Waumini wa Kakobe kutimuliwa alfajiri ya leo!!!

Huyu Kakobe amezoea sana kuwatumia sana wafuasi wake kama vile watoto wadodo waiojua kitu. Akiwaamlisha hayaa toeni fedha zote kwa ajili ya sadaka wasibakishe hata nauli ya kurudia majumbani mwao wanatoa! toeni dhahabu zenu maana ni mapepo wanatoa! lakini la sasa Mungu na alione maana watu wanateseka pasipo kujijua! Ee Mungu wa Israel okoa watoto wako aliowaumba kwa mfano wako.
 
Aende mahakamani akadai haki yake.

Mkuu sipendi sana kujiingiza katika mgogoro huu ila hakuna haki mahakamani. Ni hivyo, tu!! Na wakati mwingine kesi kama hii ni order inatoka juu kwenda kwa hakimu atoe hukumu in favour of the government basi!!! Imagine wale ambao unakuta fidia zao ni duni (fikiri kipawa, Bunju, Kibamba, etc) haki kiasi gani pale imetendeka?? Je unafahamu kule Mbagala maisha ya waathirika wa mabomu yalivyo na hii mvua?? Hakuna haki, utu na heshima kwa mtanzania toka kwa serikali yao. Pengine wawekezaji na wenye nazo ndiyo wana haki, utu ha heshima. Poor Tanzanians!!! Tumegeuzwa watumwa ndani ya nchi na rasilimali zetu.
 
Wonder Twins Head For High School Aged Nine

Two nine year olds known as the Wonder Twins for their record-beating exam results are set to become the youngest pupils admitted to a British secondary school.
Enlarge photo
Paula and Peter Imafidon, from Waltham Forest, London, amazed parents and teachers when they passed an A-level maths exam at the age of seven.
The twins have been waiting to find out which secondary school they will attend, along with thousands of other youngsters - who are two years older - across the country.
Peter and Paula, who attend a state primary in London, were helped by their three older brothers and sisters, all of whom were also child prodigies.
Their father Chris said he was thrilled by his childen's achievements at school.
He denied any particular genius in the family, crediting their success to the Excellence in Education programme for inner city children from disadvantaged backgrounds.
"Every child is a genius," he said. "Once you identify the talent of a child and put them in the environment that will nurture that talent then the sky is the limit.
"Look at Tiger Woods, or the Williams sisters - they were nurtured.
"You can never rule anything out with them, the competition between the two of them makes them excel in anything they do.
"They are forever competing and fighting, even if it's just for the remote control or the computer."
Paula hopes to become a maths teacher, while Peter hopes to become Prime Minister one day.

Source: Sky News
 
Back
Top Bottom