Wawili wafa kwa njaa Magu

afsa

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
1,983
1,574
Wanabodi uhai Ndio kila kitu kwa kila raia wa Tanzania.
Waandishi wa habari niwaombe mwende ktk kijiji cha LUNALA huko magu muitangaze njaa bila uoga.

Kuna watu wawili wamekufa. Ni wazee. Wamezikwa. Wamekufa kwa njaa. Walikuwa wanaishi peke yao.

Namba ya simu ya mtu wa kuwaongoza mkifika kijijini hapo nitawapa, sio vizuri kuiweka hapa mwenye nia anifuate pm.

Rais anataka kuwaongoza wafu?
 
Wanabodi uhai Ndio kila kitu kwa kila raia wa Tanzania.
Waandishi wa habari niwaombe mwende ktk kijiji cha LUNALA huko magu muitangaze njaa bila uoga.

Kuna watu wawili wamekufa. Ni wazee. Wamezikwa. Wamekufa kwa njaa. Walikuwa wanaishi peke yao.

Namba ya simu ya mtu wa kuwaongoza mkifika kijijini hapo nitawapa, sio vizuri kuiweka hapa mwenye nia anifuate pm.

Rais anataka kuwaongoza wafu?
Wanabodi uhai Ndio kila kitu kwa kila raia wa Tanzania.
Waandishi wa habari niwaombe mwende ktk kijiji cha LUNALA huko magu muitangaze njaa bila uoga.

Kuna watu wawili wamekufa. Ni wazee. Wamezikwa. Wamekufa kwa njaa. Walikuwa wanaishi peke yao.

Namba ya simu ya mtu wa kuwaongoza mkifika kijijini hapo nitawapa, sio vizuri kuiweka hapa mwenye nia anifuate pm.

Rais anataka kuwaongoza wafu?
Wawili wachache hivyo,polisi wamekufa nane acha tudeal na mambo ya msingi
 
Wanabodi uhai Ndio kila kitu kwa kila raia wa Tanzania.
Waandishi wa habari niwaombe mwende ktk kijiji cha LUNALA huko magu muitangaze njaa bila uoga.

Kuna watu wawili wamekufa. Ni wazee. Wamezikwa. Wamekufa kwa njaa. Walikuwa wanaishi peke yao.

Namba ya simu ya mtu wa kuwaongoza mkifika kijijini hapo nitawapa, sio vizuri kuiweka hapa mwenye nia anifuate pm.

Rais anataka kuwaongoza wafu?
Umetokea wapi na habari za vifo na kumuhusisha RAIS? kila kitu ni Rais tu..hata mvua zimegoma ni Rais tu,kweni mnadhani Rais huja bila MUNGU kujua?mpaka mumhusishe na kila baya?..
 
kijiji cha LUNALA huko magu
Mkuu hiki kijiji bado kiko Magu kweli? Au hauna taarifa kwamba wilaya ya Magu iligawanywa wilaya 2 ikazaliwa wilaya ya Busega? Sahihisha mkuu hapo kuna shida!!
 
Mtukufu supreme leader commander of the national forces His Excellency, President for Life, Field
Marshal Al Hadji Doctor , VC,
DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth
and Fishes of the Seas and Conqueror of the
British Empire in Africa in General and Tanzania
in Particular atasema '"SERIKALI HAIJALETA NJAA'"
 
Umetokea wapi na habari za vifo na kumuhusisha RAIS? kila kitu ni Rais tu..hata mvua zimegoma ni Rais tu,kweni mnadhani Rais huja bila MUNGU kujua?mpaka mumhusishe na kila baya?..
Ni baba wa familia. Apeleke chakula cha msaada cha kuuza kwa bei nafuu majukumu yote ni yake
 
Mtukufu supreme leader commander of the national forces His Excellency, President for Life, Field
Marshal Al Hadji Doctor , VC,
DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth
and Fishes of the Seas and Conqueror of the
British Empire in Africa in General and Tanzania
in Particular atasema '"SERIKALI HAIJALETA NJAA'"
Ha ha ha haaa.. Mkuu Majestic wolf toa hiyo "AL-HAJ" tu coz hajafanya hijilat, mengine yote muachie.
 
Mkuu hiki kijiji bado kiko Magu kweli? Au hauna taarifa kwamba wilaya ya Magu iligawanywa wilaya 2 ikazaliwa wilaya ya Busega? Sahihisha mkuu hapo kuna shida!!
Uko sahihi mkuu bado tunaishi kwa mazoea
 
Wanabodi uhai Ndio kila kitu kwa kila raia wa Tanzania.
Waandishi wa habari niwaombe mwende ktk kijiji cha LUNALA huko magu muitangaze njaa bila uoga.

Kuna watu wawili wamekufa. Ni wazee. Wamezikwa. Wamekufa kwa njaa. Walikuwa wanaishi peke yao.

Namba ya simu ya mtu wa kuwaongoza mkifika kijijini hapo nitawapa, sio vizuri kuiweka hapa mwenye nia anifuate pm.

Rais anataka kuwaongoza wafu?
Baba askofu Gwajima amepanga kuwaletea japo gunia moja la msaada wa mahindi kutoka kwenye pesa ya sadaka ya jumapili moja ili KUACHANA NA DHANA KWAMBA MAKANISA YA WALOKOLE HAYATOI MISAADA YA KIJAMII na badala yake WACHUNGAJI WANATANUA NA MAGARI YA KIFAHARI Huku waumioi wao wakifa njaa na kushindwa kulipa hata KODI YA NYUMBA YA TSH 3,000 TANDALE KWA MTOGOLE
 
Back
Top Bottom