Wawili wafa kwa njaa Magu

Wawili wafa kwa njaa Magu

Ata wakitangaza kua kunanjaa nani atawapa misaada!? Magufuri alikwambia hakuna njaa! Chamsingi nashauri saidianeni ninyi kwa ninyi na Mungu atawabarikia!
 
Wanabodi uhai Ndio kila kitu kwa kila raia wa Tanzania.
Waandishi wa habari niwaombe mwende ktk kijiji cha LUNALA huko magu muitangaze njaa bila uoga.

Kuna watu wawili wamekufa. Ni wazee. Wamezikwa. Wamekufa kwa njaa. Walikuwa wanaishi peke yao.

Namba ya simu ya mtu wa kuwaongoza mkifika kijijini hapo nitawapa, sio vizuri kuiweka hapa mwenye nia anifuate pm.

Rais anataka kuwaongoza wafu?
Wazee hao walikuwa wamezunguukwa na wanyama pori na hata taarifa hii imeletwa na mnyama pori aliyefika kujua namna wazee hao watakavyo kufa.
 
Huu uongoz ni wa laana sana. Ni wa kishetan sana. Ameingia mabalaa kila kukicha bei ya vyakula vipo juu
Huu ni utawala wa ovyo sana. Huyu atapita km Mkapa tu. Mm hata kumsikiliza naona km napoteza muda. Nikimuona kweny TV ni km mimeona sijui kitu gani, nabadilisha. Speech anazotoa ni mbovu tu zimejaa chuki tu na ubabe
 
Mtu hari ikiwa mbaya usione aibu toka waeleze majirani zako kwamba una njaa wakusaidie na itashangaza kama hawata kusaidia halafu ikatokea umepoteza maisha wakajifanya wanachanga michango.
 
Nani aliwaambia serikali inashambaa acha wafwee sisi tunatengeneza Standard Gauge full stop.
Mwafwaaa
 
Eeeh habari hii nimeisikia ni kweli kabisa kuna njaa sana maeneo haya mi nipo Wilaya ya jirani na Magu inaitwa Busega hali ni mbaya sana waungwana watu wanalala na njaa watu wanakula mlo mmoja kwa mliopo Dar,Arusha,na mijini inaweza kuwa ngumu kuamini lakini hali ni mbaya sana na bado
 
Wawili wachache hivyo,polisi wamekufa nane acha tudeal na mambo ya msingi
Wewe ni mwendawazimu sana.
Umuhimu wa watu hauhesabiki kwa idadi yao.
Hao polisi wanaumuhimu na hao raia waliokufa kwa njaa huku wengine tunamwaga chakula wanaumuhimu pia. Ni vyema amealocate eneo ili wenyeakili na upendo wakawasapoti wananchi waliosalia.
 
Waache wafe walimchagua wenyewe na police nao wafe maana sote njia moja.

Tz tuna amani na furaha na utekaji haupo.
 
Back
Top Bottom