Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,690
- 5,557
Hapo ndipo utakapoona Mwafrika, na mawazo ya kutaka nchi ya asali na maziwa.
Mawazo pinzani na yake ni sumu, ila huku akilalamikia Demokrasia.
Hebu jiulize wakati jamaa anaongea, yeye slikua kimyaaa, hasira zake amekuja kumalizia jamii forums, kwa kuwazodoa watumishi Umma.
Mawazo pinzani na yake ni sumu, ila huku akilalamikia Demokrasia.
Hebu jiulize wakati jamaa anaongea, yeye slikua kimyaaa, hasira zake amekuja kumalizia jamii forums, kwa kuwazodoa watumishi Umma.
We ni moja ya wapuuzi kwahiyo watumishi wa Umma ni TAKUKURU na TISS peke yake? je ni lazima watu wt wawe na mawazo au upeo kama wa kwako, hufikirii kwamba watu wana mawazo tofauti tofauti na uelewa tofauti tofauti?
Huyo aliyeongea huo ujinga na wewe unayekuja kulalamika hapa wote akili zenu ziko sawa may be tofauti ni kwamba wewe umekuja kuelezea ujinga wako hapa JF
