Wayback: Gono ni hatari sana

Wayback: Gono ni hatari sana

Kumbuka sijui form two au form one....
Tulifundishwa kuhusu hayo magonjwa tukaonyeshwa na picha......
jioni yake tukaletewa movie kuonyeshwa magonjwa ya zinaaa!!!!!

Bwana eee wikiend yake si kukawa na disco boys wakaletwa na wao kumbe walionyeshwa ili movie jinsi kibolo kilivyoisha.
Yaani lile disco lilichezwa kwa amani na hakukuwa na ulinzi wa kukagua walana denda wapigana romance wala miti.
 
Kumbuka sijui form two au form one....
Tulifundishwa kuhusu hayo magonjwa tukaonyeshwa na picha......
jioni yake tukaletewa movie kuonyeshwa magonjwa ya zinaaa!!!!!

Bwana eee wikiend yake si kukawa na disco boys wakaletwa na wao kumbe walionyeshwa ili movie jinsi kibolo kilivyoisha.
Yaani lile disco lilichezwa kwa amani na hakukuwa na ulinzi wa kukagua walana denda wapigana romance wala miti.
Kama tumesoma shule moja vile 😅😅
 
Kumbuka sijui form two au form one....
Tulifundishwa kuhusu hayo magonjwa tukaonyeshwa na picha......
jioni yake tukaletewa movie kuonyeshwa magonjwa ya zinaaa!!!!!

Bwana eee wikiend yake si kukawa na disco boys wakaletwa na wao kumbe walionyeshwa ili movie jinsi kibolo kilivyoisha.
Yaani lile disco lilichezwa kwa amani na hakukuwa na ulinzi wa kukagua walana denda wapigana romance wala miti.
😁😁😁
 
Vitu vitatu ambavyo mwanaume inabidi uvi-control wewe na sio viku-control vyenyewe;

1. Uume

2. Hasira

3. Mdomo

Kuna watu wengi sana wamepoteza kila kitu kisa tu kuvamia kila siketi inayopita mbele yao.
Hilo lidudu dudu lako hilo ndio mchawi mwenyewe na sio kingine.
😀😀Uume ungekuwa tu 1 to 3 then zifuatie nyinginezo
 
Ukienda kizembe manesi wakali wanataka umlete ulieshiriki nae. Kwasababu kwa wanawake linajificha sana.

Kuna namna mkuu, ukipata gono usiende OPD kuandika cheti. Kila hospitali huwa kuna dokta wa mambo hayo, we omba kuonana na dokta husika. Mchape hata ki fotee, yeye atajua namna ya kuwapoza manesi na mtu wa dawa, basi kunakuwa hamna kelele.

Ukienda kichwa kichwa na gono lako kliniki unaaibishwa mzee... 😊
 
Back
Top Bottom