Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
How low? Nguzo zimeshasimamishwa kote, bado mbili karibu na kwa kakobe, mchoo haujabadilishwa, sasa wana-expect tanesco watang'oa nguzo na kubadilisha line route?
Sina uhakika, lakini inaonekana huu mradi haukufanyiwa Environmental Impact Assessment. BICO ndo wanafanya sasa hivi.
Sina uhakika, lakini inaonekana huu mradi haukufanyiwa Environmental Impact Assessment. BICO ndo wanafanya sasa hivi.