Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,315
- 51,985
Tangu nimeanza hii sakramenti nimeyaona maisha katika mwanga ulio bora.Eeenh
Na mm nakazia na pombe usiache endelea navyo vyote
Sio mgomvi tena, najua kupenda, nimekuwa na hekima kidogo na pia nayafurahia maisha
