Rayyan haris
Member
- Jul 26, 2026
- 8
- 16
Chlamydia, kama sijakosea wa bongo wanuuita pangusaUgonjwa unao umaliza uume ni upi? Kuna kaka angu aliwahi umwa huo, kichwa cha uboo kilikua kinalika, alipoona kinazidi ilibidi aweke wazi.
Duuuh. Ni upi huo?