Watumishi wa Umma tunaoishi vijijini hasa maeneo yanayoruhusu kulima, tujikite kwenye Kilimo

Kiplayer

JF-Expert Member
Oct 12, 2018
1,000
1,571
Rai yangu kwa Watumishi wa Umma tunaoishi vijijini hasa maeneo yanayoruhusu shughuli za Kilimo, tujikite katika Kilimo kwa nguvu.

Faida ni nyingi;

1. Uhakika wa chakula
2. Ongezeko la kipato
3. Hautoutolea macho mshahara na manung'uniko yatapungua
4. Ni maandalizi mazuri ya kustaafu
5. Utaweza kufanya mambo mengine nje ya mahitaji ya msingi.

1620720641990.png

 
Motivation Speaker
Fungua Darasa La Saba
Ufundishe Hii Upige Cash
Hii Clouds Wanaita Fursa 2021
 
Rai yangu kwa Watumishi wa Umma tunaoishi vijijini hasa maeneo yanayoruhusu shughuli za Kilimo, tujikite katika Kilimo kwa nguvu.

Faida ni nyingi;
1. Uhakika wa chakula
2. Ongezeko la kipato
3. Hautoutolea macho mshahara na manung'uniko yatapungua
4. Ni maandalizi mazuri ya kustaafu
5. Utaweza kufanya mambo mengine nje ya mahitaji ya msingi.
Hii n nzr sana na sio tu kwa watumishi waishio vjjin tu,hata kwa wale waishio mijn wanawez kuwekez vijjn pia kwn maeneo yanapatikana.
 
Kilimo ili kikulipe, lazima uwekeze eneo kubwa na uwekeze fedha za kutosha. Hiki kilimo cha kulima hekari chache huku ukitegemea mvua,ni vigumu kukutoa kwa wakati. Ndio maana wakulima wengi wa kiafrika bado ni masikini.
 
Watumishi mna fursa sana huko vijijini japo siyo kote, mfno walimu wana likizo kila wanafunzi wanapofunga shule na bado ana likizo yake binafsi, wa halmashauri mnafunga ofisi mapema, mikopo kwenu iko nje nje. kwa kifupi mna rasilimali muda ya kutosha, lkn ndo mnaongoza kwa kutapeliwa na wajanja na kulia shida.
 
Back
Top Bottom