Waugwna munisaidie naingia mimi

Jumanho

Member
Sep 14, 2010
37
5
Niaje wana jamvi hili, muungwana mwenzenu najitambulisha jamvini kama mnavyoelewa waungwana jamvini huruhusiwi kuingia na viatu na wala kuingia bila hodi na salamu.
Naomba kuwakilisha wakuu.
 
He Kalumanzila........anyway karibu sana jumanho jamvini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…