Toto mol
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 2,404
- 3,566
Habari wakuu kwema nyote, natumaini hamjambo wote,
Sawa baada ya salamu naomba nije kwenye jambo langu hili, mimi ni kijana jinsia me miaka 27 nipo musoma, natafuta kazi yoyote iwe na angalau narudi na chochote kitu jioni,
Nipo tu sina mishe yoyote wala kazi, naomba tafadhali kama itawezekana, 🙏🙏 sina maneno mengi ni hayo tu,
Asanteni
Sawa baada ya salamu naomba nije kwenye jambo langu hili, mimi ni kijana jinsia me miaka 27 nipo musoma, natafuta kazi yoyote iwe na angalau narudi na chochote kitu jioni,
Nipo tu sina mishe yoyote wala kazi, naomba tafadhali kama itawezekana, 🙏🙏 sina maneno mengi ni hayo tu,
Asanteni