Kumbuka sijui form two au form one....
Tulifundishwa kuhusu hayo magonjwa tukaonyeshwa na picha......
jioni yake tukaletewa movie kuonyeshwa magonjwa ya zinaaa!!!!!
Bwana eee wikiend yake si kukawa na disco boys wakaletwa na wao kumbe walionyeshwa ili movie jinsi kibolo kilivyoisha.
Yaani lile disco lilichezwa kwa amani na hakukuwa na ulinzi wa kukagua walana denda wapigana romance wala miti.
mkuu mwaka gani huoKumbuka sijui form two au form one....
Tulifundishwa kuhusu hayo magonjwa tukaonyeshwa na picha......
jioni yake tukaletewa movie kuonyeshwa magonjwa ya zinaaa!!!!!
Bwana eee wikiend yake si kukawa na disco boys wakaletwa na wao kumbe walionyeshwa ili movie jinsi kibolo kilivyoisha.
Yaani lile disco lilichezwa kwa amani na hakukuwa na ulinzi wa kukagua walana denda wapigana romance wala miti.
Unataka mwaka wa nini!!?mkuu mwaka gani huo
Nilipigwa sindano halafu zinauma balaa, Dr akipayuka sauti ya juu' acha umalaya utakufa ' huku wagonjwa wengine wakiwa nje wanasikia Dr anachoniambia,niliona aibu sana.Aaah sio mm buda ni jamaangu
PangusaUgonjwa unao umaliza uume ni upi? Kuna kaka angu aliwahi umwa huo, kichwa cha uboo kilikua kinalika, alipoona kinazidi ilibidi aweke wazi.
Duuuh. Ni upi huo?
Cetriaxone injection is administered via IV not IM otherwise you will cause paralyzationInjections.... zilimuhusu na zenyewe akawa anasema zinauma kuliko hivyo viwembe alivyokuwa anakojoa
Ni aibu kutembea na shuka maana nguo hazivaliki hiko ki fimbo chake hakitaki kuguswa na nguo la sivyo kinanata kuivuta hyo nguo mtiti...
Acheni umalaya
samahani mkuuUnataka mwaka wa nini!!?
unaandaa historia ya gono??? ilipoanzia, mapambano yake na ilipo sasa au?
Gono hilo
Zoey utani wangusamahani mkuu
Pangusa