Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 25,859
- 33,465
Hao waafrika waliotawala Ulaya ni Waafrika wa nchi gani? Zaidi ya Misri ikiyowatawala na kuwafanya watumwa Waisrael wa Mashariki ya mbali?Hivi kipindi Afrika imeenda kutawala ulaya walijua Sisi tukaenda kuwafanya nin?..
Historia inasema Afrika ilitawala Ulaya kabla ya wao kuja huku.. Kwa bahati mbaya historia inayofundishwa mashuleni inafanya waafrika waonekane kama vile ni wanyonge yani
Inatakiwa tushtuke kama vile China iliamua kushtuka..
Walitawala miaka ipi? Walitawala nchi zipi za Ulaya? Msaada tafadhali