monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,883
- 13,633
Mkuu,ninyi mnapaswa kufa siyo tu kucheleweshewa mishahara...kumbuka kuna watu walikuwa wamebakiza siku chache wastaafu lkn walifukuzwa na hawakupewa hata cent moja,kuna watu mm nawafaham walikuwa wameshafanya kazi serikalini zaidi ya muongo mmoja,lkn walifukuzwa na hawakupewa hata cent moja,,,,hilo ni funzo Mungu anawapeni wajinga wote kama ninyi mliokuwa mnaamini kuwa mnaweza kumfuga chui na atawajeruhi majirani!