Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Waliwabaka Ili kuua kizazi chao
Huwezi jisemea bila kureta ushahidi, ndiyo maana nimeomba ushaidi na kapicha OG mzehe. nasubiri
Waliwabaka Ili kuua kizazi chao
Hawa hapa watalii wanapelekwa uarabuni. View attachment 1968595
Hivi kipindi Afrika imeenda kutawala ulaya walijua Sisi tukaenda kuwafanya nin?..Enzi za utumwa hali ilikuwa ni mbaya sana. Mtumwa alikuwa ni mtu wa hogu kwenye safari yake yote. Nafikiri alipofika anapokwenda alipumua kwa ahueni baada ya kujua kuwa ameenda kulima.
Inasemwa kuwa mara tu walipofika pwani na kuona meli huzuni kuu iliwaingia. Macho yao yalionyesha kukata tamaa kabisa. Walijua safari ya kwenda kuliwa imefika. Mara meli ilipotingishika kuondoka, vilio vikubwa sana vilisikika.
Hii hadithi ilitumiwa pia na wafanyabiashara ya watumwa wa kiarabu. Wazungu walipopiga marufuku utumwa, na kuanza kuvamia misafara ya waarabu. Waarabu waliwambia waafrika kuwa wazungu wanawakomboa ili kwenda kuwala.
Historia ya utumwa ipo hata katika Bibilia, Abraham na Lutu walisafiri na mifugo na watumwa wao. Utumwa wa enzi ya Abraham ulimtumikia bwana kwa muda fulani baada ya kile kipindi alikugaia sehemu ya mali yake na kukuacha uwe huru. Na wewe unatafuta watumwa wa kukufanyia kazi.Mwafrika ndie aliyependa kuchukuliwa utumwani
Tofauti ni rangi tuKati ya wale waliowachua wenzao na kuwauza a hawa wanaotukata tozo na kununua tofari la saruji kwa 1800 wana tofauti kweli?.
Mkuu sasa hivi watatumia serikali, jeshi, mgambo, magereza nk.Pumbavu zao waliokuwa wanafanya biashara ya utumwa kwa waafrika, wajaribu tena watakiona cha mtema kuni
Hivi kipindi Afrika imeenda kutawala ulaya walijua Sisi tukaenda kuwafanya nin?..
Historia inasema Afrika ilitawala Ulaya kabla ya wao kuja huku.. Kwa bahati mbaya historia inayofundishwa mashuleni inafanya waafrika waonekane kama vile ni wanyonge yani
Inatakiwa tushtuke kama vile China iliamua kushtuka..
Kinachoshangaza wako MACHIFU waliohusika kuwauza wenzao....je waliwatoa BURE?!!
Je hakuna familia zilizopewa fedha kutoa vijana wao waende wakafanye kazi huko "mbinguni kwa watu weupe"?!!!
Pumbavu zao waliokuwa wanafanya biashara ya utumwa kwa waafrika, wajaribu tena watakiona cha mtema kuni
kuna sehemu nilisoma wanasema USA kulikua na shamba la kuwafanya watumwa wazaliane hata ndugu kwa ndugu kama mtu anavyofuga nguruwe hivi jamaa anatupiwa hata mademu 40 awajaze mimba
Walioenda uarabuni Je?Waliopata raha ni wale walioenda ulaya
Mpaka leo uarabuni wanafanya utumwa .. wazungu wanaoa wadada kuwafanya utumwaPumbavu zao waliokuwa wanafanya biashara ya utumwa kwa waafrika, wajaribu tena watakiona cha mtema kuni
Walikufa woteWalioenda uarabuni Je?
Pumbavu zao waliokuwa wanafanya biashara ya utumwa kwa waafrika, wajaribu tena watakiona cha mtema kuni
hapana kule oman bado masalia yapo mfano kuna mitaa inaongea kiswahili kabisaWalikufa wote
Babu zako walishindwa kuondoa utumwa wa wazi kabisa mpaka Walipositisha Wazungu wenyewe(Abolition of slave trade)Pumbavu zao waliokuwa wanafanya biashara ya utumwa kwa waafrika, wajaribu tena watakiona cha mtema kuni