli kwa manufaa yao,,sawa,,ndy nakuuliza zile shule na mahospitali pamoja na makanisa walimjengea nani? naona unarukaruka majibu hunipi....au hata kujenga nyumba za makazi ya watu walimjengea nani? na usifananishe baridi ya ulaya ,,America au canada na south Africa,,nimekuuliza ni lini south Africa gari ukipaki nje baada ya muda ilijaa barafu? au nyumbani milango na madirisha yakajaa barafu? nijibu kwnza...na usiwe bado na mawazo ya kikoloni,,hayo mambo hayana nafasi tena dunia ya sasa,,,neno utalii maana yake ni kutembelea jambo Fulani,,,,,na watalii wanapokuja kutembealea vivutio vya Wanyama au milima au historia ya kale maana yake wanajifunza,,, na usifananishe SIMBA,,au Chui au mnyama yeyote wa kwenye zoo na mnyama wa mbugani ,,,hivi kwenye zoo simba anaweza kumkimbiza swala na kumla?
 
Wakuu anzisheni group la WhatsApp basi tuwe tunapeana Update na madini ya namna ya kutoka humu Afriland
 
Back
Top Bottom